Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SPORTS HEADQUATER: KIPINDI KIREFU NA MAARUFU CHA MICHEZO KULIKO VYOTE NCHINI


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TASWIRA ZA KIWANDA KIKUBWA CHA SARUJI KULIKO VYOTE DUNIANI CHA DANGOTE, NIGERIA

Sehemu ya foleni ya malori ikielekwa kubeba mzigo katika kiwanda  cha Saruji cha Dangote  kilichopo katika eneo la Obajana,  Jimbo la Kogi, kilomita 400 Kaskazini Mashariki mwa mji maarufu wa kibiashara wa Nigeria, Lagos. 
Kwa sasa Kiwanda hicho  kinazalisha tani za kimetriki milioni 10.25 kwa mwaka na hivyo kukifanya kiwanda hicho kuwa kiwanda kikubwa zaidi cha saruji duniani kilichoko katika eneo moja. 
Baada ya upanuzi unaoendelea kufanywa kwenye kiwanda hicho, uwezo wake wa uzalishaji...

 

10 years ago

CloudsFM

Kumbe! Mr Blue ni maarufu nchini Kenya kuliko Ali Kiba na Diamond

Mkali wa Hip Hop Bongo,Mr.Blue ametajwa kuwa ndiye msanii maarufu na anayependwa nchini Kenya ukilinganisha na mastaa maarufu wa hapa Bongo,Diamond Platinum na Ali Kiba.

Mdau wa muziki (burudani) kutoka nchini Kenya ambaye pia ni msanii aitwaye Gnex Lee Lennox amezungumza na Clouds Fm amesema kuwa Mr.Blue ametengeneza soko la muziki wake tangu zamani nchini humo tofauti za wasanii wengine wa Bongo.

Aidha ameongeza ngoma za Mr. Blue zimekuwa zikipigwa kwenye vituo vya redio pamoja na kwamba...

 

10 years ago

Michuzi

E FM 93.7 yazindua kipindi kipya cha Sports Headquarter

 Kituo cha radio cha E FM 93.7 leo kimezindua kipindi kipya kabisa cha Sports Headquarter (Makao Makuu ya habari) kikiwa cha kwanza katika historia kuruka kwa masaa matatu kuzungumzia michezo tena asubuhi saa tatu mpaka saa sita mchana.  Pichani juu ni Watangazaji nguli wa Michezo nchini Maulid Baraka Kitenge na  Ibrahim Masoud Maestro wakikiendesha kipindi hicho cha masaa matatu leo.
Kitakuwa kinaruka Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu Asubuhi mpaka saa sita mchana. Hii no katika historia...

 

11 years ago

Bongo5

Msanii wa Kenya aelezea kwa kirefu kwanini muziki wa Tanzania uko juu kuliko wao

Msanii wa Kenya aitwaye Shreekezy ameeleza kwa kirefu zile anazoamini ni sababu za muziki wa Tanzania kuwa juu kuliko wa kwao. Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye ukurasa wake wa Facebook: “A time like now, a few years ago, I was a rapper trying to make a living from music. Don’t get me wrong, I […]

 

10 years ago

Michuzi

Taswira za Kituo cha michezo kwa vijana cha Jakaya Mrisho Kikwete (JMK Youth Sports Centre) Kidongo Chekundu, Dar es salaam

 Taswira za juu za usiku za Kituo cha michezo kwa vijana cha Jakaya Mrisho Kikwete (JMK Youth Sports Centre) cha Kidongo Chekundu Dar es salaam. Kituo kitafunguliwa rasmi kwa  umma tarehe 19 Oktoba mwaka huu. Uzinduzi utafanyika tarehe 17 Oktoba.Hii ndiyo zawadi ambayo Rais Jakaya Mrisho Kikwete anawaachia Watanzania baada ya kuwa mtumishi wao kwa miaka 10, ambapo kupitia hapa vipaji vya vijana kwenye michezo mbalimbali vitagunduliwa na kuendelezwa. Mradi huu umefadhiliwa na klabu ya Ligi...

 

10 years ago

Michuzi

AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI WA WACHEZAJI KWA AJILI YA KUJIUNGA NA KITUO CHA MICHEZO CHA NSSF-REAL MADRID SPORTS ACADEMY WAANZA RASMI LEO

 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Crescentius Magori (katikati) akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Klabu ya Real Madrid, Rayco Ghasia (kulia).  Mzee Augustino Mtauka akisaini fomu za usajili wa kituo kipya cha mchezo wa soka kinachomilikiwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kushirikiana na klabu ya Real Madrid ya Hispania.. Mzee Mtauka alikuwa akisaini fomu hizo kwa niaba ya mjukuu wake Godfrey Oscar (katikati), usajili uliofanyika kwenye Uwanja wa Karume, Ilala jijini...

 

11 years ago

Bongo5

EFM yavunja ngome ya kipindi cha michezo cha Radio One, yawachukua Maulid Kitenge na Omary Katanga

Kipindi cha michezo cha Radio One ‘Spoti Leo’ kimepata pigo kali baada ya watangazaji wake mahiri, Maulid Kitenge na Omary Katanga kuhamia EFM 93.7 ya Dar es Salaam. Maulid Kitenge na Omary Katanga enzi wakiwa Radio One Kuondoka ghafla kwa watangazaji hao waliokifanya kipindi cha ‘Spoti Leo’ kuwa kipindi bora zaidi cha michezo nchini kutokana […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Je ANC ni maarufu kuliko Rais Zuma?

Uchaguzi unaponukia Afrika Kusini, kuna dalili kuwa waafrika weusi wangali wanakienzi chama cha ANC

 

5 years ago

Michuzi

TASAF KUANZA UTEKELEZAJI WA KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YAKE YA TATU NCHINI KOTE.


Mfuko wa Maendeleo ya Jamii- TASAF umekamilisha mipango itakayowezesha kuanza kwa utekelezaji wa Kipindi cha Pili cha Awamu yake ya TATU kufuatia uzinduzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF ,Ladislaus Mwamanga amekutana na Wandishi wa Habari jijini Dar es salaam na kuwajulisha kuwa mipango ya kuanza utekelezaji wa kipindi cha pili ambayo imezingatia maelekezo ya Serikali inaelekea kukamilika.

Mkurugenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani