Kuna siasa nyingi sana nyuma ya huu muziki – Q-Chief
Mwimbaji wa Bongo Fleva, Q-Chilla amesema kuwa muziki wa Bongo umetawaliwa na siasa nyingi, kitendo kinachosababisha wengi wao kushindwa kufanikiwa.
“Kuna politics nyingi sana nyuma ya huu muziki, siasa ambazo kwa namna moja au nyingine zinawademoralize wasanii,” alisema Q-Chief kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. “kwa sababu watu wana talent zao, watu wana vision zao lakini wamewekewa limitation ya vile vitu wanakusudia kuvifanya, kwa hiyo we ukiona wanaweka bariers nyingi you...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/madam-rita.jpg)
NYUMA YA BSS KUNA DAMU, MACHOZI NA JASHO!
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Snura awaambia wako nyuma sana
MWANADADA anayetamba katika muziki wa mduara, Snura Mushi ‘Snura’ au ‘Mamaa Majanga’ amesambaza kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Uko Nyuma Sana’. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Snura...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
10 years ago
Bongo Movies28 May
Nimeshatoa mimba nyingi sana-Irene Paul
Muigizaji wa filamu za kibongo ambaye wiki iliyopita ameshinda tuzo ya muingizaji bora wa kike katika tuzo za Filamu nchini Tanzania (TAFA) Irene Paul amefunguka na kusema kuwa ameshatoa mimba nyingi sana, Irene Paul alisema hayo alipokuwa akichat Live katika kipengele cha KIKAANGONI kinachofanyika katika ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka kumi Alasiri.
Irene Paul alisema kuwa mara nyingi amekuwa akitoa mimba hizo katika filamu kutokana na kuuvaa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-GCOZ5xGq6vY/VPLKi9UPXkI/AAAAAAADbAg/XXBFKVdlrOI/s72-c/_MG_4151.jpg)
USWAHILI KUNA RAHA SANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GCOZ5xGq6vY/VPLKi9UPXkI/AAAAAAADbAg/XXBFKVdlrOI/s1600/_MG_4151.jpg)
9 years ago
Bongo516 Sep
Ningezaliwa Marekani, Nigeria au SA ningekuwa tajiri mwenye hela nyingi sana — Jaffarai
9 years ago
Bongo511 Sep
Tumepata feedback ‘Game’ inafanya vizuri sana kwenye nchi nyingi Afrika — Nahreel
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/XYnZlQ_0jtE/default.jpg)
INTRODUCING NEW CLUB BANGER UWAPENDE SANA BY Q Chief aka Q Chilla
Yesterday (18th May, 2020) the Bongo Flava Legend was celebrating his birthday and decided to bless us with this club banger "Uwapende sana".
Produced by Daxo Chali & Marco Chali. Arranged by Daxo Chali mastering by Marco Chali.
10 years ago
Bongo Movies28 Apr
Jokate:Kuna Mtu Namtamani Sana Kimapenzi na Ninamvutia Kasi Nimpate
Staa mrembo wa Bongo Movies na Bongo Fleva ambaye pia mwanamitindo na mjasiliamali Jokate Mwegelo 'jojo' au Kidoti amefunguka kuwa kuna mtu anamtamani sana kimapenzi na anamvutia kasi kumpata
Akizungumza kwenye show weekend “the playlist” ndani ya studio za Times FM, Kidoti, alisanuka hayo akihusisha ukweli huo na kile alichokiimba kwenye hit single yake “Leo leo” na Ice Prince
“Yah nyimbo inahusiana coz kuna mtu namtamani sana yani, ila akizingua tu nambwaga bado namuangalia” alisema...