KANGI LUGOLA AOMBA KUVAA KININJA ILI ACHANGIE RIPOTI YA TEGETA ESCROW BUNGENI
MBUNGE wa Mwibara (CCM), Alphaxard Kangi Lugola wakati akichangia katika Ripoti ya PAC kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow bungeni leo, ameomba kuchangia huku akiwa amevaa 'Kininja' ili kutowaangalia usoni wahusika wa sakata hilo. Mbali na kuvaa hivyo, Lugola pia aliomba kama kanuni zinaruhusu achangie tena akiwa amevaa nguo za chama chake cha CCM ili kuonyesha kuwa CCM haiungi mkono vitendo viovu japo alikataliwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Lugola aomba kuchangia amevaa ‘kininja’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pygbhdqFYxDQT77u-egloJDkLq*rhjx9VL0gN6C1HtL5rphs7Lgf47Lsc7-oQ2Sc49wSTHUY0pgH9rRNRJQbKCpg/ligolabungeni.jpg)
KANGI LUGOLA AWASHA MOTO BUNGENI
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-EyN4IK4lOu8/VG3rd8uRriI/AAAAAAAANPU/Q8MSxbaADIQ/s640/ndugai.jpg)
SAKATA LA TEGETA ESCROW, WABUNGE WAKINUKISHA BUNGENI
10 years ago
Vijimambo26 Nov
Angalia kasheshe la Tegeta Escrow LIVE bungeni
Au sikiliza kwenye simu yako kupitiahttp://m.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
9 years ago
Mtanzania03 Oct
Kangi Lugola amshambulia Lowassa
Na Ahmed Makongo, Mwibara
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Mwibara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kangi Lugola, amemshambulia kwa maneno makali mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, kuwa umati wa watu wanaofurika kwenye mikutano yake haumaanishi kumkubali isipokuwa una sababu zaidi ya hiyo.
Lugola aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, uliofanyika Uwanja wa Kata ya Kisorya katika Jimbo...
10 years ago
Mtanzania20 Mar
Kangi Lugola ‘ajisalimisha’ kwa Maghembe
Na Kulwa Karedia,Bunda
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM) ambaye amekuwa akiwachachafya mawaziri mbalimbali bungeni kutokana na utendaji kazi wao, juzi
‘alijisalimisha’kwa Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe baada ya kummwagia sifa nyingi kuwa ni mtendaji bora tofauti na wanasiasa wanavyomfikiria.
Lugola alitoa kauli hiyo katika Kijiji cha Mwamagunga wilayani Bunda ambako alisema hivi sasa Waziri Maghembe amekuwa na kasi ya ajabu ya utendaji kazi tofauti na wanasiasa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HCgl_Mu2Zlc/XmtNvmx335I/AAAAAAAC01I/y7NUoocNUm835sZ8-Ohv4JKgXL6htA0jwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAULI YA DPP SAKATA LA KANGI LUGOLA NA WENZAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-HCgl_Mu2Zlc/XmtNvmx335I/AAAAAAAC01I/y7NUoocNUm835sZ8-Ohv4JKgXL6htA0jwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Alisema taasisi hizo mbili zina utaratibu wa kufanyakazi na kwamba hakuna jambo la kificho, kila kitu kitakapokuwa tayari umma utafahamishwa kupitia vyombo vya habari.
Akizungumza na waandishi habari ofisini...
10 years ago
Vijimambo30 Jul
Mgeja, Kangi Lugola, Sanya wafunguka kuhusu Lowassa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowassa-30july2015.jpg)
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Christopher Sanya, amesema kitendo cha Lowassa, kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaashiria chama hicho kumomonyoka, baada ya kumalizika kwa kura za maoni.
Alisema ni pigo kubwa kwa CCM na litasababisha madhara makubwa baada ya kura za maoni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FpBclB7TfcFiRZ2-SgCvrpy-YGRxyfai9FDRTsXlW9F0Hk79q1j2Co33QKi*PPkmLAEKlDl2gz5S1OlpjCGMqKv/zitto.jpg?width=650)
RIPOTI YA ESCROW YAWASILISHWA BUNGENI