Pluijm aota kuivua ubingwa TP Mazembe
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, amekamilisha programu mpya aliyoandaa kwa wachezaji wake kuhakikisha timu hiyo inatetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara na kufanya kweli katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwakani ili kuweka rekodi ya kuivua ubingwa klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Mikakati ya Pluijm ya kutaka kuivua ubingwa Mazembe, imewekwa wazi zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya dirisha dogo la usajili wa Ligi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Jul
MALENGO: Kerr aota ubingwa Simba
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
TP Mazembe watua Japan kupigania ubingwa
9 years ago
MichuziTP Mazembe yanyakuwa ubingwa wa Afrika kwa mara ya tano
Wafanyabiashara mkoani arusha wakumbushwa kuzingatia usafi ili kuepuka magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu; https://youtu.be/cyySdQKD4T0Wachimba wadogo wadogo mkoani kagera waitaka serikali kuangalia upya sheria ya madini namba 14 ya mwaka 2010 ambayo ni ki kikwazo kwao; https://youtu.be/kleNi6hYUiUHofu ya uchaguzi mkuu nchini Imetajwa kusababisha kupungua kuja kwa watalii wa nje...
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Pluijm: Sasa ni ubingwa tu
9 years ago
Bongo509 Nov
Samatta awa mfungaji bora, TP Mazembe yachukua ubingwa wa Afrika
Klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imechukua kombe la michuano ya mabingwa wa Afrika baada ya kuifunga mabao 2-0 USM Alger ya Algeria kwenye fainali zilizochezwa jana mjini Lubumbashi.
Samatta alifunga bao moja kwenye mechi hiyo na kufikisha mabao saba yaliyomfanya kuwa mfungaji bora wa michuano hiyo.
Samatta aliyezaliwa Januari 7, 1992 anacheza kama mshambuliaji kwenye klabu hiyo yenye makazi yake mjini Lubumbashi.
Mchezaji huyo anajulikana kutokana na magoli saba...
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Pluijm apiga hesabu za ubingwa
*Adai Coastal Union imewaongezea kasi
*Aiandalia dozi Tanzania Prisons kesho
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga Mholanzi, Hans van Pluijm, ameanza kupiga hesabu za kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanaoushikilia, akidai ushindi waliopata juzi dhidi ya Coastal Union utawaongezea kasi ya kutimiza hilo.
Mabingwa hao wameanza kwa kishindo kutimiza lengo lao hilo msimu huu kwa kuichapa Coastal Union mabao 2-0 kwenye mechi ya ufunguzi yaliyofungwa na Simon Msuva...
9 years ago
Habarileo04 Oct
Njia ya ubingwa nyeupe- Pluijm
KOCHA Mkuu wa Yanga Hans van Pluijm ametamba kuwa haoni sababu ya kushindwa kutetea ubingwa wake. Yanga ndio inaongoza ligi hiyo ikiwa na pointi 15 na katikati ya wiki hii iliifunga Mtibwa Sugar mabao 2-0 kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro.
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Pluijm: Natamani kikubwa zaidi ya ubingwa VPL
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans Van Der Pluijm, amesema ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara ni kitu kidogo sana kwake, kwani bado nafsi yake inatamani kitu kikubwa zaidi kwa klabu hiyo.
Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 4-1dhidi ya Polisi Morogoro katika mchezo wa ligi uliofanyika Jumatatu Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam na kufikisha jumla ya pointi 53, zilizopelekea klabu hiyo kutangazwa kuwa mabingwa wapya msimu huu.
Akizungumza na...