MTOTO ALIBINO AKATWA MKONO RUKWA JANA
![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosZhbDhpVdc7umoe6nfBlVMp9wQGOckaJhd7da-tW7rqqAmaXsYA-iiXhNiTbDZrO7VBqBD2P3mX6wdSSmidxY-Q/10991439_1167313153283101_4116252623417951131_n.jpg)
Mtoto albino, Baraka Cosmas (6) anayeishi na wazazi wake kijijini Kipeta, mkoani Rukwa jana ameshambuliwa na kujeruhiwa vibaya kwa kukatwa kiganja cha mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana kisha kutokomea nacho kusikojulikana.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mtoto mwingine Albino akatwa mkono
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
Breaking News…#Ukatili tena: Mtoto mwingine mwenye Albinism akatwa mkono, mama mtu ajeruhiwa vibaya
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda (katikati) akizungumza na waandishi wa habari. (Picha na maktaba).
Na modewji blog
Mtoto Baraka Cosmas Rusambo mwenye umri wa miaka sita mwenye ulemavu wa ngozi (Albinism), amekatwa mkono wa kulia katika tukio lilitokea Jumamosi usiku tarehe7 Machi kwenye kijiji cha Kiseta, Kata ya Kiseta, Tarafa ya Kiseta wilayani Sumbawanga vijijini, mkoani Rukwa.
Picha ya mtoto Baraka Cosmas Rusambo, akiwa wodini akipatiwa matibabu ya jeraha la...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_nOkKS5nQ9k/VK1zPfQ43XI/AAAAAAAG74U/7k5V3RvnZVw/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Mtoto ALIBINO ANASAKWA MWANZA , WATU 15 MBARONI
10 years ago
Habarileo15 May
Albino mwingine akatwa mkono
MWANAMKE mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Remi Luchoma (30), mkazi wa kijiji cha Mwamachoma kata ya Mamba wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi, amekatwa mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana, kisha wakatokomea na kiganja cha mkono huo kusikojulikana.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqyEAYNvgTpB94dBe5rq851QGUSBBjYu8pBLDgCq0a-FXH13yn7JwCfQtUcB5kCec8Qby3Z1OFkLz9tN7CjpI5t*/MUME.jpg?width=650)
MKE AKATWA MKONO NA MUMEWE
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Mwanamke kutoka India ‘akatwa mkono’ Saudia
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cQeT6mX7Tdo/XpTChfVZRaI/AAAAAAALm3k/rtu1eJ7IK0cd5zmWSGh0NZkJIr1BMHCnQCLcBGAsYHQ/s72-c/D469_23_008_0004_600.jpg)
POLISI AKATWA MKONO AKIWA DORIA YA KUDHIBITI CORONA INDIA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
POLISI mmoja nchini India amekatwa mkono kwa upanga na maafisa wengine sita kujeruhiwa vibaya mara baada ya kushambuliwa wakati wa kutekeleza zuio la watu kutoka nje (Lockdown) ikiwa ni sehemu ya kuzuia kuenea kwa virusi vya Corona (Covid -19) huko Punjab kaskazini mapema leo asubuhi, Shirika la kimataifa la utangazaji la CNN limeripoti.
Imeelezwa kuwa sehemu ya mkono (kiwiko) wa kushoto wa Harjit Singh, mkurugenzi msaidizi wa Polisi wa Punjab ulijeruhiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJNS9npCA7NQ4*5fPqZPjNZAGJxC16kIde*f0pXScJXev29iORY5wbE5T83JR7yY8iEIeGHZMjBqMTVuDJrUXPw6/Back.jpg)
INAUMA SANA: MTOTO AKATWA UUME!
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Mtoto mwingine akatwa kiganja Sumbawanga