POLISI AKATWA MKONO AKIWA DORIA YA KUDHIBITI CORONA INDIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cQeT6mX7Tdo/XpTChfVZRaI/AAAAAAALm3k/rtu1eJ7IK0cd5zmWSGh0NZkJIr1BMHCnQCLcBGAsYHQ/s72-c/D469_23_008_0004_600.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
POLISI mmoja nchini India amekatwa mkono kwa upanga na maafisa wengine sita kujeruhiwa vibaya mara baada ya kushambuliwa wakati wa kutekeleza zuio la watu kutoka nje (Lockdown) ikiwa ni sehemu ya kuzuia kuenea kwa virusi vya Corona (Covid -19) huko Punjab kaskazini mapema leo asubuhi, Shirika la kimataifa la utangazaji la CNN limeripoti.
Imeelezwa kuwa sehemu ya mkono (kiwiko) wa kushoto wa Harjit Singh, mkurugenzi msaidizi wa Polisi wa Punjab ulijeruhiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Mwanamke kutoka India ‘akatwa mkono’ Saudia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqyEAYNvgTpB94dBe5rq851QGUSBBjYu8pBLDgCq0a-FXH13yn7JwCfQtUcB5kCec8Qby3Z1OFkLz9tN7CjpI5t*/MUME.jpg?width=650)
MKE AKATWA MKONO NA MUMEWE
10 years ago
Habarileo15 May
Albino mwingine akatwa mkono
MWANAMKE mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Remi Luchoma (30), mkazi wa kijiji cha Mwamachoma kata ya Mamba wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi, amekatwa mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana, kisha wakatokomea na kiganja cha mkono huo kusikojulikana.
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mtoto mwingine Albino akatwa mkono
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosZhbDhpVdc7umoe6nfBlVMp9wQGOckaJhd7da-tW7rqqAmaXsYA-iiXhNiTbDZrO7VBqBD2P3mX6wdSSmidxY-Q/10991439_1167313153283101_4116252623417951131_n.jpg)
MTOTO ALIBINO AKATWA MKONO RUKWA JANA
10 years ago
Habarileo18 Sep
Polisi wa doria wapigwa bomu
SIKU chache baada ya majambazi kuvamia Kituo Kikuu cha Polisi wilayani Bukombe mkoani Geita, kuua askari wawili na kuiba silaha za moto, watu wasiofahamika wamewajeruhi askari watatu waliokuwa doria kwa kuwarushia kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu.
11 years ago
Habarileo01 Jan
Polisi kufanya doria kwa helikopta Mwaka Mpya
POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam imetangaza leo kufanya doria kwa kutumia helikopta ili kuangalia hali ya usalama katika jiji hilo katika sikukuu ya Mwaka Mpya.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/snaF4AQL0dF7AdSgOmg8TVB7m6YHv90bE93LsUpj4Jh7a2Em5rnr*4WrZfqq6iYjNXmA2X5l0jqScE6HwuxnQfCdOVhfQ613/MTOTOINDIA1.jpg)
HATIMAYE MTOTO MWENYE UVIMBE WA AJABU AKATWA MGUU INDIA
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Wakazi 'wanavyotishwa' kudhibiti corona Indonesia