Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majuto awataka vijana kwenda Hijja, adai nchi itakuwa na amani

Alhaj King Majuto amewataka vijana kutumia muda wao kwenda Hijja ili kujifunza mambo yatakayosaidia kuleta amani nchini. Majuto ambaye alikuwa Hijja hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa vijana hawana hofu ya Mungu ndio maana wanafanya vitu vya kuhatarisha amani. “Hijja ni muhimu sana, ni nguzo ya tano ya dini ya kiislamu. Kwa wenye uwezo vijana ndio […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mama Kikwete awataka vijana kuwa na msimamo na kutokubali kutumika katika vurugu zinazohatarisha amani na usalama wa nchi

IMG_7656

Katibu wa Shina la Wakereketwa Zahanati Kempu Ndugu Hidaya Chivi Ali akikabidhi risala ya wanachama wa Shina hilo kwa Mjumbe wa NEC Taifa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.

Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete amewataka vijana kuwa na msimamo na kutokubali kutumika katika vurugu zinazohatarisha amani na usalama wa nchi.

Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho...

 

9 years ago

Bongo5

Baada ya kutoka Hijja: Majuto hafanyi tena filamu za aina hii

Muigizaji na mchekeshaji maarufu nchini, Alhaj Athumani King Majuto, amesema baada ya kwenda kuhiji Mecca, atakuwa hafanyi tena filamu ambazo ndani yake kutakuwa na matendo ya kumchukiza Mungu. “Sasa hivi filamu kama za kunywa pombe au kuna matukio ya kumchukiza Mungu siwezi kufanya,” Majuto ameiambia Bongo5. “Lakini ambazo zitakuwa hazima matukio kama hayo nitaendelea kufanya. […]

 

9 years ago

StarTV

Ukosefu wa ajira  kwa vijana watishia amani ya nchi

Waziri wa ulinzi na Jeshi la kujenga uchumi Dr Husein Ali Mwinyi  amesema miongoni mwa matatizo makubwa yanayoikabili nchi ni ukosefu wa ajira kwa vijana jambo ambalo linahitaji mikakati imara na mipango thabiti ya ushirikiano itakayopelekea kuwanusuru vijana kujiingiza katika vitendo viovu kwa kuwajengea misingi ya ajira.

Anasema kuzisaidia jumuiya za kiraia zenye malengo ya kuwakusanya vijana na kuwapatia stadi za kiuchumi na ajira ni hatua muhimu kwa viongozi na wadau wengine kuwajibika...

 

9 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA IDARA YA UHAMIAJI KURASINI JIJINI DAR ES SALAAM — AWATAKA WATENDAJI KWENDA NA KASI MPYA

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (kushoto), akisalimiana na Kamishna wa Uhamiaji (Utawala na Fedha), Piniel Mgonja , wakati wa  ziara ya kikazi Makao Makuu ya Uhamiaji,Kurasini jijini Dar es Salaam.  Wa kwanza kushoto ni Kamishna Jenerali  wa Uhamiaji, Sylvester  Ambokile. Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester  Ambokile (kushoto), akimuonesha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo, baadhi ya Ofisi za Idara ya Uhamiaji, wakati...

 

10 years ago

Michuzi

MUDA WA KUJISAJILI KWENDA HIJJA WASOGEZWA MBELE TOKA JUNI 15 HADI AGOSTI 25, 2015

 Naibu Mwenyekiti Ofisi Kuu ya Hijja Tanzania (BIITHA), Yusuf Musun (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu kusogezwa mbele muda wa kujisajili kwenda Hijja kutoka Juni 15 hadi Agosti 25 mwaka huu. Kulia ni Ofisa Habari wa Biitha, Hamisi Tembo na Mratibu wa Biitha, Abdallah Khalid.Mkutano na wanahabari ukiendelea.

Na Dotto Mwaibale

MAHUJAJI nchini wametakiwa kujitokeza kujisajili katika taasisi zilizosajiliwa kisheria ili kujiandaa kwenda...

 

10 years ago

Bongo Movies

Majuto Adai Kushobokewa na ‘Vibinti’

STAA mkongwe kunako filamu Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amefungukia shutuma anazopewa na mashabiki wake kwa kupenda kuonekana na ‘vibinti’ kuwa wanamshobokea mwenyewe.

Akichezesha taya na Amani, Mzee Majuto ambaye kifani ni bingwa wa komedi alisema, kutokana na kazi yake ya uigizaji imemfanya kuzimikiwa haswa na mabinti.

“Sijawahi kumshobokea binti yoyote ila wenyewe ndiyo huwa wananishobokea kutokana na uigizaji wangu,” alisema Mzee Majuto.

Hivi karibuni, Mzee Majuto alidaiwa kuoa...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond adai WCB Records itakuwa ‘house of hits’

Diamond Platnumz anaamini kuwa studio yake, WCB Records itakuwa ni nyumbani kwa hits. Muimbaji huyo amepost picha kwenye Instagram akiwa na Shetta na kuandika: WCB_Wasafi Records ryt now!! na @shettatz , Damn! I can’t wait for you guys to start listening to what this Studio Got… that’s why we decided to call it #TheHouseOfHits.” Diamond […]

 

10 years ago

GPL

MAJUTO ADAI KUSHOBOKEWA NA ‘VIBINTI’

Brighton Masalu
STAA mkongwe kunako filamu Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amefungukia shutuma anazopewa na mashabiki wake kwa kupenda kuonekana na ‘vibinti’ kuwa wanamshobokea mwenyewe. Staa mkongwe kunako filamu Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’. Akichezesha taya na Amani, Mzee Majuto ambaye kifani ni bingwa wa komedi alisema, kutokana na kazi yake ya uigizaji imemfanya kuzimikiwa...

 

9 years ago

Bongo5

Hanscana adai studio ya video anayojenga itakuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki

Muongozaji wa video na mshindi wa Tuzo za Watu, Hanscana amesema studio ya video anayoijenga itakuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki. Hanscana ameiambia Bongo5 kuwa ujenzi wa studio hiyo umeanza tayari na unatarajia kukamilika muda wowote. “Studio ninayojenga ni studio kubwa ambayo haijawahi kutokea Afrika Mashariki,” amesema. “Hata ukitaka nije nikuonyeshe studio yangu inavyojenga mwenyewe utakubali. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani