Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond adai WCB Records itakuwa ‘house of hits’

Diamond Platnumz anaamini kuwa studio yake, WCB Records itakuwa ni nyumbani kwa hits. Muimbaji huyo amepost picha kwenye Instagram akiwa na Shetta na kuandika: WCB_Wasafi Records ryt now!! na @shettatz , Damn! I can’t wait for you guys to start listening to what this Studio Got… that’s why we decided to call it #TheHouseOfHits.” Diamond […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Picha za shabiki aliyejichora majina ya Diamond,Zari na WcB.

Hizi picha za shabiki aliyejichora majina ya WCB ,Diamond na Zari the boss lady, ilikuwa kwenye show ya tigo kibokoyao jumamosi hii.

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND PLATNUMZ NA TIMU YAKE YA WCB WATEMBELEA UBALOZI LONDON

Diamond Platnumz akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Peter Kalage katika Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza baada ya msanii huyo mwenye jina kubwa Tanzania na Duniani kwa ujumla akiwa na timu yake walipotembelea Ubalozi huo mjini London.

 

9 years ago

Bongo5

Majuto awataka vijana kwenda Hijja, adai nchi itakuwa na amani

Alhaj King Majuto amewataka vijana kutumia muda wao kwenda Hijja ili kujifunza mambo yatakayosaidia kuleta amani nchini. Majuto ambaye alikuwa Hijja hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa vijana hawana hofu ya Mungu ndio maana wanafanya vitu vya kuhatarisha amani. “Hijja ni muhimu sana, ni nguzo ya tano ya dini ya kiislamu. Kwa wenye uwezo vijana ndio […]

 

9 years ago

Bongo5

Hanscana adai studio ya video anayojenga itakuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki

Muongozaji wa video na mshindi wa Tuzo za Watu, Hanscana amesema studio ya video anayoijenga itakuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki. Hanscana ameiambia Bongo5 kuwa ujenzi wa studio hiyo umeanza tayari na unatarajia kukamilika muda wowote. “Studio ninayojenga ni studio kubwa ambayo haijawahi kutokea Afrika Mashariki,” amesema. “Hata ukitaka nije nikuonyeshe studio yangu inavyojenga mwenyewe utakubali. […]

 

11 years ago

TheCitizen

House divided as Membe hits back

>Foreign Affairs and International Cooperation minister Bernard Membe said yesterday that he would resign if the Opposition proved his controversial remarks about Rwanda were wrong.

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND PLATNUMZ CONCERT AFTER PATY ITAKUWA NDANI YA CLUB YA KISASA

Baada ya Uhuru Party Mambo yote StoneFish Lounge DC

 

9 years ago

Bongo5

Hatimaye Diamond afanya collabo na Ne-Yo, asema itakuwa ‘hit song’

Kile kilichosubiriwa kwa hamu na mashabiki toka Diamond na Ne-Yo wakutane Afrika Kusini kwenye tuzo za MAMA 2015 hatimaye kimetimia, ni collabo ya Diamond Platnumz na mwimbaji huyo wa R&B kutoka Marekani. Diamond kupitia ukurasa wake wa Instagram amemshukuru Ne-Yo baada ya kumaliza kurekodi wimbo huo. Katika picha aliyopost akiwa na Ne-Yo studio, pia anaonekana […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani