Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIMULIZI: Dullah: Natamani ningezaliwa paka nikamate panya

>Kila sherehe inahitaji maandalizi japo kidogo kulingana na kiwango cha fedha walichonacho waandaaji. Kwa mfano kufanya harusi unahitaji vikao, michango na mambo mengine kama hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Natamani kusikiliza simulizi za Bahkresa, Mengi

Ni miezi kadhaa sasa gazeti hili limekuwa likiwahoji baadhi ya wajasiriamali wadogo na kuchapisha habari zao katika jarida la uchumi kila Alhamisi.

 

10 years ago

GPL

JIDE, GARDNER SASA PAKA NA PANYA

Stori: Richard Bukos
PAMOJA na kutumia nguvu nyingi kukanusha kwenye mitandao kwamba ndoa yao haijavunjika, mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Habash ‘G. Habash’ na ‘mtalaka’ wake, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’, Jumamosi iliyopita walifanya tukio lililowashangaza watu kufuatia kila mmoja kuingia ukumbini akiwa na kampani yake na kukwepana kama paka na panya, Amani liliwanasa kwa vile...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto anafanya mchezo wa panya kwa paka?

PANYA na paka ni maadui ambao kamwe hawawezi kukaa pamoja. Palipo na paka, panya lazima ajifiche vinginevyo ataliwa. Lakini ukimwona panya anachezea mbele ya paka jua kwamba kuna shimo karibu...

 

10 years ago

Mwananchi

Mzazi unamwitaje mtoto wako panya, mjusi, paka?

Unashtuka? Kuna mtu anaitwa Panya Mjusi. Panya ni jina lake na Mjusi ni la baba yake. Kwa miaka zaidi ya 20 sasa ameendelea kutumia majina hayo.

 

10 years ago

Vijimambo

HAPO SASA PAKA RODI NA PANYA RODI

snitch anapokuektia" na huku kitambo umechil unamsikilizia"anapojigamba yeye panya road" haelewi anachorwa tu na paka road"

 

9 years ago

Bongo5

Ningezaliwa Marekani, Nigeria au SA ningekuwa tajiri mwenye hela nyingi sana — Jaffarai

Rapper Jaffarai anaamini kuwa soko la muziki la Tanzania halijakitendea haki kipaji chake ambacho thamani yake kama angekuwa amezaliwa nchini Marekani, Nigeria au Afrika Kusini ambako muziki uko juu basi angekuwa tajiri. “Kitu kikubwa kinachonigharimu ni kuzaliwa Tanzania na huu muziki wangu but kama ingekuwa nimezaliwa Marekani, South Africa, Nigeria au kwa nchi ambayo muziki […]

 

10 years ago

Vijimambo

DULLAH MSANGI AWAALIKA MARAFIKI KWENYE BBQ, HOOVER, ALABAMA.

 DJ Dullah Msangi aki-BBQ nyumbani kwake Hoover, Alabama. BBQ hiyo iliandaliwa kuadhimisha pasaka pamoja na kukaribisha baadhi ya ndugu kutoka Tanzania. Kutoka kushoto: Dullah, Victor, wakizungumza na Mama Mtui. Rafiki wa Dullah Msangi wakipata mlo aliowaandalia nyumbani kwake. Kutoka kushoto: Gerald, Awwal, na Victor. Wageni waalikwa wakifurahia mjumuiko wa chakula cha jioni nyumbani kwa Dullah Msangi. Kutoka kushoto ni Mtoto Caren, Mama Mtui, na bi harusi mtarajiwa Suzan, ambaye ni mchumba...

 

9 years ago

Vijimambo

HATA WEWE UNAWEZA KUWA KAMA DULLAH USIKATE TAMAA!!

Hiyu ni Dulla Starfitness wa Brooklyn. NY  ndoto zake kuwa bingwa wa NPC Brooklyn Grand Prix, katika mashindano yaliyo fanyika mwezi wa kumi  Dulla aliingia kwenye top 5. Sasa anajifua zaidi hili atimize ndoto zake za kuwa champion wa Bikini and Physique kwenye mashindano yanayokuja.
Mashindano yaliyopita akiwa na vazi la ufukweni.

 

10 years ago

Vijimambo

DJ DULLAH AKARIBISHA MARAFIKI KUANGALIA MPAMBANO WA MAYWEATHER VS PACQUIAO NYUMBANI KWAKE BIRMINGHAM, ALABAMA USA.

 DJ Dullah aki BBQ nyumbani kwake baada ya kukaribisha marafiki kuangalia ngumi za Mayweather vs Pacquiao.Kutoka kushoto: Eng. Mhagama, Njovu, na Dj. Dullah wakitayarisha makulaji kabla ya mpambano kati ya Mayweather na Pacquiao.Kwa picha zaidi bofya SOMA ZAIDI









 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani