Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwanini Mr. Nice anafanya muziki kwa Nyodo? stori iko hapa….

Inawezekana kabisa haujamuona Mr Nice kumiliki zile chart za Top 20 za radio lakini hajakata tamaa ya kutafuta maisha ana mambo yake mengine anayoyafanya tofauti na muziki. Mr Nice anasema kwasasa amejihusisha kwenye miradi ya ufugaji wa kuku pamoja na kilimo, ila  kwenye headlines za muziki amesema  kwamba anaufanya kwa nyodo,..kumsikia mwenyewe na sababu zake […]

The post Kwanini Mr. Nice anafanya muziki kwa Nyodo? stori iko hapa…. appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Wasanii kulipwa nyimbo zinapopigwa Redioni/TV? stori iko hapa….. (+Audio)

Stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa Nikki wa pili akifunguka kuhusiana kupitishwa kwa sheria inayohusu wasanii kulipwa nyimbo zinapochezwa katika TV na Redioni. Akiongea na ripota wa millardayo.com alisema’Leo kulifanyika mkutano mdogo ambapo mawaziri wawili (Waziri wa Viwanda na Biashara & Waziri wa Utamaduni/Sanaa na Michezo cha msingi ilikuwa ni kwamba imezinduliwa rasmi sheria […]

The post Wasanii kulipwa nyimbo zinapopigwa Redioni/TV? stori iko hapa….. (+Audio) appeared first...

 

9 years ago

MillardAyo

Upo Dar na ungependa kwenda cinema leo JAN 2 ? ratiba iko hapa…

The Last Witch Hunter ni movie mpya iliyochezwa na staa Vin Diesel itayoanza kuonyeshwa leo dunia nzima kwenye theater mbalimbali, kama vipi ungana na dunia nzima na wewe ukaangalie movie hii, kama upo unaweza kuchagua muda wako pa kwenda kuangalia kati ya majumba ya Cinema Dar es salaam Mlimani City, Oysterbay au Quality Center. The […]

The post Upo Dar na ungependa kwenda cinema leo JAN 2 ? ratiba iko hapa… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa

Inawezekana ulikuwa na hamu ya kufahamu chanzo cha kutengana kwa wasanii wawili wanaounda kundi la 2 Berry (Berry Black & Berry White) mwaka 2006. Akiongea exclusive interview na ripota wa millardayo.com Berry Black ambaye kwasasa makazi yake yapo Dar es Salaam huku kazi zake zikiwa zinasimamiwa na Mkurugenzi wa TMK Wanaume Family, Said Fella….’Chanzo cha […]

The post Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa appeared first on...

 

11 years ago

Bongo5

Young Killer alipigwa na mama yake mpaka kuzimia baada ya kugundulika anafanya muziki

Mama wa msanii wa muziki wa Hip Hop Young Killer Msodoki, amesema kuwa anafurahishwa sana na kipaji cha mtoto wake ambacho kinaendelea kuonekana siku hadi siku licha ya kwamba mwanzoni aliwahi kumkataza kwa kumpiga mwanaye huyo mpaka kuzimia ile aachane na muziki. Young Killer akiwa na mama yake Mama Msodoki alikuwa akizungumza na Bongo5 jana […]

 

9 years ago

MillardAyo

DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!!

Ile kauli ya Rais kuhakikisha anapunguza matumizi yasiyo yalazima kwa Serikali imeendelea kuchukua headlines, pia tumeshuhudia baadhi ya viongozi wakisimamishwa kazi kutokana na matumizi mabaya ya fedha za umma Leo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amewageukia wakandarasi wa barabara za Manispaa yake ambao imeonekana wametumia kiasi cha fedha za umma kinyume na makubaliano. […]

The post DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!! appeared first on...

 

10 years ago

Bongo5

Msanii wa Kenya aelezea kwa kirefu kwanini muziki wa Tanzania uko juu kuliko wao

Msanii wa Kenya aitwaye Shreekezy ameeleza kwa kirefu zile anazoamini ni sababu za muziki wa Tanzania kuwa juu kuliko wa kwao. Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye ukurasa wake wa Facebook: “A time like now, a few years ago, I was a rapper trying to make a living from music. Don’t get me wrong, I […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Fahamu kwanini idadi ya vifo vya coronavirus iko juu Italy?

Mlipuko wa virusi vya corona unaendelea kuliathiri pakubwa taifa la Itali, huku hospitali zikishindwa kumudu idadi ya maambukizi mbali na kuwekwa kwa sheria ya kutotoka nje.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto anafanya mchezo wa panya kwa paka?

PANYA na paka ni maadui ambao kamwe hawawezi kukaa pamoja. Palipo na paka, panya lazima ajifiche vinginevyo ataliwa. Lakini ukimwona panya anachezea mbele ya paka jua kwamba kuna shimo karibu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kallage Aeleza Kwanini Ameacha Kufanya Video za Muziki

Mtayarishaji video za muziki na filamu anayeshikilia rekodi ya kushinda tuzo mbili za filamu za TAFA 2015, John Kallaghe amefunguka juu ya sababu za kuacha kufanya video za muziki, kubwa ikiwa ni mabadiliko ya soko na kupungua kwa wawezeshaji katika soko hilo.

Kallaghe ameiambia eNewz ya EATV kuwa soko la utayarishaji video linabadilika kwa kasi kinguvu kazi na kiteknolojia likihitaji vipaji vipya na mtu aliye tayari kwenda kwa kasi hiyo, pili ikiwa ni kuanza kupotea kwa wadau ambao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani