Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Delfina: Natoka machozi na jasho la damu

>Waswahili husema; matatizo hayapigi hodi. Ndivyo ilivyo siyo kwa waswahili tu, bali kwa binadamu wote.Miongoni mwa watu wanaoweza kuelezea vyema kauli hiyo msichana Delfina Cedeno (19), ambaye hutokwa na machozi na jasho la damu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

NYUMA YA BSS KUNA DAMU, MACHOZI NA JASHO!

“Vipi, nikuwashie AC? Naona kama unahisi joto, kuwa huru hapa ni mahali ambapo mtu akifika, uhuru wa nafsi na akili unahitajika sana, pia karibu kwa vinywaji, niambie tu chochote, nitakuhudumia,” ni mazungumzo ya kwanza kabisa kutoka kinywani mwa mwanamke shujaa, hodari, jasiri na mpambanaji katika maisha. Staili ya maisha yake, ni kawaida tofauti na hadhi ya jina lake katika jamii! Hajikwezi wala kujibagua na watu wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Kajala: Natoka na Pishu

Kajala-Masanja-5331NA SHARIFA MMASI
MWIGIZAJI wa filamu nchini, Kajala Masanja ‘Kajala’ yupo katika hatua za mwisho kutoka na filamu yake mpya aliyoiita ‘Pishu’.
Filamu hiyo inatarajiwa kutoka siku ya wafanyakazi (Mei mosi) mwaka huu, ambapo katika filamu hiyo wasanii mbalimbali, akiwemo Hemedi Suleiman ‘PHD’, Mzee Onyango na wengineo wengi watakuwepo.
“Filamu hiyo ina mafunzo pamoja na kuchekesha, ni filamu itakayokuwa tofauti na nyingine kwa kuwa imeandaliwa katika ubora wa hali ya juu,’’ alisema...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa Benki ya Barclays wajitolea Damu kuadhimisha siku ya Damu Duniani

01

Mfanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Agnes Mushi akijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani inayotarajiwa kuadhimishwa kesho. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Anayemtoa ni Mtaalamu wa kutoa damu kutoka kitengo cha Damu Salama, Judith Goshashy.

02

Wafanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Marcy  Mwakajwanga na Kassim Kanyamara (kulia) wakijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani...

 

11 years ago

GPL

MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA -TANZANIA CHANGIA DAMU OKOA MAISHA

Bango kwa ajili ya uhamasichaji wa uchangiaji damu.
Hapa ni kwa aajili ya kupimwa presha, ushauri na kutolewa damu.
Hatua ya kwanza kwa mchangia damu.…

 

5 years ago

Michuzi

AZAM FC, TFF KUADHIMISHA SIKU YA UTOAJI DAMU DUNIANI KWA KUCHANGIA DAMU

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiKUELEKEA siku ya utoaji damu duniani Juni 14 kila mwaka, Klabu ya Azam imeungana Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuadhimisha siku hiyo muhimu.
Zoezi hilo la uchangiaji damu linatarajiwa kufanyika nje ya Uwanja wa Azam Complex kuanzia majira ya saa 6 mchana.
Juni 14, Azam itakuwa ikicheza mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Mbao saa 1.00 usiku na kuhusisha watu wa aina mbalimbali.
Zoezi hilo la uchangiaji damu na kudumisha shirikiano huo...

 

11 years ago

GPL

BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU DUNIANI JUNI 14, 2014

 Mtaalam wa kutoa damu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Peter Chami (kushoto) akimtoa damu Meneja Mwandamizi Tawi la Samora la Benki ya Exim Nancy Huggins, ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Uchangiaji Damu Duniani inayofanyika kila mwaka ifikapo Juni 14  Mtaalam wa kutoa damu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Peter Chami (kushoto) akimtoa damu Afisa wa Benki ya Exim Daniel Lukuba, ikiwa ni maadhimisho ya Siku...

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA BINADAMU DAMU, BILA DAMU SANAMU!

Inakuwaje watu wangu wa nguvu? Niaje…niaje kitaa hiyo? Hapo Roki Siti mzuka? Hapa vumbi tu! Ama nini? Kama vipi karibu jamvini tukisanue tugedha! Kwani kuna mbaya? Haina kwikwi jamaa yangu. Hapa mdogomdogo bati weka mbali na madongo…ooohooo! Utaambulia patupu ndani ya dakika ziro. Kuna mnyama wangu mmoko kaniteli kuwa ni bora kupanga kwa faza hausi kuliko maza hausi! Unanyaka kwa nini? Selaa anakuteli kuwa washua...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA KUCHANGIA DAMU DUNIANI. DAR ES SALAAM: JUNE 14, 2015

 Mmoja wa wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania  Bi. Ilakiza Hezwa (kulia) akichangia damu sambamba na wafanyakazi wenzie waliojitokeza makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya uchangiaji damu duniani .Kushoto ni Ofisa wa Mpango wa taifa wa damu salama (NBTS) Bw. Peter Chami. Mkuu wa kitengo Uendeshaji na teknolojia Bw. Hamza Mohamed (kulia) akipima shinikizo la damu kabla ya kuungana na wafanyakazi wenzie wa benki hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani