BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU DUNIANI JUNI 14, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-EYXbjlLREWo/U5vgEQs9ECI/AAAAAAACjZM/ewbmg7rMYIo/s1600/EXIM+BLOOD+PIX+1.jpg)
 Mtaalam wa kutoa damu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Peter Chami (kushoto) akimtoa damu Meneja Mwandamizi Tawi la Samora la Benki ya Exim Nancy Huggins, ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Uchangiaji Damu Duniani inayofanyika kila mwaka ifikapo Juni 14  Mtaalam wa kutoa damu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Peter Chami (kushoto) akimtoa damu Afisa wa Benki ya Exim Daniel Lukuba, ikiwa ni maadhimisho ya Siku...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/---fnEB9MwfU/VX6cT_ZV_4I/AAAAAAAC6rg/G08Xq8b7HEA/s72-c/unnamed.jpg)
BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA KUCHANGIA DAMU DUNIANI. DAR ES SALAAM: JUNE 14, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/---fnEB9MwfU/VX6cT_ZV_4I/AAAAAAAC6rg/G08Xq8b7HEA/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IRxgF1BsE_U/VX6UusV8zuI/AAAAAAAC6qo/te0Vu82P4GA/s640/Exim%2BPicture%2B2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog12 Jun
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays wajitolea Damu kuadhimisha siku ya Damu Duniani
Mfanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Agnes Mushi akijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani inayotarajiwa kuadhimishwa kesho. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Anayemtoa ni Mtaalamu wa kutoa damu kutoka kitengo cha Damu Salama, Judith Goshashy.
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Marcy Mwakajwanga na Kassim Kanyamara (kulia) wakijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s72-c/yanga%252Blogo.jpg)
AZAM FC, TFF KUADHIMISHA SIKU YA UTOAJI DAMU DUNIANI KWA KUCHANGIA DAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s400/yanga%252Blogo.jpg)
Zoezi hilo la uchangiaji damu linatarajiwa kufanyika nje ya Uwanja wa Azam Complex kuanzia majira ya saa 6 mchana.
Juni 14, Azam itakuwa ikicheza mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Mbao saa 1.00 usiku na kuhusisha watu wa aina mbalimbali.
Zoezi hilo la uchangiaji damu na kudumisha shirikiano huo...
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Benki ya Exim yaaadhimisha siku ya damu duniani
Na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
WAFANYAKAZI wa Benki ya Exim Tanzania, wameadhimisha siku ya kuchangia damu duniani.
Kutokana na uzito wa siku hiyo, mwishoni mwa wiki walijitokeza makao makuu ya benki ya damu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku hiyo, kama njia ya kutambua umuhimu wa hitaji hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati zoezi hilo likiendelea, Mkuu wa Kitengo cha rasilimali watu wa benki hiyo, Frederick Kanga, alisema hatua hiyo...
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA BENKI YA NBC WAJITOLEA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WQFJA5SYdOY/U-kLpFUySUI/AAAAAAAF-n4/MttKk-yLXDM/s72-c/download+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-b_As5MMU8o8/U9TzsH1No4I/AAAAAAAAFt4/3LXCcf3qBHA/s72-c/IMG_2508.jpg)
KUFUATIA MUAMKO HAFIFU WA UCHANGIAJI DAMU MKOANI RUKWA KUTOKANA NA DHANA POTOFU ZILIZOPO, MADAKTARI WAONYESHA MFANO KWA KUCHANGIA DAMU KATIKA HOSPITALI KUU YA MKOA HUO
![](http://3.bp.blogspot.com/-b_As5MMU8o8/U9TzsH1No4I/AAAAAAAAFt4/3LXCcf3qBHA/s1600/IMG_2508.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LjP7O6Zoqzc/XlErDHg3oAI/AAAAAAAC78U/IHTSN9tvlyE5QLIJspWo7lHby-TNs405wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200222-WA0037.jpg)
TGGA WACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA KUMBUKUMBU YA WAASISI WA GIRL GUIDES
Sherehe hizo hufanyika ifikapo Februari 22 kila mwaka.Akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam Kamishina mkuu wa TGGA Tanzania Symphorosa Hangi amesema wameweza kusherehekea siku hiyo muhimu kwa kufanya shughuli za kijamii katika maeneo tofauti nchini pamoja na kuchangia damu.
Amesema, wamefanya shughuli za kijamii...
11 years ago
Michuzi14 Jun
MAMA SALMA KIKWETE AWASILI KIGOMA AKIWA MGENI RASMI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU SALAMA KITAIFA.