mama pinda katika mkutano wa Dunia wa masuala ya Amani, Usalama na Maendeleo jijini Seoul, Korea Kusini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-rqTubKysjU8/U-j09nlCF6I/AAAAAAAF-ik/cf0C2FboFws/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda (wa tatu kushoto) akiwa na viongozi wakuu wakifuatilia mada kwenye mkutano wa siku moja ulioandaliwa na Shirikisho la Wanawake na Amani Duniani (WFWP) kwenye ukumbi wa Jumba la Makumbusho la Kimkoo, jijini Seoul, Korea Kusini leo mchana (Agosti 11, 2014). Kutoka kushoto ni Balozi wa Uruguay nchini Korea, Alba Rosa Legnani, Mke wa Rais wa visiwa vya Marshall, Bibi Lieom Anono Loeak na wa kwanza kulia ni mke wa Rais wa zamani wa Uruguay, Bibi Mercedes...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog11 Aug
Mama Tunu Pinda ahudhuria mkutano wa dunia kuhusu Amani na Usalama jijini Seoul, Korea Kusini
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda akitambulishwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Dunia kuhusu Amani na Usalama ulioanza leo (Agosti 10, 2014) jijini Seoul, Korea Kusini. Wengine kutoka kushoto ni Mke wa Rais wa visiwa vya Marshall, Bibi Lieom Anono Loeak, Rais wa WFWP (International), Prof. Yeon Choi Moon, Waziri Mkuu wa Timor Mashariki, Xanana Gusmao na mke wa Rais wa visiwa vya Samoa, Bibi Filifilia Tamasese (PICHA NA IRENE BWIRE WA OWM).
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda akiwa na...
11 years ago
MichuziMAMA TUNU PINDA ASHIRIKI MKUTANO WA DUNIA KUHUSU AMANI NA USALAMA JIJINI SEOUL,KOREA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6Pr83NMg6Qc/U-o4I_WOz9I/AAAAAAACnRE/KYMqbIVJ9mQ/s1600/DSC03141.jpg)
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Mama Tunu Pinda kwenye Mkutano wa Dunia kuhusu Amani na Usalama unaoendelea jijini Seoul, Korea Kusini
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda akifuatilia matukio kwenye ukumbi wa Mkutano wa Dunia kuhusu Amani na Usalama unaoendelea jijini Seoul, Korea Kusini. Wa pili kulia ni Rais mstaafu wa Mali, Prof. Dioncounda Traore. Wa kwanza kushoto ni Rais wa Samoa, Bw. Tui Atua Tupua Tamasese na mkewe Bibi Filifilia Tamasese. (PICHA NA IRENE BWIRE WA OWM).
Baadhi ya wajumbe kutoka Kenya, Tanzania na Lesotho ambao wanashiriki Mkutano wa Dunia kuhusu Amani na Usalama unaoendelea jijini Seoul, Korea...
10 years ago
Dewji Blog13 Aug
Mama Tunu Pinda aula kuwa Balozi wa Amani Duniani jijini Seoul, Korea Kusini
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda akiwa na Rais wa Universal Peace Federation (UPF), Dk. Thomas Walsh (kushoto) na Mwenyekiti wa UPF, Dk. Charles Yang mara baada ya kutunukiwa cheti cha kumtambua kama Balozi wa Amani Duniani katika hafla ya kufunga Mkutano wa Dunia kuhusu Amani na Usalama uliomalizika jana usiku (Agosti 12, 2014) jijini Seoul, Korea Kusini. (PICHA NA IRENE BWIRE WA OWM).
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda (wa pili kulia mstari wa mbele) katika picha ya pamoja viongozi...
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANI, USALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TX2XjoiTBLE/VSwhBZ2t7bI/AAAAAAAHRBk/uNAAdkdXUH8/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
mkutano wa saba wa maji wa dunia seoul, Korea
![](http://4.bp.blogspot.com/-TX2XjoiTBLE/VSwhBZ2t7bI/AAAAAAAHRBk/uNAAdkdXUH8/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
Spika Anne Makinda na Naibu Waziri wa Maji Mhe. Amos Makalla wakiwa ndani ya treni toka Seoul kwenda Gyeongbuk kushiriki mkutano saba wa Maji wa dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-suDOGozbT1k/VSwh_b3i_FI/AAAAAAAHRB0/DOdPqFS8Kfs/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DWAfY4YSt1Q/VSwhexT8Q8I/AAAAAAAHRBs/rtBMwZR6yZ8/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KPQa9Qm_bCw/VTfp0Q5RmfI/AAAAAAAHSoo/UIQrwNWHOaQ/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
Serikali ya Tanzania na Korea ya Kusini zakubadilishana uzoefu katika masuala ya uwekezaji
![](http://1.bp.blogspot.com/-KPQa9Qm_bCw/VTfp0Q5RmfI/AAAAAAAHSoo/UIQrwNWHOaQ/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-av2p5PepJls/VTfp0Q5axvI/AAAAAAAHSow/K0UKb8xejKc/s1600/unnamed%2B(68).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OAw5aRoV7Ug/VAW3rQb1RhI/AAAAAAAGbYE/SBL-MX_vbsQ/s72-c/k1.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA AMANI NA USALAMA WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA JIJNI NAIROBI
![](http://1.bp.blogspot.com/-OAw5aRoV7Ug/VAW3rQb1RhI/AAAAAAAGbYE/SBL-MX_vbsQ/s1600/k1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HPgp8vM0-gE/VAW3rEnRHOI/AAAAAAAGbYA/xdP9i7U8zsE/s1600/k2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hJYXvI0Tzqk/VEaZImNqQ_I/AAAAAAAGshM/G2NioOhFrrM/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
MAKAMU WA RAID DKT. BILAL, AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA UNAOJADILI MASUALA YA AMANI BARANI AFRIKA, LEO JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hJYXvI0Tzqk/VEaZImNqQ_I/AAAAAAAGshM/G2NioOhFrrM/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AXTknJIJmEs/VEaZJL6fKVI/AAAAAAAGshY/6kdeBCe_DkI/s1600/unnamed%2B(8).jpg)