Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYUMA YA BSS KUNA DAMU, MACHOZI NA JASHO!

“Vipi, nikuwashie AC? Naona kama unahisi joto, kuwa huru hapa ni mahali ambapo mtu akifika, uhuru wa nafsi na akili unahitajika sana, pia karibu kwa vinywaji, niambie tu chochote, nitakuhudumia,” ni mazungumzo ya kwanza kabisa kutoka kinywani mwa mwanamke shujaa, hodari, jasiri na mpambanaji katika maisha. Staili ya maisha yake, ni kawaida tofauti na hadhi ya jina lake katika jamii! Hajikwezi wala kujibagua na watu wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Delfina: Natoka machozi na jasho la damu

>Waswahili husema; matatizo hayapigi hodi. Ndivyo ilivyo siyo kwa waswahili tu, bali kwa binadamu wote.Miongoni mwa watu wanaoweza kuelezea vyema kauli hiyo msichana Delfina Cedeno (19), ambaye hutokwa na machozi na jasho la damu.

 

9 years ago

GPL

BSS 2015: KILICHOFICHWA NYUMA YA PAZIA CHAFICHUKA

Musa Mateja na Imelda Mtema  MASHINDANO ya Bongo Star Search (BSS) 2015, wikiendi iliyopita yalifikia tamati huku historia ya kwanza ikiwekwa na kijana mwenye umri wa miaka 19 tu, Kayumba Juma aliyeibuka kidedea kwa kuwatupa wenzake 6 waliofaulu kuingia fainali na licha ya shughuli hiyo kumalizika salama, lakini kilichojificha nyuma ya pazia kimefichuka. Mshindi wa Shindano la Bongo Star Search 2015 (BSS), Kayumba Juma...

 

9 years ago

Bongo5

Hussein Machozi adai kukosa management kumemrudisha nyuma

Hussein Machozi amewataka mashabiki wake kujua kuwa tatizo linalomkwamisha kupiga hatua zaidi katika muziki wake ni kukosa management. Akizungumza kwenye kipindi cha FNL cha EATV, Hussein alisema nguvu yake binafsi anayotumia ndio imeishia hapo alipo sasa. “Watanzania wanataka ukitoa ngoma na ukiki jumla. Kumbuka kwamba nilipokuwa nikifanya vile nilikuwa kwenye management na sasa hivi nafanya […]

 

9 years ago

Bongo5

Kuna siasa nyingi sana nyuma ya huu muziki – Q-Chief

Chilla

Mwimbaji wa Bongo Fleva, Q-Chilla amesema kuwa muziki wa Bongo umetawaliwa na siasa nyingi, kitendo kinachosababisha wengi wao kushindwa kufanikiwa.

Chilla

“Kuna politics nyingi sana nyuma ya huu muziki, siasa ambazo kwa namna moja au nyingine zinawademoralize wasanii,” alisema Q-Chief kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. “kwa sababu watu wana talent zao, watu wana vision zao lakini wamewekewa limitation ya vile vitu wanakusudia kuvifanya, kwa hiyo we ukiona wanaweka bariers nyingi you...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa Benki ya Barclays wajitolea Damu kuadhimisha siku ya Damu Duniani

01

Mfanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Agnes Mushi akijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani inayotarajiwa kuadhimishwa kesho. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Anayemtoa ni Mtaalamu wa kutoa damu kutoka kitengo cha Damu Salama, Judith Goshashy.

02

Wafanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Marcy  Mwakajwanga na Kassim Kanyamara (kulia) wakijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani...

 

11 years ago

GPL

MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA -TANZANIA CHANGIA DAMU OKOA MAISHA

Bango kwa ajili ya uhamasichaji wa uchangiaji damu.
Hapa ni kwa aajili ya kupimwa presha, ushauri na kutolewa damu.
Hatua ya kwanza kwa mchangia damu.…

 

5 years ago

Michuzi

AZAM FC, TFF KUADHIMISHA SIKU YA UTOAJI DAMU DUNIANI KWA KUCHANGIA DAMU

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiKUELEKEA siku ya utoaji damu duniani Juni 14 kila mwaka, Klabu ya Azam imeungana Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuadhimisha siku hiyo muhimu.
Zoezi hilo la uchangiaji damu linatarajiwa kufanyika nje ya Uwanja wa Azam Complex kuanzia majira ya saa 6 mchana.
Juni 14, Azam itakuwa ikicheza mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Mbao saa 1.00 usiku na kuhusisha watu wa aina mbalimbali.
Zoezi hilo la uchangiaji damu na kudumisha shirikiano huo...

 

11 years ago

GPL

BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU DUNIANI JUNI 14, 2014

 Mtaalam wa kutoa damu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Peter Chami (kushoto) akimtoa damu Meneja Mwandamizi Tawi la Samora la Benki ya Exim Nancy Huggins, ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Uchangiaji Damu Duniani inayofanyika kila mwaka ifikapo Juni 14  Mtaalam wa kutoa damu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Peter Chami (kushoto) akimtoa damu Afisa wa Benki ya Exim Daniel Lukuba, ikiwa ni maadhimisho ya Siku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani