KAJALA NA HEMEDI WAFUNGUKA KUHUSU PISHU
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/JB5tUyWnQAc/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania17 Apr
Kajala: Natoka na Pishu
NA SHARIFA MMASI
MWIGIZAJI wa filamu nchini, Kajala Masanja ‘Kajala’ yupo katika hatua za mwisho kutoka na filamu yake mpya aliyoiita ‘Pishu’.
Filamu hiyo inatarajiwa kutoka siku ya wafanyakazi (Mei mosi) mwaka huu, ambapo katika filamu hiyo wasanii mbalimbali, akiwemo Hemedi Suleiman ‘PHD’, Mzee Onyango na wengineo wengi watakuwepo.
“Filamu hiyo ina mafunzo pamoja na kuchekesha, ni filamu itakayokuwa tofauti na nyingine kwa kuwa imeandaliwa katika ubora wa hali ya juu,’’ alisema...
10 years ago
Bongo Movies05 Jun
Kajala Aamua Kukomaa Kuiuza 'Pishu'
Staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja, katika harakati za kupanua zaidi soko la usambazaji filamu hapa Tanzania, amesema kuwa filamu yake inayoitwa 'Pishu' imefanyika na kusambazwa chini ya usimamizi wake mwenyewe imefikia hatua nzuri inayompa moyo.
Kajala ambaye ameonesha mfano kwa wasanii wenzake kuwa inawezekana kuwafikia mashabiki kwa kazi endapo mtu atafanya kazi ya ziada kujisimamia mpaka mwisho, kwa kushirikiana na timu yake amesema kuwa kwa sapoti ya mashabiki anaamini amepiga hatua...
10 years ago
Bongo Movies18 Apr
Filamu Mpya: Kajala Kutoa PISHU siku ya Mei Mosi
Staa mrembo wa Bongo Movies, Kajala Masanja ‘Kay’ anatalajia kuingiza sokoni filamu yake mpya inayoitwa PISHU siku ya Mei Mosi mwaka huu.
"Movie yangu mpya PISHU inaingia rasmi sokoni/mtaani MEI MOSI (1/5/2015). Ndani kuna Hemmedy PHD, Senga, Tausi Mdegela, Asha Boko na Mzee Onyango, itasambazwa na KAJALA ENTERTAINMENT & BABY BLACK PRODUCTIONS...Filamu hii ina mafunzo pamoja na kuchekesha, ni filamu itakayokuwa tofauti na nyingine kwa kuwa imeandaliwa katika ubora wa hali ya juu,’’...
10 years ago
GPL29 Apr
10 years ago
Habarileo10 Nov
UVCCM wafunguka kuhusu mgombea urais
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM, limetaka mchakato wa kumpata mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa mwakani, uanze mapema.
10 years ago
Vijimambo30 Jul
Mgeja, Kangi Lugola, Sanya wafunguka kuhusu Lowassa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowassa-30july2015.jpg)
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Christopher Sanya, amesema kitendo cha Lowassa, kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaashiria chama hicho kumomonyoka, baada ya kumalizika kwa kura za maoni.
Alisema ni pigo kubwa kwa CCM na litasababisha madhara makubwa baada ya kura za maoni...
10 years ago
Bongo Movies17 Mar
Hiki Ndicho Alichokisema Meninah Kuhusu Wema na Kajala
Mrembo na Staa wa Bongo Fleva, ambae nyota na jina lake lilianza kusikika Kupitia shindano la Bongo Star Search (BSS), Meninah La Diva amesema angekuwa na uwezo angewapatanisha mastaa wawili wa Bongo Movies , Wema Sepetu na Kajala Masanja ambao alisema kuwa anawependa sana.
Meninah aliyasema hayo leo alipokuwa akifanya mahojiano na mtangazaji Millard Ayo kwenye c kipindi cha Amplifaya, alipoulizwa kuwa angekuwa na uwezo angewapatanisha mastaa gani ambao wamegombana au hawaelewani kwa namna...