Majuto awataka vijana kwenda Hijja, adai nchi itakuwa na amani
Alhaj King Majuto amewataka vijana kutumia muda wao kwenda Hijja ili kujifunza mambo yatakayosaidia kuleta amani nchini. Majuto ambaye alikuwa Hijja hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa vijana hawana hofu ya Mungu ndio maana wanafanya vitu vya kuhatarisha amani. “Hijja ni muhimu sana, ni nguzo ya tano ya dini ya kiislamu. Kwa wenye uwezo vijana ndio […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Dec
Mama Kikwete awataka vijana kuwa na msimamo na kutokubali kutumika katika vurugu zinazohatarisha amani na usalama wa nchi
Katibu wa Shina la Wakereketwa Zahanati Kempu Ndugu Hidaya Chivi Ali akikabidhi risala ya wanachama wa Shina hilo kwa Mjumbe wa NEC Taifa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete amewataka vijana kuwa na msimamo na kutokubali kutumika katika vurugu zinazohatarisha amani na usalama wa nchi.
Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho...
9 years ago
Bongo520 Oct
Baada ya kutoka Hijja: Majuto hafanyi tena filamu za aina hii
9 years ago
StarTV28 Dec
Ukosefu wa ajira kwa vijana watishia amani ya nchi
Waziri wa ulinzi na Jeshi la kujenga uchumi Dr Husein Ali Mwinyi amesema miongoni mwa matatizo makubwa yanayoikabili nchi ni ukosefu wa ajira kwa vijana jambo ambalo linahitaji mikakati imara na mipango thabiti ya ushirikiano itakayopelekea kuwanusuru vijana kujiingiza katika vitendo viovu kwa kuwajengea misingi ya ajira.
Anasema kuzisaidia jumuiya za kiraia zenye malengo ya kuwakusanya vijana na kuwapatia stadi za kiuchumi na ajira ni hatua muhimu kwa viongozi na wadau wengine kuwajibika...
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA IDARA YA UHAMIAJI KURASINI JIJINI DAR ES SALAAM — AWATAKA WATENDAJI KWENDA NA KASI MPYA
10 years ago
MichuziMUDA WA KUJISAJILI KWENDA HIJJA WASOGEZWA MBELE TOKA JUNI 15 HADI AGOSTI 25, 2015
Na Dotto Mwaibale
MAHUJAJI nchini wametakiwa kujitokeza kujisajili katika taasisi zilizosajiliwa kisheria ili kujiandaa kwenda...
10 years ago
Bongo Movies24 Jul
Majuto Adai Kushobokewa na ‘Vibinti’
STAA mkongwe kunako filamu Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amefungukia shutuma anazopewa na mashabiki wake kwa kupenda kuonekana na ‘vibinti’ kuwa wanamshobokea mwenyewe.
Akichezesha taya na Amani, Mzee Majuto ambaye kifani ni bingwa wa komedi alisema, kutokana na kazi yake ya uigizaji imemfanya kuzimikiwa haswa na mabinti.
“Sijawahi kumshobokea binti yoyote ila wenyewe ndiyo huwa wananishobokea kutokana na uigizaji wangu,” alisema Mzee Majuto.
Hivi karibuni, Mzee Majuto alidaiwa kuoa...
9 years ago
Bongo505 Oct
Diamond adai WCB Records itakuwa ‘house of hits’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DRnf2KAR*PJqZYSRptwWRSzZwFthP7lpmjmbGaPmsfxo0Ts-8tpiXvMer87EVYb9ed-TDDo9bKRwpbqk7*pYWSD/mzee.jpg?width=650)
MAJUTO ADAI KUSHOBOKEWA NA ‘VIBINTI’
9 years ago
Bongo507 Oct
Hanscana adai studio ya video anayojenga itakuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki