Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALIBINO ANASAKWA MWANZA , WATU 15 MBARONI

 SUNGU SUNGU WAKIMSIKILIZA MKUU WA MKOA. WANANCHI WA KIJIJI CHA NDAMI WAKIMSIKILIZA MKUU WA MKOA WA MWANZA MAGESA MULONGO HAYUPO HEWANI WAANDISHI WA HABARI SHEILA SEZI NA GRACE CHILONGOLA WALIPOKUWA WAKIONGEA NA MAMA YAKE NA PENDO BW. ALFREDY KAPOLE MWENYEKITI WA ALBINO MKOA WA MWANZA AKIZUNGUMZA KATIKA MKOA HUO. .KAMANDA WA POLISI MKOA WA MWANZA VALENTINO MULOWOLA ALIPOKUWA AKITOA TAARIFA YA UCHUNGUZI HADI SASA NYUMBANI KWAO NA MTOTO PENDO, MWENYEKITI WA ALBINO MKOA WAMWANZA ALFREDY NA...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mtoto ALIBINO ANASAKWA MWANZA , WATU 15 MBARONI

Serikali mkoani Mwanza imesema hakuna kulala hadi mtoto Pendo Emmanuel (Albino) apatikane kufatia tukio la kutekwa kwaek na watu wasio julikana toka tarehe 27.12.2014 katika kijiji cha Ndami, Tarafa ya Mwamashimba Wilaya ya Kwimba Mkoani Mwanza na kisha kutoweka naye kwenda kusiko julikana hadi sasa. Mkuu wa Mkoa wa MWanza Mhe Magesa Mulongo, akiongea na wananchi wa kijiji hicho katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijijini hapo na kuwahusisha wananchi wakijiji hicho pamoja na uongozi wa...

 

11 years ago

CloudsFM

WATU 10 WATIWA MBARONI NA POLISI KUFUATIA VURUGU ZILIZOTOKEA JIJINI MWANZA

Polisi jijini Mwanza imelazimika kutumia mabomu ya machozi kufuatia vurugu za baaadhi ya wafanyabiashara wadogo maaarufu kama machinga na watoto wa mitaani wakipinga kupinga zoezi la kuhamishwa eneo la Makoroboi walilokuwa wakifanyia biashara hapo awali.
Zoezi hili limesababisha wafayabiashara mbalimbali kufunga biashara zao na wengine kupoteza mizigo kutokana na vurugu hizo huku idadi kubwa ya wananchi wakishindwa kuendelea na shuguli zao

Nia aina ya vurugu zilizo tokea kwa takribani masaa...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA TUNU PINDA AOMBA WATU NA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA KUCHANGIA KATIKA KUENDELEZA ELIMU KWA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALIBINO)

Mlezi wa chama cha wake wa viongozi Mama Tunu Pinda akipokea vitabu vyenye thamani ya shilngi milioni 35 kutoka kwa Meneja Mkuu wa kituo cha kuendeleza vipaji kwa vijana THT Bwana Mwita Mwaikenda na anaye shuhudia ni Mwenyekiti wa chama cha wake wa viongozi Germina Lukuvi msaada huo wa vitatabu ni kwaajili ya kusaidia Elimu kwa watoto na vijana wenye ulemavu wa ngozi (ALIBINO) sherehe hiyo ya makabidhiano imefanyika katika makazi ya waziri mkuu jijini Dar es salaam.Picha na Chris...

 

10 years ago

Habarileo

Watu kadhaa mbaroni Tanga

MKUU wa mkoa wa Tanga, Magalula Said MagalulaSERIKALI imetoa taarifa rasmi kuhusu uhalifu uliotikisa mkoani Tanga, ikisema hali ni shwari na umma wa Watanzania upuuze taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikitia hofu.

 

9 years ago

Global Publishers

Baba Haji adai anasakwa auawe!

BABA_HAJIMwigizaji wa Bongo Movies, Haji Adam ‘Baba Haji’.

Mwandishi wetu
Roho mkononi! Mwigizaji wa Bongo Movies, Haji Adam ‘Baba Haji’ ameviomba vyombo vya dola, TCRA na Rais John Pombe Magufuli kumsaidia akidai kwamba anasakwa auawe na kundi lisilojulikana.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa njia ya simu akiwa mafichoni, Baba Haji alifunguka kuwa amekoswakoswa mara kadhaa kutiwa mikononi na watu hao wanaoonekana kuwa na nia mbaya wakiwa na lengo la kumuua bila sababu hivyo kwa sasa anatembea na...

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 13 mbaroni kwa mauaji ya Kiteto

Polisi mkoani Manyara wanawashikilia zaidi ya watu 13 wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita katika Kata za Matui na Kiperesa wilayani hapa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mholanzi mbaroni kwa kuwasafirisha watu

Idara ya Uhamiaji nchini imefanikiwa kumkamata mtu anayeshukiwa kuhusika na mtandao wa usafirishaji wa wahamiaji haramu kutoka mataifa ya Syria, Iran na Iraq kwa kutumia hati bandia za kusafiria.

 

9 years ago

StarTV

Polisi Mara yawatia mbaroni watu 72

 

Polisi mkoani wa Mara wamefanikiwa kuwakamata watu 72 kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kukutwa na misokoto 2800 ya bangi ,Pombe aina ya Gongo,bunduki na Risasi pamoja na pikipiki zilizoporwa kutokana na Oparesheni maalumu ya kupambana na uhalifu na wahalifu zinazoendelea katika wilaya za Bunda,Serengeti,Butiama Na Musoma.

Akizungumza na Vyombo vya Habari mjini Musoma, Kamanda wa jeshi la Polis mkoa wa Mara kamishina Msaidizi wa polisi Phillip Kalangi, amesema kuwa katika Oparation hizo ambazo...

 

11 years ago

Habarileo

Watu 30 mbaroni vurugu kifo cha 'hausigeli'

WATU zaidi ya 30 wanashikiliwa na polisi wilayani Muleba katika Mkoa wa Kagera, wakituhumiwa kufanya vurugu na uharibifu wa mali, chanzo kikiwa kifo cha mfanyakazi wa ndani aliyefia mkoani Arusha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani