Mama Kikwete awataka vijana kuwa na msimamo na kutokubali kutumika katika vurugu zinazohatarisha amani na usalama wa nchi
Katibu wa Shina la Wakereketwa Zahanati Kempu Ndugu Hidaya Chivi Ali akikabidhi risala ya wanachama wa Shina hilo kwa Mjumbe wa NEC Taifa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete amewataka vijana kuwa na msimamo na kutokubali kutumika katika vurugu zinazohatarisha amani na usalama wa nchi.
Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AgUFv3kamzA/VVCv2pOdd1I/AAAAAAAHWo4/87BMqd4K8xM/s72-c/mama-salma.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA VIJANA KUWA WAZALENDO NA KUTOKUBAGUANA BALI WASAMBAZE UPENDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-AgUFv3kamzA/VVCv2pOdd1I/AAAAAAAHWo4/87BMqd4K8xM/s400/mama-salma.jpg)
Vijana mkoani Lindi wametakiwa kuwa wazalendo na kutobaguana bali wasambaze upendo na kujiona wote ni sawa kwa kufanya hivyo wataondoa chuki na kudumisha amani, mshikamano na umoja katika jamii inayowazunguka.
Mwito huo umetolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akifungua klabu zalendo zilizopo katika Manispaa ya Lindi.
Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alisema kama jamii itajenga tabia ya ubaguzi italeta chuki na upendo utatoweka na...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AFbi7rHRE_w/VNnVtGRin0I/AAAAAAACW7g/m-wz5Mz9gmw/s72-c/salmakikwete.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WAKAZI WA WILAYA YA LINDI KUTOKUBALI KUUZA MAENEO YA UFUKWE WA BAHARI KWA BEI YA CHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-AFbi7rHRE_w/VNnVtGRin0I/AAAAAAACW7g/m-wz5Mz9gmw/s640/salmakikwete.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Bye6BgmhnSc/VNnD6TvsEcI/AAAAAAAHCuU/IJs0AJg-WlQ/s72-c/ki.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WAKAZI WA WILAYA YA LINDI KUTOKUBALI KUUZA MAENEO YA UFUKWE WA BAHARI KWA BEI YA CHINIYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bye6BgmhnSc/VNnD6TvsEcI/AAAAAAAHCuU/IJs0AJg-WlQ/s1600/ki.jpg)
10/2/2015 Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete amewataka wakazi wa wilaya hiyo kutokubali kuuza maeneo ya ufukwe wa Bahari ya Hindi kwa kiasi kidogo cha fedha kwani thamani ya maeneo hayo ni kubwa.
Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alitoa rai hiyo jana wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa Halmashauri kuu ya tawi ya Chama hicho katika...
9 years ago
Bongo521 Oct
Majuto awataka vijana kwenda Hijja, adai nchi itakuwa na amani
Alhaj King Majuto amewataka vijana kutumia muda wao kwenda Hijja ili kujifunza mambo yatakayosaidia kuleta amani nchini. Majuto ambaye alikuwa Hijja hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa vijana hawana hofu ya Mungu ndio maana wanafanya vitu vya kuhatarisha amani. “Hijja ni muhimu sana, ni nguzo ya tano ya dini ya kiislamu. Kwa wenye uwezo vijana ndio […]
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OAw5aRoV7Ug/VAW3rQb1RhI/AAAAAAAGbYE/SBL-MX_vbsQ/s72-c/k1.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA AMANI NA USALAMA WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA JIJNI NAIROBI
![](http://1.bp.blogspot.com/-OAw5aRoV7Ug/VAW3rQb1RhI/AAAAAAAGbYE/SBL-MX_vbsQ/s1600/k1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HPgp8vM0-gE/VAW3rEnRHOI/AAAAAAAGbYA/xdP9i7U8zsE/s1600/k2.jpg)
11 years ago
MichuziMAMA MARIA NYERERE AWAOMBA WAKE WA VIONGOZI KUENDELEA KUIOMBEA NCHI IENDELEE KUWA NA AMANI NA MAENDELEO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rqTubKysjU8/U-j09nlCF6I/AAAAAAAF-ik/cf0C2FboFws/s72-c/unnamed+(8).jpg)
mama pinda katika mkutano wa Dunia wa masuala ya Amani, Usalama na Maendeleo jijini Seoul, Korea Kusini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-rqTubKysjU8/U-j09nlCF6I/AAAAAAAF-ik/cf0C2FboFws/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wgZu-iWRWZs/U6cICrTfXRI/AAAAAAAFsRQ/kN5-QCKbhRM/s72-c/ki.jpg)
Mama Kikwete awataka wazazi na walezi kuwekeza katika elimu ya watoto wao
![](http://2.bp.blogspot.com/-wgZu-iWRWZs/U6cICrTfXRI/AAAAAAAFsRQ/kN5-QCKbhRM/s1600/ki.jpg)
Wazazi na walezi wilayani Lindi mjini wametakiwa kuwekeza katika elimu ya watoto wao kwa kuhakikisha wanakwenda shule kwa wakati kwani elimu ni ukombozi wa maisha na kuolewa katika umri mdogo kwa watoto hao hakutawasaidia kimaisha.
Mwito huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa Halmashauri kuu ya tawi ya Chama...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania