Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto anafanya mchezo wa panya kwa paka?

PANYA na paka ni maadui ambao kamwe hawawezi kukaa pamoja. Palipo na paka, panya lazima ajifiche vinginevyo ataliwa. Lakini ukimwona panya anachezea mbele ya paka jua kwamba kuna shimo karibu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JIDE, GARDNER SASA PAKA NA PANYA

Stori: Richard Bukos
PAMOJA na kutumia nguvu nyingi kukanusha kwenye mitandao kwamba ndoa yao haijavunjika, mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Habash ‘G. Habash’ na ‘mtalaka’ wake, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’, Jumamosi iliyopita walifanya tukio lililowashangaza watu kufuatia kila mmoja kuingia ukumbini akiwa na kampani yake na kukwepana kama paka na panya, Amani liliwanasa kwa vile...

 

11 years ago

Mwananchi

SIMULIZI: Dullah: Natamani ningezaliwa paka nikamate panya

>Kila sherehe inahitaji maandalizi japo kidogo kulingana na kiwango cha fedha walichonacho waandaaji. Kwa mfano kufanya harusi unahitaji vikao, michango na mambo mengine kama hayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mzazi unamwitaje mtoto wako panya, mjusi, paka?

Unashtuka? Kuna mtu anaitwa Panya Mjusi. Panya ni jina lake na Mjusi ni la baba yake. Kwa miaka zaidi ya 20 sasa ameendelea kutumia majina hayo.

 

10 years ago

Vijimambo

HAPO SASA PAKA RODI NA PANYA RODI

snitch anapokuektia" na huku kitambo umechil unamsikilizia"anapojigamba yeye panya road" haelewi anachorwa tu na paka road"

 

10 years ago

Michuzi

NJIA ZA "PANYA" ZA SUKARI ZINAUA VIWANDA VYA NDANI - ZITTO KABWE

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Mashirika ya Umma (PAC),Mh. Zitto Kabwe (wa tatu kulia) akizungumza wakati akiongoza kikao cha Kamati yake na Uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kilichofanyika kwenye ofisi ndogo za Bunge,Jijini Dar es salaam leo.Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Rished Bade akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Mashirika ya Umma (PAC) na  Uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kilichofanyika...

 

9 years ago

MillardAyo

Kwanini Mr. Nice anafanya muziki kwa Nyodo? stori iko hapa….

Inawezekana kabisa haujamuona Mr Nice kumiliki zile chart za Top 20 za radio lakini hajakata tamaa ya kutafuta maisha ana mambo yake mengine anayoyafanya tofauti na muziki. Mr Nice anasema kwasasa amejihusisha kwenye miradi ya ufugaji wa kuku pamoja na kilimo, ila  kwenye headlines za muziki amesema  kwamba anaufanya kwa nyodo,..kumsikia mwenyewe na sababu zake […]

The post Kwanini Mr. Nice anafanya muziki kwa Nyodo? stori iko hapa…. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Amjeruhi mtoto kwa wizi wa paka

Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Mengwe, Adinani Kingazi amemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, Gedfrey Kimaria (35) baada ya kukutwa na hatia ya kumjeruhi vibaya mtoto wa miaka sita kwa kumng’ata mgongoni kwa madai ya kuiba paka.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ushindi mkubwa kwa niaba ya paka Uturuki

Mwanamke nchini Uturuki ameshinda kesi dhidi ya watu waliotaka kumfukuza paka wake kutoka kwa nyumba ambayo yeye amekuwa akiishi kama mpangaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani