Kangi Lugola amshambulia Lowassa
Na Ahmed Makongo, Mwibara
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Mwibara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kangi Lugola, amemshambulia kwa maneno makali mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, kuwa umati wa watu wanaofurika kwenye mikutano yake haumaanishi kumkubali isipokuwa una sababu zaidi ya hiyo.
Lugola aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, uliofanyika Uwanja wa Kata ya Kisorya katika Jimbo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Jul
Mgeja, Kangi Lugola, Sanya wafunguka kuhusu Lowassa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowassa-30july2015.jpg)
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Christopher Sanya, amesema kitendo cha Lowassa, kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaashiria chama hicho kumomonyoka, baada ya kumalizika kwa kura za maoni.
Alisema ni pigo kubwa kwa CCM na litasababisha madhara makubwa baada ya kura za maoni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pygbhdqFYxDQT77u-egloJDkLq*rhjx9VL0gN6C1HtL5rphs7Lgf47Lsc7-oQ2Sc49wSTHUY0pgH9rRNRJQbKCpg/ligolabungeni.jpg)
KANGI LUGOLA AWASHA MOTO BUNGENI
10 years ago
Mtanzania20 Mar
Kangi Lugola ‘ajisalimisha’ kwa Maghembe
Na Kulwa Karedia,Bunda
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM) ambaye amekuwa akiwachachafya mawaziri mbalimbali bungeni kutokana na utendaji kazi wao, juzi
‘alijisalimisha’kwa Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe baada ya kummwagia sifa nyingi kuwa ni mtendaji bora tofauti na wanasiasa wanavyomfikiria.
Lugola alitoa kauli hiyo katika Kijiji cha Mwamagunga wilayani Bunda ambako alisema hivi sasa Waziri Maghembe amekuwa na kasi ya ajabu ya utendaji kazi tofauti na wanasiasa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HCgl_Mu2Zlc/XmtNvmx335I/AAAAAAAC01I/y7NUoocNUm835sZ8-Ohv4JKgXL6htA0jwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAULI YA DPP SAKATA LA KANGI LUGOLA NA WENZAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-HCgl_Mu2Zlc/XmtNvmx335I/AAAAAAAC01I/y7NUoocNUm835sZ8-Ohv4JKgXL6htA0jwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Alisema taasisi hizo mbili zina utaratibu wa kufanyakazi na kwamba hakuna jambo la kificho, kila kitu kitakapokuwa tayari umma utafahamishwa kupitia vyombo vya habari.
Akizungumza na waandishi habari ofisini...
10 years ago
GPL28 Nov
KANGI LUGOLA AOMBA KUVAA KININJA ILI ACHANGIE RIPOTI YA TEGETA ESCROW BUNGENI
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s72-c/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Amshambulia LOWASSA Kuhusu Sakata la Richmond Mwigulu Nchemba naye Adai Lowassa Ni Mpiga Dili Tangu Kijana
![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s640/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Akihutibia UmatiAliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa walijiridhisha pasipo shaka kuhusika kwa Edward Lowassa katika sakata la Richmond na kwamba hawakumsingizia kama anavyojitetea hivi sasa.Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John...
10 years ago
Mtanzania21 Feb
Waziri Dk. Mkangara amshambulia lowassa
Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mkangara, amemshambulia kwa maneno makali Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na wanasiasa wengine wanaosimama majukwaani na kudai vijana ni bomu linalosubiri kulipuka.
Akizungumza Dar es Salaam jana katika hafla ya kutia saini ya makubaliano ya kuwa na uhusiano wa utendaji kati ya wizara hiyo na Taasisi ya Kutoa Elimu ya Ujasiriamali (Esami), Dk. Mkangara, alisema kauli za namna hiyo ni za ovyo,...
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Kangi amtaka Chiza kujiuzuru
MBUNGE wa Mwibara Kangi Lugola (CCM) amemtaka Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika mhandisi Christopher Chiza kujiuzuru kwa madai kuwa ni mzigo kutokana na kushindwa kusimamia Wizara hiyo. Alisema kuwa...
9 years ago
Mtanzania06 Jan
Future amshambulia Ciara
NEW YORK, MAREKANI
MSANII wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Nayvadius Wilburn ‘Future’, amemshambulia mpenzi wake wa zamani, Ciara kwa malezi mabaya ya mtoto wao.
Wawili hao walifanikiwa kupata mtoto wa kiume ambaye walimpa jina la Future Zahir, wakati wa uhusiano wao, lakini baada ya kutengana mtoto huyo akawa anaishi na mama yake ‘Ciara’ ila Future ameonekana kuchukizwa na malezi ya mama huyo kwa mtoto wake.
“Najua mwanangu anateseka kukaa na mama yake, hafundishwi maadili mazuri...