MKE AKATWA MKONO NA MUMEWE
![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqyEAYNvgTpB94dBe5rq851QGUSBBjYu8pBLDgCq0a-FXH13yn7JwCfQtUcB5kCec8Qby3Z1OFkLz9tN7CjpI5t*/MUME.jpg?width=650)
Na Imelda Mtema NI mkasa wa kusikitisha kama siyo kutisha, unaowafanya wanaume wengi wa siku hizi waonekane ni makatili na majanga matupu mbele ya jamii. Akizungumza na Joyce Kiria(kulia), Leah (kushoto) alisema kwamba siku zote aliishi na mumewe kwa uvumilivu mkubwa. Kitendo hicho cha kinyama, kimemkuta mwanamke Leah Benard mkazi wa Kijiji cha Kifufu, mkoani wa Geita baada ya kukatwa kiganja chake cha mkono...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s72-c/1.jpg)
NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s640/1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYBWjxAVMyo6KgcBC9RYCNPd-z7IDOGyFZ3DKAPW6Aa-ylnWJqteO8iFhb3REy1HX367DL2eCdlcrZ71Xgm2sk9I/tarime.jpg?width=650)
AKATWA PANGA NA MUMEWE KISA, KUZUIA MTOTO KUKEKETWA
10 years ago
Habarileo15 May
Albino mwingine akatwa mkono
MWANAMKE mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Remi Luchoma (30), mkazi wa kijiji cha Mwamachoma kata ya Mamba wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi, amekatwa mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana, kisha wakatokomea na kiganja cha mkono huo kusikojulikana.
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mtoto mwingine Albino akatwa mkono
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N7rqsu52BQfHeq6OltTGKM8PteV*HTggrIaDAbHdh4*i-vzd4XeezkB-5qJoeYFa5QmRzxPQkArwqD4Ot3uj1Oc/MZEE.jpg?width=650)
MKE AKATWA MAPANGA, HAWARA ATAJWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosZhbDhpVdc7umoe6nfBlVMp9wQGOckaJhd7da-tW7rqqAmaXsYA-iiXhNiTbDZrO7VBqBD2P3mX6wdSSmidxY-Q/10991439_1167313153283101_4116252623417951131_n.jpg)
MTOTO ALIBINO AKATWA MKONO RUKWA JANA
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Mwanamke kutoka India ‘akatwa mkono’ Saudia
11 years ago
Mwananchi01 Mar
UKATILI: Mke mjamzito akatwa mguu, amwagiwa tindikali
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cQeT6mX7Tdo/XpTChfVZRaI/AAAAAAALm3k/rtu1eJ7IK0cd5zmWSGh0NZkJIr1BMHCnQCLcBGAsYHQ/s72-c/D469_23_008_0004_600.jpg)
POLISI AKATWA MKONO AKIWA DORIA YA KUDHIBITI CORONA INDIA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
POLISI mmoja nchini India amekatwa mkono kwa upanga na maafisa wengine sita kujeruhiwa vibaya mara baada ya kushambuliwa wakati wa kutekeleza zuio la watu kutoka nje (Lockdown) ikiwa ni sehemu ya kuzuia kuenea kwa virusi vya Corona (Covid -19) huko Punjab kaskazini mapema leo asubuhi, Shirika la kimataifa la utangazaji la CNN limeripoti.
Imeelezwa kuwa sehemu ya mkono (kiwiko) wa kushoto wa Harjit Singh, mkurugenzi msaidizi wa Polisi wa Punjab ulijeruhiwa...