MASOGANGE: ALIYENIPA MZIGO WA 'UNGA' ALIVAA KININJA
![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NWg0CfvjCtC0H*w2XuvDSUzDmsbjVgjsmdM1baDnFThiWc*NDQG4saZT-H2pKdQRECoUUctXC7z0xNz8UtAFmT/MASOGANGE.jpg?width=650)
Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ ‘VIDEO queen’ wa Kibongo, Agness Gerald, ‘Masogange’, amefunguka kuwa aliyempa mzigo wa unga na akakamatwa nao nchini Afrika Kusini, alikuwa amevalia kininja, hali iliyomfanya ashindwe kumtambua. Masogange amefunguka kuwa aliyempa mzigo wa 'unga', alivaa kama huyu. Taarifa za uhakika kutoka vyanzo vyetu makini katika kikosi kazi cha kuzuia na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0004.jpg)
NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI
John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9fmojbSGpCVY9TW54lhlj-ptX7F*gkaWxvLUUMfsGtJMtgH59svzjuFjg0jwmEqXG5NomQBFZbiGCm0rxkjtgMs/hands.in.the.air.gif?width=650)
MKE WA OBAMA ASHEREHEKEA BETHIDEI YA MIAKA 5 YA KAMPENI YAKE YA 'LET'S MOVE' KWA DANSI
MKE wa Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama juzi Jumatatu alitoa shoo ya nguvu kwa kucheza wimbo wa Mark Ronson uitwao "Uptown Funk" akiwa sambamba na mastaa wa "So You Think You Can Dance". Michelle alikuwa akisherehekea bethidei ya miaka mitano ya Kampeni yake ya "Let's Move!" yenye lengo la kuondoa vitambi kwa watoto nchini Marekani. Michelle alianzisha kampeni hiyo mwaka 2010 baada ya kuwepo watoto wengi wenye...
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live. Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVXZLy9n7Qc2eSXRKY0Sq8rbWO*Slp911600QDNGdsc01b4dqHWa6xFhehNDAxvQBHdR0eJShzwIhwXbE66bgvJ5/balo.jpg?width=650)
CRISTIANO RONALDO 'AKOPI NA KUPESTI' STAILI YA MARIO BALOTELLI
Cristiano Ronaldo (kushoto) akishangilia bao lake la penalti dhidi ya Atletico Madrid. Kulia ni Mario Balotelli alipofunga bao katika nusu fainali ya Euro 2012 kati ya Italia na Ujerumani. MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo, ‘amekopi na kupesti’ staili ya mshambuliaji wa AC Milan Mario Balotelli baada ya kufunga bao la nne dhidi ya Atletico Madrid kwenye Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa kuamkia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8ikGPdIHucK2Vy*7doAtzY0rPLPN7rapGk1NQXvKwzFTdAr5SI9N811*tVkOblfe-ujwvLG6MBBmwCa*RCuWeSNTB8BgGTRE/4.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AWAANDALIA 'DINNER' MASTAA NA WADAU WA FILAMU
Waigizaji na baadhi ya waandishi wa habari wakiwa tayari kusubiri chakula cha usiku kilichoandaliwa na Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere. Wolper na Kajala wakibadilishana mawazo wakati wa hafla hiyo.…
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/JIM-2.jpg)
MPENZI WA MWIGIZAJI JIM CARREY AJIUA BAADA YA 'KUTEMWA'
Cathriona White akiwa na aliyekuwa mpenzi wake ambaye ni mwigizaji maarufu wa filamu za Hollywood, Jim Carrey. Cathriona White enzi za uhai wake. ....Wakijiachia ufukweni. Nyumba ulimokutwa mwili wa marehemu Cathriona White…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7Nah08pHF9vKOC9F9B2xIBHEU7wn-M6eFJU79Ii9yqjw5KpemrM07Z3jIGxjGbZ5sqBAqEYFccgX2ulTaXdDwqdNa/1.jpg?width=650)
BENKI YA NMB YAZINDUA 'MASTERCARD DEBIT' ZINAZOKUBALIKA KIMATAIFA
Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Mhe. Benjamin William Mkapa (katikati) pamoja wakurugenzi wa Benki ya NMB wakikishangilia kikundi cha sanaa kilichotumbuiza wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya MasterCard itakayoanza kutumika kwa mara ya kwanza kwa wateja wake. Hafla hiyo ilifanyika katika hoteli ya Haytt Regency zamani Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. Wadau wa benki ya NMB pamoja na wageni waalikwa wakisikiliza kwa umakini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO4qlOrfPr4386k1c84Kpnlbi4Yat0W9tBU4ofJ1YqV5mk7vJOMmC5qG6R3mjj6yRYLXjiffuika4xdMvs8as2zk/NDOO.jpg)
BAADA YA KIPIGO CHA 4-0, EKOTTO AMTWANGA 'NDOO' MWENZAKE
Benoit Assou-Ekotto (kulia) akimsogelea mwenzake Benjamin Moukandjo baada ya kipigo cha 4-0 kutoka kwa Croatia usiku wa kuamkia leo. Benoit Assou-Ekotto akimtwanga 'ndoo' Moukandjo.…
11 years ago
GPL31 Jul
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania