Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuna siasa nyingi sana nyuma ya huu muziki – Q-Chief

Chilla

Mwimbaji wa Bongo Fleva, Q-Chilla amesema kuwa muziki wa Bongo umetawaliwa na siasa nyingi, kitendo kinachosababisha wengi wao kushindwa kufanikiwa.

Chilla

“Kuna politics nyingi sana nyuma ya huu muziki, siasa ambazo kwa namna moja au nyingine zinawademoralize wasanii,” alisema Q-Chief kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. “kwa sababu watu wana talent zao, watu wana vision zao lakini wamewekewa limitation ya vile vitu wanakusudia kuvifanya, kwa hiyo we ukiona wanaweka bariers nyingi you...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

NYUMA YA BSS KUNA DAMU, MACHOZI NA JASHO!

“Vipi, nikuwashie AC? Naona kama unahisi joto, kuwa huru hapa ni mahali ambapo mtu akifika, uhuru wa nafsi na akili unahitajika sana, pia karibu kwa vinywaji, niambie tu chochote, nitakuhudumia,” ni mazungumzo ya kwanza kabisa kutoka kinywani mwa mwanamke shujaa, hodari, jasiri na mpambanaji katika maisha. Staili ya maisha yake, ni kawaida tofauti na hadhi ya jina lake katika jamii! Hajikwezi wala kujibagua na watu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Snura awaambia wako nyuma sana

MWANADADA anayetamba katika muziki wa mduara, Snura Mushi ‘Snura’ au ‘Mamaa Majanga’ amesambaza kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Uko Nyuma Sana’. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Snura...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nimeshatoa mimba nyingi sana-Irene Paul

Muigizaji wa filamu za kibongo ambaye wiki iliyopita ameshinda tuzo ya muingizaji bora wa kike katika tuzo za Filamu nchini Tanzania (TAFA) Irene Paul amefunguka na kusema kuwa ameshatoa mimba nyingi sana, Irene Paul alisema hayo alipokuwa akichat Live katika kipengele cha KIKAANGONI kinachofanyika katika ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka kumi Alasiri.

Irene Paul alisema kuwa mara nyingi amekuwa akitoa mimba hizo katika filamu kutokana na kuuvaa...

 

10 years ago

Vijimambo

USWAHILI KUNA RAHA SANA

Kwa wale tuliokulia kitaa hii tuna miss sana jikumbushe na wewe kipindi hicho ulikuwa wapi 

 

9 years ago

Bongo5

Ningezaliwa Marekani, Nigeria au SA ningekuwa tajiri mwenye hela nyingi sana — Jaffarai

Rapper Jaffarai anaamini kuwa soko la muziki la Tanzania halijakitendea haki kipaji chake ambacho thamani yake kama angekuwa amezaliwa nchini Marekani, Nigeria au Afrika Kusini ambako muziki uko juu basi angekuwa tajiri. “Kitu kikubwa kinachonigharimu ni kuzaliwa Tanzania na huu muziki wangu but kama ingekuwa nimezaliwa Marekani, South Africa, Nigeria au kwa nchi ambayo muziki […]

 

9 years ago

Bongo5

Tumepata feedback ‘Game’ inafanya vizuri sana kwenye nchi nyingi Afrika — Nahreel

Producer na msanii wa Navy Kenzo, Nahreel amekiri kuwa ngoma yao ‘Game’ ndio imefungua njia waliyohangaika kuitafuta kwa muda mrefu. Ndani ya mwezi mmoja toka waiachie, ‘Game’ imeweza kukamata chati mbalimbali za Radio na Tv sehemu nyingi Afrika. Imeshika namba moja kwenye chati za vituo hivyo ikiwa ni pamoja na Top Ten East ya Soundcity […]

 

5 years ago

Michuzi

INTRODUCING NEW CLUB BANGER UWAPENDE SANA BY Q Chief aka Q Chilla

After lying low for three months Q Chief/Q Chilla is back gain with another stunning banger titled Uwapende sana.
Yesterday (18th May, 2020) the Bongo Flava Legend was celebrating his birthday and decided to bless us with this club banger "Uwapende sana".
Produced by Daxo Chali & Marco Chali. Arranged by Daxo Chali mastering by Marco Chali.

 

10 years ago

Bongo Movies

Jokate:Kuna Mtu Namtamani Sana Kimapenzi na Ninamvutia Kasi Nimpate

Staa  mrembo wa Bongo Movies na Bongo Fleva ambaye pia  mwanamitindo na mjasiliamali  Jokate Mwegelo 'jojo' au Kidoti amefunguka kuwa kuna mtu anamtamani sana kimapenzi na anamvutia kasi kumpata

Akizungumza  kwenye show weekend “the playlist”  ndani ya studio za Times FM, Kidoti, alisanuka hayo akihusisha ukweli huo na kile alichokiimba kwenye hit single yake “Leo leo” na Ice Prince

“Yah nyimbo inahusiana coz kuna mtu namtamani sana yani, ila akizingua tu nambwaga bado namuangalia” alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani