Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kajala: Natoka na Pishu

Kajala-Masanja-5331NA SHARIFA MMASI
MWIGIZAJI wa filamu nchini, Kajala Masanja ‘Kajala’ yupo katika hatua za mwisho kutoka na filamu yake mpya aliyoiita ‘Pishu’.
Filamu hiyo inatarajiwa kutoka siku ya wafanyakazi (Mei mosi) mwaka huu, ambapo katika filamu hiyo wasanii mbalimbali, akiwemo Hemedi Suleiman ‘PHD’, Mzee Onyango na wengineo wengi watakuwepo.
“Filamu hiyo ina mafunzo pamoja na kuchekesha, ni filamu itakayokuwa tofauti na nyingine kwa kuwa imeandaliwa katika ubora wa hali ya juu,’’ alisema...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

10 years ago

Bongo Movies

Kajala Aamua Kukomaa Kuiuza 'Pishu'

Staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja, katika harakati za kupanua zaidi soko la usambazaji filamu hapa Tanzania, amesema kuwa filamu yake inayoitwa 'Pishu' imefanyika na kusambazwa chini ya usimamizi wake mwenyewe imefikia hatua nzuri inayompa moyo.

Kajala ambaye ameonesha mfano kwa wasanii wenzake kuwa inawezekana kuwafikia mashabiki kwa kazi endapo mtu atafanya kazi ya ziada kujisimamia mpaka mwisho, kwa kushirikiana na timu yake amesema kuwa kwa sapoti ya mashabiki anaamini amepiga hatua...

 

10 years ago

Bongo Movies

Filamu Mpya: Kajala Kutoa PISHU siku ya Mei Mosi

Staa mrembo wa Bongo Movies, Kajala Masanja ‘Kay’ anatalajia kuingiza sokoni filamu yake mpya inayoitwa PISHU siku ya Mei Mosi mwaka huu.

"Movie yangu mpya PISHU inaingia rasmi sokoni/mtaani MEI MOSI (1/5/2015). Ndani kuna Hemmedy PHD, Senga,  Tausi Mdegela,  Asha Boko na Mzee Onyango,  itasambazwa  na KAJALA ENTERTAINMENT & BABY BLACK PRODUCTIONS...Filamu hii ina mafunzo pamoja na kuchekesha, ni filamu itakayokuwa tofauti na nyingine kwa kuwa imeandaliwa katika ubora wa hali ya juu,’’...

 

11 years ago

Mwananchi

Delfina: Natoka machozi na jasho la damu

>Waswahili husema; matatizo hayapigi hodi. Ndivyo ilivyo siyo kwa waswahili tu, bali kwa binadamu wote.Miongoni mwa watu wanaoweza kuelezea vyema kauli hiyo msichana Delfina Cedeno (19), ambaye hutokwa na machozi na jasho la damu.

 

10 years ago

GPL

MUVI MPYA YA PISHU KUINGIA SOKONI KESHO

MUVI mpya ya Pishu kutoka Kajala Intertaiment & Baby Black Productions itakuwa sokoni kesho usikose kujipatia nakala yako kwani ndani yake utakutana mastaa wakali wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja, Hemedy Phd, Tausi, Senga na wengine kibao. Kajala akiongea na mtandao huu amewaomba mashabiki wake na wapenzi wa filamu za Kibongo kutoikosa muvi hiyo itapatikana sehemu zote Tanzania kuanzia kesho. ...

 

11 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala


Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji  Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari  ambayo  ilisambaa  katika  mitandao  mbalimbali  ya  kijamii.

Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani