Mgeja, Kangi Lugola, Sanya wafunguka kuhusu Lowassa.
Baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliomuunga mkono Waziri Mkuu msfaaru, Edward Lowassa, katika mbio zake za kuomba uteuzi wa kugombea urais kabla ya kukihama chama hicho, wamefunguka.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Christopher Sanya, amesema kitendo cha Lowassa, kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaashiria chama hicho kumomonyoka, baada ya kumalizika kwa kura za maoni.
Alisema ni pigo kubwa kwa CCM na litasababisha madhara makubwa baada ya kura za maoni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania03 Oct
Kangi Lugola amshambulia Lowassa
Na Ahmed Makongo, Mwibara
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Mwibara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kangi Lugola, amemshambulia kwa maneno makali mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, kuwa umati wa watu wanaofurika kwenye mikutano yake haumaanishi kumkubali isipokuwa una sababu zaidi ya hiyo.
Lugola aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, uliofanyika Uwanja wa Kata ya Kisorya katika Jimbo...
10 years ago
Mtanzania20 Mar
Kangi Lugola ‘ajisalimisha’ kwa Maghembe
Na Kulwa Karedia,Bunda
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM) ambaye amekuwa akiwachachafya mawaziri mbalimbali bungeni kutokana na utendaji kazi wao, juzi
‘alijisalimisha’kwa Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe baada ya kummwagia sifa nyingi kuwa ni mtendaji bora tofauti na wanasiasa wanavyomfikiria.
Lugola alitoa kauli hiyo katika Kijiji cha Mwamagunga wilayani Bunda ambako alisema hivi sasa Waziri Maghembe amekuwa na kasi ya ajabu ya utendaji kazi tofauti na wanasiasa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pygbhdqFYxDQT77u-egloJDkLq*rhjx9VL0gN6C1HtL5rphs7Lgf47Lsc7-oQ2Sc49wSTHUY0pgH9rRNRJQbKCpg/ligolabungeni.jpg)
KANGI LUGOLA AWASHA MOTO BUNGENI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HCgl_Mu2Zlc/XmtNvmx335I/AAAAAAAC01I/y7NUoocNUm835sZ8-Ohv4JKgXL6htA0jwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAULI YA DPP SAKATA LA KANGI LUGOLA NA WENZAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-HCgl_Mu2Zlc/XmtNvmx335I/AAAAAAAC01I/y7NUoocNUm835sZ8-Ohv4JKgXL6htA0jwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Alisema taasisi hizo mbili zina utaratibu wa kufanyakazi na kwamba hakuna jambo la kificho, kila kitu kitakapokuwa tayari umma utafahamishwa kupitia vyombo vya habari.
Akizungumza na waandishi habari ofisini...
10 years ago
GPL28 Nov
KANGI LUGOLA AOMBA KUVAA KININJA ILI ACHANGIE RIPOTI YA TEGETA ESCROW BUNGENI
10 years ago
Habarileo10 Nov
UVCCM wafunguka kuhusu mgombea urais
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM, limetaka mchakato wa kumpata mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa mwakani, uanze mapema.
10 years ago
GPL01 May
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/JB5tUyWnQAc/default.jpg)
9 years ago
VijimamboMakamba Ashangazwa Na HAYA MAGAZETI MATATU KUHUSU Vichwa Vya Habari Kuhusu Lowassa
![](http://i0.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/09/makamba.jpg?resize=702%2C336)
Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameonesha kushangazwa na mfanano wa vichwa vya habari vya magazeti ya leo kuhusu mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.Makamba ambaye ni mjumbe wa kamati ya kampeni ya CCM, ameonesha kurasa za mbele za magazeti ya Mtanzania, Mwananchi na Tanzania Daima zilizokuwa na vichwa vya habari vinavyomnukuu Lowassa akitaka watanzania wasiogope.Amepost picha za magazeti hayo kwenye twitter na kuhoji kama mfanano huo ni bahati mbaya...