Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Hali ya uchumi ya mtu mmojammoja nchini ni mbaya kuliko ilivyokuwa miaka 10 iliyopita

Hivi karibuni, Taasisi ya Repoa ilitoa utafiti wake unaoonyesha kuwa hali ya kiuchumi ya wananchi inazidi kuwa mbaya ikilinganishwa na ilivyokuwa miaka 10 iliyopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Lipumba: Hali ya uchumi ni mbaya, Serikali ichukue hatua

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba ameitaka Serikali kutafuta ufumbuzi wa haraka wa matatizo ya kiuchumi, kwa kuwa hali ilivyo sasa ni mbaya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu: Ujangili nchini hali mbaya

WAKATI juhudi zikifanyika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema hali ni mbaya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa...

 

10 years ago

CloudsFM

Valentine Day ilivyokuwa Escape One Jumamosi iliyopita

Ruby akitoa burudani siku ya Valentine Day,Escape One

 

10 years ago

Dewji Blog

Nyalandu:Hali ya ujangili nchini bado ni mbaya

Lazaro-Nyalandu

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.

Na Mwandishi wetu

WAKATI juhudi mbalimbali zikifanyika katika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema bado hali ni mbaya.

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Jijini Dar es Salaam, katika mkutano wa wadau wa maendeleo katika kupambana na ujangili, Nyalandu alisema bado wanaendelea kubuni mbinu mbalimbali ili kukomesha vitendo hivyo.

Waziri huyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Urani inaweza kuua au kukuza uchumi nchini

Tanzania inaanza kuchimba madini ya urani katika mbuga ya wanyama ya Selous, eneo lililo chini ya udhamini wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughilikia mazingira maarufu kama World Heritage.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je hali iko mbaya kiasi gani nchini Saudi Arabia?

Kuna wakati ilikuwa maarufu kwa kutotoza ushuru, Saudi Arabia lakini kwa sasa hivi imetangaza kodi ya ongezeko la thamani kuanzia asilimia 5 hadi asilimia 15 na pia kukatiza ruzuku inayotolewa kila mwezi kuanzia mwezi ujao.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO AKISOMA HALI YA UCHUMI NCHINI

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, akiwasilisha hali ya uchami nchini, Bungeni jijini Dodoma. Juni 11, 2020. ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO DK. PHILIP MPANGO AWASILISHA BUNGENI HALI YA UCHUMI NCHINI, LEO

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, akiwasilisha Taarifa ya hali ya uchami nchini, Bungeni jijini Dodoma, leo. Taarifa kamili aliyoma Waziri Mpango tutaweka hapa baadaye.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani