Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KANGI LUGOLA AOMBA KUVAA KININJA ILI ACHANGIE RIPOTI YA TEGETA ESCROW BUNGENI

MBUNGE wa Mwibara (CCM), Alphaxard Kangi Lugola wakati akichangia katika Ripoti ya PAC kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow bungeni leo, ameomba kuchangia huku akiwa amevaa 'Kininja' ili kutowaangalia usoni wahusika wa sakata hilo. Mbali na kuvaa hivyo, Lugola pia aliomba kama kanuni zinaruhusu achangie tena akiwa amevaa nguo za chama chake cha CCM ili kuonyesha kuwa CCM haiungi mkono vitendo viovu japo alikataliwa na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lugola aomba kuchangia amevaa ‘kininja’

Mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola alimwomba ruhusa Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu avae ‘kininja’ ili asiwaonee aibu walioiba fedha kwenye akaunti ya Tegeta Escrow wakati akichangia mjadala bungeni.

 

10 years ago

GPL

KANGI LUGOLA AWASHA MOTO BUNGENI

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), amewasha moto bungeni akifunguka kuwa atawaambia wananchi wake wasiipigie kura CCM pamoja na yeye mwenyewe kama maji hayatapatikana jimboni mwake wakati akichangia katika majiadiliano ya hoja za kamati bungeni leo. Pia Lugola amehoji kwa nini nguvu zinazotumika kuwapiga watu kama akina Profesa Lipumba zisitumike kupambana na wawekezaji wanaokiuka masharti ya uwekezaji na kuwanyanyasa...

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA TEGETA ESCROW, WABUNGE WAKINUKISHA BUNGENI

Naibu Spika wa Bunge, Job Dungai, yeye ndiye kashikilia rungu, Ripoti " ijadiliwe au la". Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali, (PAC), Zitto Kabwe. Taarifa ya CAG kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow, iko mikononi mwake.…

 

10 years ago

Vijimambo

Angalia kasheshe la Tegeta Escrow LIVE bungeni

Angalia kasheshe la Tegeta Escrow LIVE bungeni kupitia hii link:http://www.cloudstv.com/#catalog/5824/clouds-tv
  Au sikiliza kwenye simu yako kupitiahttp://m.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio

 

9 years ago

Mtanzania

Kangi Lugola amshambulia Lowassa

IMG_0143Na Ahmed Makongo, Mwibara

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Mwibara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kangi Lugola, amemshambulia kwa maneno makali mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, kuwa umati wa watu wanaofurika kwenye mikutano yake haumaanishi kumkubali isipokuwa una sababu zaidi ya hiyo.

Lugola aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, uliofanyika Uwanja wa Kata ya Kisorya katika Jimbo...

 

10 years ago

Mtanzania

Kangi Lugola ‘ajisalimisha’ kwa Maghembe

lugolaNa Kulwa Karedia,Bunda

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM) ambaye amekuwa akiwachachafya mawaziri mbalimbali bungeni kutokana na utendaji kazi wao, juzi
‘alijisalimisha’kwa Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe baada ya kummwagia sifa nyingi kuwa ni mtendaji bora tofauti na wanasiasa wanavyomfikiria.

Lugola alitoa kauli hiyo katika Kijiji cha Mwamagunga wilayani Bunda ambako alisema hivi sasa Waziri Maghembe amekuwa na kasi ya ajabu ya utendaji kazi tofauti na wanasiasa...

 

5 years ago

CCM Blog

KAULI YA DPP SAKATA LA KANGI LUGOLA NA WENZAKE

   Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), Biswalo Mganga, amesema bado ofisi yake na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), wanalifanyia kazi sakata la tuhuma za aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola na aliyekuwa Kamishna wa Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye.
Alisema taasisi hizo mbili zina utaratibu wa kufanyakazi na kwamba hakuna jambo la kificho, kila kitu kitakapokuwa tayari umma utafahamishwa kupitia vyombo vya habari.
Akizungumza na waandishi habari ofisini...

 

10 years ago

Vijimambo

Mgeja, Kangi Lugola, Sanya wafunguka kuhusu Lowassa.

Baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliomuunga mkono Waziri Mkuu msfaaru, Edward Lowassa, katika mbio zake za kuomba uteuzi wa kugombea urais kabla ya kukihama chama hicho, wamefunguka.

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Christopher Sanya, amesema kitendo cha Lowassa, kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaashiria chama hicho kumomonyoka, baada ya kumalizika kwa kura za maoni.

Alisema ni pigo kubwa kwa CCM na litasababisha madhara makubwa baada ya kura za maoni...

 

10 years ago

GPL

RIPOTI YA ESCROW YAWASILISHWA BUNGENI

MWENYEKITI wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe hivi sasa anawasilisha bungeni maoni ya kamati hiyo kuhusu ripoti ya kuchotwa zaidi ya shilingi bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani