Ningezaliwa Marekani, Nigeria au SA ningekuwa tajiri mwenye hela nyingi sana — Jaffarai
Rapper Jaffarai anaamini kuwa soko la muziki la Tanzania halijakitendea haki kipaji chake ambacho thamani yake kama angekuwa amezaliwa nchini Marekani, Nigeria au Afrika Kusini ambako muziki uko juu basi angekuwa tajiri. “Kitu kikubwa kinachonigharimu ni kuzaliwa Tanzania na huu muziki wangu but kama ingekuwa nimezaliwa Marekani, South Africa, Nigeria au kwa nchi ambayo muziki […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLNINGEKUWA MIMI CHENGE,NISINGEDIRIKI KUJIITA NYOKA MWENYE MAKENGEZA
10 years ago
Bongo Movies28 May
Nimeshatoa mimba nyingi sana-Irene Paul
Muigizaji wa filamu za kibongo ambaye wiki iliyopita ameshinda tuzo ya muingizaji bora wa kike katika tuzo za Filamu nchini Tanzania (TAFA) Irene Paul amefunguka na kusema kuwa ameshatoa mimba nyingi sana, Irene Paul alisema hayo alipokuwa akichat Live katika kipengele cha KIKAANGONI kinachofanyika katika ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka kumi Alasiri.
Irene Paul alisema kuwa mara nyingi amekuwa akitoa mimba hizo katika filamu kutokana na kuuvaa...
9 years ago
Bongo518 Nov
Kuna siasa nyingi sana nyuma ya huu muziki – Q-Chief
![Chilla](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Chilla-300x194.jpg)
Mwimbaji wa Bongo Fleva, Q-Chilla amesema kuwa muziki wa Bongo umetawaliwa na siasa nyingi, kitendo kinachosababisha wengi wao kushindwa kufanikiwa.
“Kuna politics nyingi sana nyuma ya huu muziki, siasa ambazo kwa namna moja au nyingine zinawademoralize wasanii,” alisema Q-Chief kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. “kwa sababu watu wana talent zao, watu wana vision zao lakini wamewekewa limitation ya vile vitu wanakusudia kuvifanya, kwa hiyo we ukiona wanaweka bariers nyingi you...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Maro Itoje: Je mchezaji huyo mwenye mizizi yake Nigeria ataiwakilisha England au Nigeria?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbInsB5bPTeKPqhD-lx8I5XDcvisLnWMVXZvcVDCVp-BSEuKBcxmGMSG0*t1E7JFVoGudwJkzBZ-5MPR4cuTi2f/HAWAGHASIA.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI HAWA GHASIA, NINGEKUWA WA KWANZA KUJIUZULU
9 years ago
Bongo511 Sep
Tumepata feedback ‘Game’ inafanya vizuri sana kwenye nchi nyingi Afrika — Nahreel
9 years ago
Bongo517 Nov
Mimi ni mtu mwenye aibu sana kiasi ambacho watu huhisi najisikia – B12
![11191079_151146088570015_1052326676_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11191079_151146088570015_1052326676_n-300x194.jpg)
Mtangazaji mahiri wa kipindi cha XXL cha Clouds FM, Hamis Mandi aka B12 amesema watu wengi humfirikia tofauti na alivyo.
B-Dozen amesema watu wengi huhisi ni mtu mwenye kujisikia na asiyependa kujichanganya na watu.
“Watu hunifikiria tofuti na nilivyo,” Dozen ameliambia gazeti la Mwananchi. “Mimi ni mtu mwenye aibu sana. Mara nyingi kama mtu simjui vizuri inanipa wakati mgumu kutoa ushirikiano kutokana na kuwa huwa najishtukia,” aliongeza.
“Sio kama najitenga ni udhaifu wangu unasababisha...
9 years ago
Bongo519 Nov
Nina nyimbo nyingi sana so msishtuke kuona natoa nyimbo 2 au 3 kwa mpigo – Wakazi
![wakazi2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wakazi2-300x194.jpg)
Rapper Wakazi amesema kuwa mashabiki wake wasishtuke wakiona anaachia nyimbo 2 au 3 kwa mpigo kwasababu ana nyimbo nyingi sana alizorekodi na anazoendelea kurekodi kwaajili ya album zake mbili.
Kupitia Instagram Wakazi amesema kuanzia kesho anaanza kuachia nyimbo hizo kwaajili ya mashabiki wake.
“Nimekuwa studio kwa Muda mrefu nikiandaa Albums zangu mbili, na wakati bado zoezi hilo linaendelea I think it’s only right I start releasing some of the songs for my fans. Nina nyimbo nyingi sana...