MTOTO MWENYE UVIMBE WA AJABU KUKATWA MGUU LEO
Mtoto Hamis Liguya, 13, akiwa Hospitali ya Ganga, Combatore, Tamil Nadu nchini India. Stori: Imelda Mtema, India HATIMAYE mtoto mwenye uvimbe wa ajabu, Hamis Liguya, 13, leo anatarajiwa kufanyiwa upasuaji kisha kukatwa mguu katika Hospitali ya Ganga, Combatore, Tamil Nadu nchini India. Hamis Liguya akiwa na madaktari. Hospitali hiyo ni maalum kwa ajili ya watu waliopata ajali na matatizo mbalimbali ya… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/snaF4AQL0dF7AdSgOmg8TVB7m6YHv90bE93LsUpj4Jh7a2Em5rnr*4WrZfqq6iYjNXmA2X5l0jqScE6HwuxnQfCdOVhfQ613/MTOTOINDIA1.jpg)
HATIMAYE MTOTO MWENYE UVIMBE WA AJABU AKATWA MGUU INDIA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J_Rv17MhYOQ/VbNqZrWajAI/AAAAAAAAxKE/rJqDXf0DzYk/s72-c/1.jpg)
MTOTO MWENYE KIPAJI CHA AJABU KUTOKA MAREKANI ATUA NCHINI LEO, KUFANYA KONGAMANO LA WATOTO NA WAZAZI KESHO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-J_Rv17MhYOQ/VbNqZrWajAI/AAAAAAAAxKE/rJqDXf0DzYk/s640/1.jpg)
MTOTO mwenye kipawa cha ajabu katika kutoa ushauri wa kujijengea uwezo wa kujiamini anayezidi kujipatia umaarufu mkubwa duniani, Lonnie Hudson maarufu kama ‘King Nahh’(Pichani), ametua jijini Dar es Salaam , leo.
King Nahh aliambatana na baba yake mzazi , Nyeeam Hudson ambapo wapo nchini kwa mwaliko wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Wisdom Partners.
Kesho mtoto huyo atafanya kongamano kubwa la watoto na wazazi katika Ukumbi wa Urafiki ambapo nia na madhumuni ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydX*rmMm0MnyCrLAVj3RTEpu9KFLjqLaUqbNo44UyYhez3iw-5wYQwkIZkkRmubZYvw3GXMsFskAY*qyHgCJF1sG/india.jpg?width=650)
MTOTO MWENYE GONJWA LA AJABU... ATUA INDIA
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Mtoto mwenye kipaji cha ajabu ndani ya Dar
MTOTO mwenye kipawa cha ajabu katika kutoa ushauri wa kujijengea uwezo wa kujiamini anayezidi kujipatia umaarufu mkubwa duniani, Lonnie Hudson maarufu kwa jina la ‘King Nahh’ yupo jijini Dar es Salaam.
King Nahh yuko jijini akiwa ameambatana na baba yake mzazi , Nyeeam Hudson. Familia ya motto huyo ipo nchini kwa mwaliko wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Wisdom Partners.
Mtoto huyo amealikwa nchini kwa madhumuni ya kuungana au kukutana na watoto wenzake kuamsha hisia za za...
10 years ago
MichuziTAASISI YA SITTI TANZANIA FAOUNDATION YATOA MSAADA KWA MTOTO MWENYE UVIMBE MGONGONI
10 years ago
Michuzi16 Mar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxWkgA9ej4Mjpg-h38g6TkZZEYRp6jcDhajKYpr1H04NowIU3z-vM97WW5LLWmMWGAGbKUckA56TUOkJlMbne5Op/IMG20141227WA0015.jpg?width=650)
DENTI AOTA UVIMBE WA AJABU!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3r*H3JtUV-f1FOvouo8jfUbTVPuq2QZQHM8pre2wbE6vfys3HqH4Z8r0RzUCe6vnN*3nYp2NvAdGKrfbgCX8wb9Zmq5Osptc/Wastaraz.jpg?width=650)
WASTARA KUKATWA MGUU TENA!
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
Masikini mama huyu kwa maumivu anayoyapata, aomba kukatwa mguu
![](http://2.bp.blogspot.com/-TcLZCLKXdf8/VYwgzZqwcAI/AAAAAAABPgg/6QmYScnYloE/s1600/aomba%2Bkukatwa%2Bmguu1.jpg)
JAMII imeombwa kutoa msaada wa hali na mali kwa Bi. GRACE KAIZA mkazi wa Igoma jijini Mwanza ambaye ameomba kukatwa mguu wake kutokana na Saratani ( Kansa) katika mguu huo.
Akizungumza na *JEMBE Habari* Bi. Grace Kaiza amesema amekuwa akisumbuliwa na maradhi hayo kwa muda mrefu jambo lililomuathiri kwa kiasi kikubwa kiafya na hata kiuchumi.
Akielezea namna tatizo hilo lilivyompata amesema lilianza kama uvimbe katika mguu wake kisha kufanyiwa upasuaji mara kadhaa lakini haikusaidia na ndipo...