Mtoto ALIBINO ANASAKWA MWANZA , WATU 15 MBARONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-_nOkKS5nQ9k/VK1zPfQ43XI/AAAAAAAG74U/7k5V3RvnZVw/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Serikali mkoani Mwanza imesema hakuna kulala hadi mtoto Pendo Emmanuel (Albino) apatikane kufatia tukio la kutekwa kwaek na watu wasio julikana toka tarehe 27.12.2014 katika kijiji cha Ndami, Tarafa ya Mwamashimba Wilaya ya Kwimba Mkoani Mwanza na kisha kutoweka naye kwenda kusiko julikana hadi sasa. Mkuu wa Mkoa wa MWanza Mhe Magesa Mulongo, akiongea na wananchi wa kijiji hicho katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijijini hapo na kuwahusisha wananchi wakijiji hicho pamoja na uongozi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-cMMz4_m6oU4/VKu4Ip_mGxI/AAAAAAADU7Q/ZOaUJoiRBaQ/s72-c/KWIMBA3.jpg)
ALIBINO ANASAKWA MWANZA , WATU 15 MBARONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-cMMz4_m6oU4/VKu4Ip_mGxI/AAAAAAADU7Q/ZOaUJoiRBaQ/s1600/KWIMBA3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ArPAv0xBRFE/VKu3fW8fuLI/AAAAAAADU6o/VaxCh9A_36k/s1600/KWIMBA%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MjmdlcDZ9zk/VKu3fpOdxeI/AAAAAAADU6w/R6sogspaTec/s1600/KWIMBA.1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xJOJV4cARXY/VKu3f-qdchI/AAAAAAADU60/S3kVT3JUNVI/s1600/KWIMBA.5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h5b1f1WFDHs/VKu5GeMb4AI/AAAAAAADU7c/_qvj5cljO3c/s1600/KWIMBA.6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-P7ubKsLYM98/VKu4A3u0ceI/AAAAAAADU7I/N2svylNHuHI/s1600/KWIMBA.8.jpg)
11 years ago
CloudsFM12 Jun
WATU 10 WATIWA MBARONI NA POLISI KUFUATIA VURUGU ZILIZOTOKEA JIJINI MWANZA
Polisi jijini Mwanza imelazimika kutumia mabomu ya machozi kufuatia vurugu za baaadhi ya wafanyabiashara wadogo maaarufu kama machinga na watoto wa mitaani wakipinga kupinga zoezi la kuhamishwa eneo la Makoroboi walilokuwa wakifanyia biashara hapo awali.
Zoezi hili limesababisha wafayabiashara mbalimbali kufunga biashara zao na wengine kupoteza mizigo kutokana na vurugu hizo huku idadi kubwa ya wananchi wakishindwa kuendelea na shuguli zao
Nia aina ya vurugu zilizo tokea kwa takribani masaa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosZhbDhpVdc7umoe6nfBlVMp9wQGOckaJhd7da-tW7rqqAmaXsYA-iiXhNiTbDZrO7VBqBD2P3mX6wdSSmidxY-Q/10991439_1167313153283101_4116252623417951131_n.jpg)
MTOTO ALIBINO AKATWA MKONO RUKWA JANA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
MAMA TUNU PINDA AOMBA WATU NA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA KUCHANGIA KATIKA KUENDELEZA ELIMU KWA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALIBINO)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s1600/unnamed+(5).jpg)
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Mbaroni akidaiwa kuiba mtoto
10 years ago
Habarileo25 Sep
Mbaroni akituhumiwa kulawiti mtoto
POLISI mkoani Kagera inamshikilia mkazi wa Manispaa ya Bukoba, Jovin Kasuno (22) kwa tuhuma za kulawiti mtoto mwenye umri wa miaka sita na kumuumiza.
10 years ago
Habarileo30 Aug
Mbaroni kwa kumfukia mtoto shimoni
FAIDA Mohammed Salum (28) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumtupa mtoto mchanga aliyejifungua siku moja tu na kumfukia shimoni eneo la Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba.
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Mwanamke mbaroni kwa kuchinja mtoto
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Binti mbaroni akituhumiwa kutupa mtoto