Msanii wa Kenya aelezea kwa kirefu kwanini muziki wa Tanzania uko juu kuliko wao
Msanii wa Kenya aitwaye Shreekezy ameeleza kwa kirefu zile anazoamini ni sababu za muziki wa Tanzania kuwa juu kuliko wa kwao. Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye ukurasa wake wa Facebook: “A time like now, a few years ago, I was a rapper trying to make a living from music. Don’t get me wrong, I […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo529 Sep
Nahreel aelezea kwanini ameweka masharti magumu ya kujiunga na chuo chake cha muziki
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Yhnzwe_roIo/VaNMjXnQQHI/AAAAAAAHpP0/khTHknzd7ZQ/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
9 years ago
Bongo528 Aug
Ben Pol ashangazwa na club za Kenya kutocheza muziki wa wasanii wao
5 years ago
BBCSwahili21 May
Kwanini familia zimekuwa 'zikiwauwa kwa heshima' watoto wao wa kike Pakistani?
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Kwanini Mr. Nice anafanya muziki kwa Nyodo? stori iko hapa….
Inawezekana kabisa haujamuona Mr Nice kumiliki zile chart za Top 20 za radio lakini hajakata tamaa ya kutafuta maisha ana mambo yake mengine anayoyafanya tofauti na muziki. Mr Nice anasema kwasasa amejihusisha kwenye miradi ya ufugaji wa kuku pamoja na kilimo, ila kwenye headlines za muziki amesema kwamba anaufanya kwa nyodo,..kumsikia mwenyewe na sababu zake […]
The post Kwanini Mr. Nice anafanya muziki kwa Nyodo? stori iko hapa…. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
India, Kenya zinauzaje Tanzanite nyingi kuliko Tanzania?
NI suala rahisi kulielewa lakini ni gumu kuliamini. Habari kuwa Kenya na India zinaizidi Tanzania katika mauzo ya vito aina ya Tanzanite nje ya nchi ni rahisi kuilielewa kwa sababu linahusisha...
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Msanii Bobo Seretsane “Bo” wa Afrika kusini afagilia muziki wa Tanzania, apongeza tamasha Karibu Music!
Msanii nyota wa Afrika Kusini, Bo Denim “Bo” akitumbuiza jukwaani wakati wa tamasha la msimu wa pili la Karibu Music Festival..!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[BAGAMOYO-TANZANIA] Mwanamuziki nyota kutoka Afrika Kusini Bo Denim maarufu ‘Bo’ amewashukuru waandaji wa tamasha la Music Festival linalofanyika kila mwaka mjini hapa huku likihusisha vikundi na wanamuziki mbalimbali kutoka mataifaa tofauti ya Afrika nan je ya Afrikaa.
Bo ambaye usiku wa jana Novemba 7, aliweza kupiga shoo hiyo kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NCgCraIBOQU/VUutED9AZQI/AAAAAAAHWNc/ly010DrcIhM/s72-c/DSCF2245.jpg)
EFM kuongoza Sherehe za Miaka 16 ya muziki kwa msanii Juma Nature
![](http://3.bp.blogspot.com/-NCgCraIBOQU/VUutED9AZQI/AAAAAAAHWNc/ly010DrcIhM/s640/DSCF2245.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AmFfKIHqioM/VUutEAhmygI/AAAAAAAHWNg/gV3YA0OUTTo/s640/DSCF2234.jpg)