Lugola aomba kuchangia amevaa ‘kininja’
Mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola alimwomba ruhusa Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu avae ‘kininja’ ili asiwaonee aibu walioiba fedha kwenye akaunti ya Tegeta Escrow wakati akichangia mjadala bungeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL28 Nov
KANGI LUGOLA AOMBA KUVAA KININJA ILI ACHANGIE RIPOTI YA TEGETA ESCROW BUNGENI
11 years ago
Michuzi.jpg)
MAMA TUNU PINDA AOMBA WATU NA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA KUCHANGIA KATIKA KUENDELEZA ELIMU KWA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALIBINO)
.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Nov
Majambazi yapora kininja Sinza
Na Waandishi Wetu
WATU wanaodaiwa kuwa ni majambazi wakiwa wameficha nyuso zao huku wakiwa wamebeba silaha kali mkononi jana walilisimamisha eneo la Sinza Kijiweni, jijini Dar es Salaam kwa takribani nusu saa baada ya kuvamia gari lililokuwa limebeba pombe aina ya Banana na kupora Sh milioni 34.
Tukio hilo ambalo liliambatana na milio ya risasi takribani sita zilizopigwa hewani lilitokea saa 5:30 mchana katika makutano ya barabara ya Shekilango na Tandale, Sinza Kijiweni.
Watu...
10 years ago
GPL
AUNTY EZEKIEL ANASWA KININJA KLINIKI
10 years ago
GPL
AIBU ILIYOJE: MKE AVAA KININJA, AMFUATILIA MUMEWE, AMFUMANIA
10 years ago
Vijimambo13 Mar
MKE AVAA KININJA, AMFUATILIA MUMEWE, AMFUMANIA LIVE BILA CHENGA
Kwa mujibu wa mama Baraka,...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Lugola amfyatua JK
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), amemshambulia Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Rais Jakaya Kikwete, kuwa chama kitafia mikononi mwake. Lugola, alisema kitendo cha Rais Kikwete kukataa kuwaondoa madarakani mawaziri...
11 years ago
GPL
MASOGANGE: ALIYENIPA MZIGO WA 'UNGA' ALIVAA KININJA
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Lugola aweka rehani ubunge
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), ameuweka rehani ubunge wake kwa kutishia kujiuzulu endapo Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Titus Kamani ataonyesha fedha alizotenga kwa ajili ya ruzuku...