HATIMAYE MTOTO MWENYE UVIMBE WA AJABU AKATWA MGUU INDIA
![](http://api.ning.com:80/files/snaF4AQL0dF7AdSgOmg8TVB7m6YHv90bE93LsUpj4Jh7a2Em5rnr*4WrZfqq6iYjNXmA2X5l0jqScE6HwuxnQfCdOVhfQ613/MTOTOINDIA1.jpg)
Mtoto mwenye uvimbe wa ajabu, Hamis Liyuga akiwa anaandaliwa kupelekwa katika chumba cha upasuaji. Hamis Liyuga akipelekwa katika chumba cha upasuaji.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMTOTO MWENYE UVIMBE WA AJABU KUKATWA MGUU LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydX*rmMm0MnyCrLAVj3RTEpu9KFLjqLaUqbNo44UyYhez3iw-5wYQwkIZkkRmubZYvw3GXMsFskAY*qyHgCJF1sG/india.jpg?width=650)
MTOTO MWENYE GONJWA LA AJABU... ATUA INDIA
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Kijana mwenye miaka 4 akatwa mguu Kenya
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Mtoto mwenye kipaji cha ajabu ndani ya Dar
MTOTO mwenye kipawa cha ajabu katika kutoa ushauri wa kujijengea uwezo wa kujiamini anayezidi kujipatia umaarufu mkubwa duniani, Lonnie Hudson maarufu kwa jina la ‘King Nahh’ yupo jijini Dar es Salaam.
King Nahh yuko jijini akiwa ameambatana na baba yake mzazi , Nyeeam Hudson. Familia ya motto huyo ipo nchini kwa mwaliko wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Wisdom Partners.
Mtoto huyo amealikwa nchini kwa madhumuni ya kuungana au kukutana na watoto wenzake kuamsha hisia za za...
10 years ago
MichuziTAASISI YA SITTI TANZANIA FAOUNDATION YATOA MSAADA KWA MTOTO MWENYE UVIMBE MGONGONI
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
Breaking News…#Ukatili tena: Mtoto mwingine mwenye Albinism akatwa mkono, mama mtu ajeruhiwa vibaya
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda (katikati) akizungumza na waandishi wa habari. (Picha na maktaba).
Na modewji blog
Mtoto Baraka Cosmas Rusambo mwenye umri wa miaka sita mwenye ulemavu wa ngozi (Albinism), amekatwa mkono wa kulia katika tukio lilitokea Jumamosi usiku tarehe7 Machi kwenye kijiji cha Kiseta, Kata ya Kiseta, Tarafa ya Kiseta wilayani Sumbawanga vijijini, mkoani Rukwa.
Picha ya mtoto Baraka Cosmas Rusambo, akiwa wodini akipatiwa matibabu ya jeraha la...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J_Rv17MhYOQ/VbNqZrWajAI/AAAAAAAAxKE/rJqDXf0DzYk/s72-c/1.jpg)
MTOTO MWENYE KIPAJI CHA AJABU KUTOKA MAREKANI ATUA NCHINI LEO, KUFANYA KONGAMANO LA WATOTO NA WAZAZI KESHO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-J_Rv17MhYOQ/VbNqZrWajAI/AAAAAAAAxKE/rJqDXf0DzYk/s640/1.jpg)
MTOTO mwenye kipawa cha ajabu katika kutoa ushauri wa kujijengea uwezo wa kujiamini anayezidi kujipatia umaarufu mkubwa duniani, Lonnie Hudson maarufu kama ‘King Nahh’(Pichani), ametua jijini Dar es Salaam , leo.
King Nahh aliambatana na baba yake mzazi , Nyeeam Hudson ambapo wapo nchini kwa mwaliko wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Wisdom Partners.
Kesho mtoto huyo atafanya kongamano kubwa la watoto na wazazi katika Ukumbi wa Urafiki ambapo nia na madhumuni ni...
9 years ago
Bongo Movies18 Nov
Wastara Akatwa Mguu!
Gabriel Ng’osha Inauma sana! Hatimaye maumivu makali yamempata staa wa Bongo Movies, Wastara Juma kwa zaidi ya saa 24 baada ya kufanyiwa upasuaji mwingine wa kukatwa tena mguu kufuatia uvimbe uliojitokeza kwenye mguu wake wa bandia uliomnyima raha kwa muda mrefu.
TUJIUNGE NA CHANZO JIJINI NAIROBI
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini kilichoambatana na mwigizaji huyo jijini Nairobi, Kenya katika matibabu, staa huyo alifikia hatua ya kwenda hospitali baada ya kuzidiwa na maumivu makali...