Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYUMA YA DIAMOND KUNA WASAFI CLASSIC BABY (WCB)

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WASAFI CLASSIC WAJINAFASI NDANI YA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS LEO

Vijana wanaounda Kundi la Wasafi Classic linaloongozwa na Diamond Platnumz wakiwasili katika ofisi za Global Publishers Ltd leo. Wasafi Classic wakiwa ndani ya ofisi za Global Publishers.…

 

9 years ago

Bongo5

Diamond adai WCB Records itakuwa ‘house of hits’

Diamond Platnumz anaamini kuwa studio yake, WCB Records itakuwa ni nyumbani kwa hits. Muimbaji huyo amepost picha kwenye Instagram akiwa na Shetta na kuandika: WCB_Wasafi Records ryt now!! na @shettatz , Damn! I can’t wait for you guys to start listening to what this Studio Got… that’s why we decided to call it #TheHouseOfHits.” Diamond […]

 

10 years ago

Vijimambo

Picha za shabiki aliyejichora majina ya Diamond,Zari na WcB.

Hizi picha za shabiki aliyejichora majina ya WCB ,Diamond na Zari the boss lady, ilikuwa kwenye show ya tigo kibokoyao jumamosi hii.

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND PLATNUMZ NA TIMU YAKE YA WCB WATEMBELEA UBALOZI LONDON

Diamond Platnumz akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Peter Kalage katika Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza baada ya msanii huyo mwenye jina kubwa Tanzania na Duniani kwa ujumla akiwa na timu yake walipotembelea Ubalozi huo mjini London.

 

9 years ago

GPL

NYUMA YA BSS KUNA DAMU, MACHOZI NA JASHO!

“Vipi, nikuwashie AC? Naona kama unahisi joto, kuwa huru hapa ni mahali ambapo mtu akifika, uhuru wa nafsi na akili unahitajika sana, pia karibu kwa vinywaji, niambie tu chochote, nitakuhudumia,” ni mazungumzo ya kwanza kabisa kutoka kinywani mwa mwanamke shujaa, hodari, jasiri na mpambanaji katika maisha. Staili ya maisha yake, ni kawaida tofauti na hadhi ya jina lake katika jamii! Hajikwezi wala kujibagua na watu wa...

 

9 years ago

Bongo5

Kuna siasa nyingi sana nyuma ya huu muziki – Q-Chief

Chilla

Mwimbaji wa Bongo Fleva, Q-Chilla amesema kuwa muziki wa Bongo umetawaliwa na siasa nyingi, kitendo kinachosababisha wengi wao kushindwa kufanikiwa.

Chilla

“Kuna politics nyingi sana nyuma ya huu muziki, siasa ambazo kwa namna moja au nyingine zinawademoralize wasanii,” alisema Q-Chief kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. “kwa sababu watu wana talent zao, watu wana vision zao lakini wamewekewa limitation ya vile vitu wanakusudia kuvifanya, kwa hiyo we ukiona wanaweka bariers nyingi you...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani