WATU 10 WATIWA MBARONI NA POLISI KUFUATIA VURUGU ZILIZOTOKEA JIJINI MWANZA
Polisi jijini Mwanza imelazimika kutumia mabomu ya machozi kufuatia vurugu za baaadhi ya wafanyabiashara wadogo maaarufu kama machinga na watoto wa mitaani wakipinga kupinga zoezi la kuhamishwa eneo la Makoroboi walilokuwa wakifanyia biashara hapo awali.
Zoezi hili limesababisha wafayabiashara mbalimbali kufunga biashara zao na wengine kupoteza mizigo kutokana na vurugu hizo huku idadi kubwa ya wananchi wakishindwa kuendelea na shuguli zao
Nia aina ya vurugu zilizo tokea kwa takribani masaa...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLPOLISI FEKI WATIWA MBARONI
11 years ago
Michuzi03 Jun
Polisi Feki watiwa mbaroni mkoani Iringa
Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa,Ramadhan Mungi akiwaonyesha maaskari feki ambao walikuwa wakifanya utapeli katika mikoa ya Iringa na Morogoro ,kulia ni Bazil Nyakunga ambae ni mwalimu akiwa na sare za polisi na katikati ni bossi wake Godlack Mbehale.
Na Francis Godwin,Iringa
MATAPELI washindwa kubaki njia kuu sasa waanza michepuko mipya ni baada ya jeshi la polisi mkoa wa...
11 years ago
Michuzi28 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Fr74s4q3MTw/U6Q-fMjaMKI/AAAAAAAFr9U/n4fWQpvvhbM/s72-c/unnamed+(16).jpg)
WATU WATATU WATIWA MBARONI MKOANI PWANI,WAKUTWA NA BASTOLA NA SARE ZA JESHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fr74s4q3MTw/U6Q-fMjaMKI/AAAAAAAFr9U/n4fWQpvvhbM/s1600/unnamed+(16).jpg)
JESHI la Polisi mkoani Pwani limefanikiwa kuwakamata watu watatu akiwemo mtu Daniel Mtalisi mkazi wa Kisemvule wilaya ya Mkuranga ambaye alipitia mafunzo ya kijeshi kwa tuhuma za kufanya tukio la uhalifu wa kupora silaha na vitu mbalimbali.
Mtuhumiwa huyo ambayealiwahi kupata mafunzo ya kijeshi kwenye Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kikosi namba 833 Oljoro Arusha na namba yake ni MT. 95150.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kwa waandishi wa habari mjini Kibaha,...
10 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOANI TABORA LAENDELEA NA OPERESHENI TOKOMEZA UHALIFU,WATANO WATIWA MBARONI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uDgZT_0_WM8/VTYeS7jH6LI/AAAAAAAHSMI/UngHHClER_A/s72-c/IMG-20150421-WA0015%2Bcopy.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ....: WANAOTUHUMIWA KWA UJAMBAZI WA SILAHA WATIWA MBARONI JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-uDgZT_0_WM8/VTYeS7jH6LI/AAAAAAAHSMI/UngHHClER_A/s1600/IMG-20150421-WA0015%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uoW6XzNIBWo/VTYeSTpMd3I/AAAAAAAHSME/koTvyMoET6A/s1600/IMG-20150421-WA0017%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UhPaldN1yqc/VTYeSs3L5NI/AAAAAAAHSMU/24dlrcWN_6g/s1600/IMG-20150421-WA0019%2Bcopy.jpg)
11 years ago
Habarileo18 Jun
Watu 30 mbaroni vurugu kifo cha 'hausigeli'
WATU zaidi ya 30 wanashikiliwa na polisi wilayani Muleba katika Mkoa wa Kagera, wakituhumiwa kufanya vurugu na uharibifu wa mali, chanzo kikiwa kifo cha mfanyakazi wa ndani aliyefia mkoani Arusha.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-cMMz4_m6oU4/VKu4Ip_mGxI/AAAAAAADU7Q/ZOaUJoiRBaQ/s72-c/KWIMBA3.jpg)
ALIBINO ANASAKWA MWANZA , WATU 15 MBARONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-cMMz4_m6oU4/VKu4Ip_mGxI/AAAAAAADU7Q/ZOaUJoiRBaQ/s1600/KWIMBA3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ArPAv0xBRFE/VKu3fW8fuLI/AAAAAAADU6o/VaxCh9A_36k/s1600/KWIMBA%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MjmdlcDZ9zk/VKu3fpOdxeI/AAAAAAADU6w/R6sogspaTec/s1600/KWIMBA.1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xJOJV4cARXY/VKu3f-qdchI/AAAAAAADU60/S3kVT3JUNVI/s1600/KWIMBA.5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h5b1f1WFDHs/VKu5GeMb4AI/AAAAAAADU7c/_qvj5cljO3c/s1600/KWIMBA.6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-P7ubKsLYM98/VKu4A3u0ceI/AAAAAAADU7I/N2svylNHuHI/s1600/KWIMBA.8.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YKSaFWhs-tg/XlULsUkAdrI/AAAAAAALfRE/mD6Kno4ay-MyqClZevaVx0iD6TdLkDh4gCLcBGAsYHQ/s72-c/b4b28911-be6c-41bc-aeb0-38e0cc1f3f29.jpg)
WATU WANNE MIKONONI MWA POLISI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MABILIONI YA FEDHA YA BENKI YA NBC, POLISI TISA NAO MBARONI
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu wanne waliokuwa wafanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya G4S Security kwa tuhuma za wizi wa Sh.1.280,000,000, Dola za Marekani 402,000 na Euro 27,700 huku pia likiwashikilia askari wa polisi tisa kwa tuhuma za kuchukua sehemu ya fedha hizo kutoka kwa mmoja ya watuhumiwa.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam , Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewataja...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10