AIBU ILIYOJE: MKE AVAA KININJA, AMFUATILIA MUMEWE, AMFUMANIA
![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lPHB*-ZNp6giwF*dAq2-KMEOgtdy2yppIs-DaF-yBMqfkJgTg6nc3sKoUaTjHT2mBLY7Lab8C7vM3SNlqRW6vJS/BACKAMANI.jpg)
WAANDISHI WETU, MWANZA Aibu iliyoje! Tukio la aina yake limetokea maeneo ya Diluxe jijini hapa baada ya mama mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Faudhia almaarufu mama Baraka kumfumania mumewe akisaliti ndoa yao mbichi. Faudhia akihamaki baada ya kufumaniwa. Kwa mujibu wa mama Baraka, amekuwa akimfuatilia mumewe kwa muda mrefu baada ya kutonywa na wambeya kuwa baba mtoto wake huyo amekuwa akichepuka na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 Mar
MKE AVAA KININJA, AMFUATILIA MUMEWE, AMFUMANIA LIVE BILA CHENGA
Kwa mujibu wa mama Baraka,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPl4daO70*LQsU9Ffp8Q9wnmITR0*twc5VeyTGFh0Hs4Hxh9zhzV10xxQETCmVLOI5*Wj5tq6LDEc8ABpyLTjec/dida.gif?width=650)
DIDA AIBU ILIYOJE!
Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Weka mbali na watoto! Prizenta asiyekaukiwa matukio wa Kituo cha Redio Times FM cha Jijini Dar, Khadija Shaibu ‘Dida’ anadaiwa kutia aibu ukumbini baada ya kutaka kuzikunja na Master of Ceremony (MC) kisha kuumbuliwa na kigauni cha kihasarahasara alichokuwa ametupia. Prizenta asiyekaukiwa matukio wa Kituo cha Redio Times FM cha Jijini Dar, Khadija Shaibu ‘Dida’. Tukio...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8YwJFzk-A3ivbfVuBajqQWGP8xe-Vyrmw8fOm*O7PxBqs7mPZqxNulXkeNSi7OSo-Khuo4mO1g7sUAqhMuPOeIA/afuma.jpg)
AMFUMANIA MUMEWE, ASAULA!
Stori: Waandishi Wetu
HATARI! Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Tatu Ikoko mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, hivi karibuni alifunga mtaa kwa kutembea bila nguo baada ya kumfumania mumewe akiwa na mwanamke mwingine. Mwanamke anayejulikana kwa jina la Tatu Ikoko akitishia kusaula mbele ya watu. Chanzo chetu cha kuaminika kilisema mwanamke huyo aliondoka nyumbani kwake usiku wa Ijumaa iliyopita na aliporejea asubuhi,...
10 years ago
Vijimambo10 Dec
AIBU ILIYOJE, YANGA, SIMBA KUTEKELEZA VIWANJA
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2549946/highRes/894312/-/maxw/600/-/tem572z/-/simba.jpg)
Viwanja vingi vya wazi ambavyo vilitengwa kwa shughuli za michezo vimevamiwa na kufanyika ujenzi wa matumizi mengine kinyume na mipango ya awali.
UKOSEFU wa viwanja vya michezo ni tatizo ambalo limekuwa likiuandama zaidi mchezo wa soka unaopendwa na wengi.
Viwanja vingi vya wazi ambavyo vilitengwa kwa shughuli za michezo vimevamiwa na kufanyika ujenzi wa matumizi mengine kinyume na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMOeNs6MZSeDXJQzj*k*Kakxp51DeBh-BfdJc2CZoe45-VV5iudHJKdKoYy6s8VUYf6tiAI11qfOc7bbgbHFb1lD/BACKAMANI.jpg?width=650)
AIBU ILIYOJE! MUME WA MTU ANASWA NDANI YA DANGURO NA WAANDISHI WETU
Na Waandishi Wetu NI aibu iliyoje! Mwanaume mmoja ambaye anadaiwa kuwa ni mume wa mtu, amekutwa ndani ya danguro moja lililopo Sinza ya Mapambano jijini Dar ikiwa ni mazingira ya kutatanisha. Njemba huyo akisihi kuachiwa baada ya sakata hilo. Ishu hiyo ilijiri usiku wa manane wa Ijumaa kuelekea Jumamosi ya wiki iliyopita. Awali, Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ilipokea taarifa kutoka kwa vyanzo vyake… ...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s72-c/1.jpg)
NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s640/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLpRW9B6130EhVGDJnYhbIwWNsaoZoiKR6AFz9JEwAGbYJDHxLPU69keZZos75BsRFG02GQUw4s4optJIhFABSkY/Mwanza.jpg?width=650)
MKE AMZABUA MUMEWE
Stori: MASHAKA KASUSI, Mwanza/Risasi
KUNA kasumba ya kizamani kuwa wanaume ndiyo waliokuwa wanawapiga wake zao lakini inavyoonekana sasa kibao kimegeuka baada ya mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Irene Edwin kudaiwa kumzaba mumewe, Amani Joseph, wote wakazi wa maeneo ya Misungwi mkoani hapa kisa kikielezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi. Irene Edwin akimshushia kichapo mumewe. Tukio hilo lililoshuhudiwa mchana kweupe lilijiri...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIM5ZSWhuBYSH8bRKE*pXKLhFGuf0VTHSc1IzWazIKOFfBsGcGNEqvpBaBKzRNvZdRh6r5rqwtFIGeKdjFwIQQ6cLAhONwsZ/1.jpg)
MKE AMPA KIPONDO MUMEWE
waandishi wetu/mchanganyiko11 UPEPO umegeuka! Imani ya kwamba wanaume ndiyo wamekuwa wakiwapa kipondo wake zao imegeuka, safari hii mwanamke aliyejulikana kwa jina la Naomi Peter akimpa kipondo ‘hevi’ mumewe John Shila mchana kweupe! Naomi Peter akitoa kipondo kwa mumewe. Wawili hao wakazi wa Misheni, jijini Mwanza waliibua timbwili la aina yake ambalo liliwavuta watu wengi chanzo kikiwa ni mwanaume huyo kumkataa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqyEAYNvgTpB94dBe5rq851QGUSBBjYu8pBLDgCq0a-FXH13yn7JwCfQtUcB5kCec8Qby3Z1OFkLz9tN7CjpI5t*/MUME.jpg?width=650)
MKE AKATWA MKONO NA MUMEWE
Na Imelda Mtema
NI mkasa wa kusikitisha kama siyo kutisha, unaowafanya wanaume wengi wa siku hizi waonekane ni makatili na majanga matupu mbele ya jamii. Akizungumza na Joyce Kiria(kulia), Leah (kushoto) alisema kwamba siku zote aliishi na mumewe kwa uvumilivu mkubwa. Kitendo hicho cha kinyama, kimemkuta mwanamke Leah Benard mkazi wa Kijiji cha Kifufu, mkoani wa Geita baada ya kukatwa kiganja chake cha mkono...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania