Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DENTI AOTA UVIMBE WA AJABU!

Binti, Anastazia Phillip (18) anayesumbuliwa na uvimbe ulioota mguuni. Chande Abdallah na Deogratius MongeLa
Mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne mwaka huu katika Shule ya Sekondari Kibasila, jijini Dar, Anastazia Phillip (18) mkazi wa Buza, amejikuta ameota uvimbe wa ajabu unaofananishwa na…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YATIMA AOTA NYAMA YA AJABU ANA UMRI WA MIAKA 16 KILA ANAYEMLEA HUFARIKI DUNIA

STORI: MAKONGORO OGING’
Kwa kweli duniani kuna mateso, lakini ya mtoto huyu yatima ni makali na maisha yake yapo hatarini kama hatawahi kupata matibabu. Fuatilia mkasa wake hapa chini ambao naamini utakuhuzunisha.
Kijana Twaha Sultan (16) ambaye ni yatima mkazi wa Kipawa Karakata, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam akisimulia mkasa wake alikuwa na haya ya kusema: Kijana Twaha Sultan akiwa na maumivu makali. ...

 

10 years ago

GPL

DENTI APATA GONJWA LA AJABU!

Stori: SHANI RAMADHANI “Natamani nirudi shuleni hata kama ni darasa la kwanza, kama siyo ugonjwa huu wa ajabu ningekuwa namaliza kidato cha nne mwaka huu,” ni maneno ya kijana Frank Ephraim Simon (17), mkazi wa Kijiji cha Viwege, Gongo la Mboto jijini Dar akizungumza na Amani juu ya mateso anayopata. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Sj9u7a ...

 

11 years ago

GPL

MTOTO MWENYE UVIMBE WA AJABU KUKATWA MGUU LEO

Mtoto Hamis Liguya, 13, akiwa Hospitali ya Ganga, Combatore, Tamil Nadu nchini India. Stori: Imelda Mtema, India
HATIMAYE mtoto mwenye uvimbe wa ajabu, Hamis Liguya, 13, leo anatarajiwa kufanyiwa upasuaji kisha kukatwa mguu katika Hospitali ya Ganga, Combatore, Tamil Nadu nchini India. Hamis Liguya akiwa na madaktari. Hospitali hiyo ni maalum kwa ajili ya watu waliopata ajali na matatizo mbalimbali ya… ...

 

11 years ago

GPL

HATIMAYE MTOTO MWENYE UVIMBE WA AJABU AKATWA MGUU INDIA

Mtoto mwenye uvimbe wa ajabu, Hamis Liyuga akiwa anaandaliwa kupelekwa katika chumba cha upasuaji. Hamis Liyuga akipelekwa katika chumba cha upasuaji.…

 

10 years ago

Mwananchi

Sherman aota kuifunga Simba

Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman ni kama tayari ameondoa ‘gundu’ baada ya juzi kufunga bao kali kwenye mazoezi na kuwafanya wenzake wampigie saluti.

 

9 years ago

Mtanzania

Pluijm aota kuivua ubingwa TP Mazembe

kocha-mkuu-wa-yanga-hans-van-der-pluijm-kushoto-kocha-msaidizi-juma-mwambusi-katikati-na-kocha-wa-makipa-juma-pondamali-katika-mechi-dhidi-ya-azam-jumamosi-17-10-2015_lolyn75ee56414w47jmhoccraNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, amekamilisha programu mpya aliyoandaa kwa wachezaji wake kuhakikisha timu hiyo inatetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara na kufanya kweli katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwakani ili kuweka rekodi ya kuivua ubingwa klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Mikakati ya Pluijm ya kutaka kuivua ubingwa Mazembe, imewekwa wazi zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya dirisha dogo la usajili wa Ligi...

 

10 years ago

Mwananchi

MALENGO: Kerr aota ubingwa Simba

>Kocha wa Simba, Dylan Kerr amesema anakiandaa kikosi chake  kuhakikisha anatwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015/16.

 

11 years ago

Mwananchi

Ramadhani aota medali Jumuiya ya Madola

Serengeti. Mshindi wa medali ya dhahabu katika Michezo ya Jumuiya ya Madola ya 2006 kwenye Marathoni (km 42), Samson Ramadhan ameweka wazi nia yake ya kutetea medali yake kwenye michezo ya msimu huu.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ngeleja aota ushindi wa tsunami Sengerema

WAKATI baadhi ya wakazi wa Sengerema mkoani Mwanza wakiamini kuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo, W

Christopher Gamaina

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani