Wasanii kulipwa nyimbo zinapopigwa Redioni/TV? stori iko hapa….. (+Audio)
Stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa Nikki wa pili akifunguka kuhusiana kupitishwa kwa sheria inayohusu wasanii kulipwa nyimbo zinapochezwa katika TV na Redioni. Akiongea na ripota wa millardayo.com alisema’Leo kulifanyika mkutano mdogo ambapo mawaziri wawili (Waziri wa Viwanda na Biashara & Waziri wa Utamaduni/Sanaa na Michezo cha msingi ilikuwa ni kwamba imezinduliwa rasmi sheria […]
The post Wasanii kulipwa nyimbo zinapopigwa Redioni/TV? stori iko hapa….. (+Audio) appeared first...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Wasanii Bongo kulipwa kwa nyimbo zao kuchezwa kwenye Tv na Radio? majibu anayo Waziri…(+Audio)
Tumekuwa tukishuhudia au kusikia baadhi ya wasanii wa ng’ambo wakinufaika kwa namna tofauti katika sanaa zao kwa kupitia nyimbo zao kuchezwa kwenye vituo vya Radio na Tv kisha kulipwa mkwanja mrefu na kukuza uchumi kupitia vipaji vyao. Sasa leo Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye ana haya ya kukufahamisha kuhusu wasanii wa […]
The post Wasanii Bongo kulipwa kwa nyimbo zao kuchezwa kwenye Tv na Radio? majibu anayo Waziri…(+Audio) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Kwanini Mr. Nice anafanya muziki kwa Nyodo? stori iko hapa….
Inawezekana kabisa haujamuona Mr Nice kumiliki zile chart za Top 20 za radio lakini hajakata tamaa ya kutafuta maisha ana mambo yake mengine anayoyafanya tofauti na muziki. Mr Nice anasema kwasasa amejihusisha kwenye miradi ya ufugaji wa kuku pamoja na kilimo, ila kwenye headlines za muziki amesema kwamba anaufanya kwa nyodo,..kumsikia mwenyewe na sababu zake […]
The post Kwanini Mr. Nice anafanya muziki kwa Nyodo? stori iko hapa…. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo518 Nov
Hakuna usawa wa upigwaji nyimbo za wasanii redioni – Msechu
![11313715_1589914501273876_1692260028_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11313715_1589914501273876_1692260028_n-300x194.jpg)
Peter Msechu amelalamikia ukiritimba uliopo katika vyombo vya habari na kudai ndio unaosababisha nyimbo nzuri kutopata nafasi za kufanya vizuri.
Akizungumza katika kipindi The Jump off cha Times FM, Msechu alisema amekuwa akijaribu mara kwa mara kufanya ‘ngoma’ nzuri kwa maendeleo ya Bongo Flava lakini huwa hazieleweki zinapoishia.
“Nafikiri kuwe na utaratibu mzuri redioni, kuwe na usawa katika upigaji nyimbo,” alisema. “Sasa kama mmoja atalia mara moja halafu mwingine mara kumi tutakuwa...
10 years ago
Bongo520 Jan
Kama wasanii wakubwa wanalalamika kushamiri kwa hongo redioni ili nyimbo zichezwe, kuna tatizo
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Upo Dar na ungependa kwenda cinema leo JAN 2 ? ratiba iko hapa…
The Last Witch Hunter ni movie mpya iliyochezwa na staa Vin Diesel itayoanza kuonyeshwa leo dunia nzima kwenye theater mbalimbali, kama vipi ungana na dunia nzima na wewe ukaangalie movie hii, kama upo unaweza kuchagua muda wako pa kwenda kuangalia kati ya majumba ya Cinema Dar es salaam Mlimani City, Oysterbay au Quality Center. The […]
The post Upo Dar na ungependa kwenda cinema leo JAN 2 ? ratiba iko hapa… appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo17 Dec
DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!!
Ile kauli ya Rais kuhakikisha anapunguza matumizi yasiyo yalazima kwa Serikali imeendelea kuchukua headlines, pia tumeshuhudia baadhi ya viongozi wakisimamishwa kazi kutokana na matumizi mabaya ya fedha za umma Leo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amewageukia wakandarasi wa barabara za Manispaa yake ambao imeonekana wametumia kiasi cha fedha za umma kinyume na makubaliano. […]
The post DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!! appeared first on...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa
Inawezekana ulikuwa na hamu ya kufahamu chanzo cha kutengana kwa wasanii wawili wanaounda kundi la 2 Berry (Berry Black & Berry White) mwaka 2006. Akiongea exclusive interview na ripota wa millardayo.com Berry Black ambaye kwasasa makazi yake yapo Dar es Salaam huku kazi zake zikiwa zinasimamiwa na Mkurugenzi wa TMK Wanaume Family, Said Fella….’Chanzo cha […]
The post Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa appeared first on...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Marufuku ya disko toto?? Walionaswa na pembe za ndovu? Panga la Rais Magufuli? Stori+Audio
Kwenye stori kubwa leo December 23 2015 kuna hizi kubwa zilizoguswa na uchambuzi wa redioni Clouds FM. Kamanda Kova ametangaza kupiga marufuku disco toto siku za sikukuu, atangaza Jeshi la Polisi Dar linawashikilia watu wawili kwa tuhuma na kukutwa na vipande zaidi ya 150 vya pembe za ndovu… Kuna stori pia kuhusu Polisi mmoja kutoroka […]
The post Marufuku ya disko toto?? Walionaswa na pembe za ndovu? Panga la Rais Magufuli? Stori+Audio appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Wasanii Bongo Kuanza Kulipwa Kutoka Nje ya Nchi
Mkurugenzi Mkuu wa CMEA, Paul Matthysse ‘P-Funk’ akizungumza jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Waandishi wa habari, wasanii na wadau wa sanaa nchini wakifuatilia semina hiyo.
Afisa Mtendaji Mkuu kutoka COSOTA Bi. Doreen Sinare akiwafafanulia jambo wadau wa sanaa.
Staa wa Hip Hop, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ akiwa na Prodyuza Lamar wakifuatilia semina hiyo.
Staa wa Bongo Fleva, Barnabas Elias ‘Barnaba’ akiuliza swali kwa wahusika ambao ni COSOTA na CMEA.
Wadau wa sanaa...