Pluijm: Natamani kikubwa zaidi ya ubingwa VPL
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans Van Der Pluijm, amesema ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara ni kitu kidogo sana kwake, kwani bado nafsi yake inatamani kitu kikubwa zaidi kwa klabu hiyo.
Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 4-1dhidi ya Polisi Morogoro katika mchezo wa ligi uliofanyika Jumatatu Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam na kufikisha jumla ya pointi 53, zilizopelekea klabu hiyo kutangazwa kuwa mabingwa wapya msimu huu.
Akizungumza na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
DRFA yaipongeza Azam ubingwa VPL
CHAMA cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), kimeipongeza timu ya Azam FC kwa kufanikiwa kwa mara ya kwanza katika historia yake kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcKNL29GCgeuMyN*HeEEQ2qAwEgY65MA0zq103XPb7Hw5aMTAjS7R0*EhmMamgaFxVsE0rIAShIg5EQrygI-6VUX/_MG_0076.jpg?width=650)
VODACOM YAWAPA TANO AZAM KWA KUTWAA UBINGWA VPL
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Pluijm: Sasa ni ubingwa tu
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Pluijm apiga hesabu za ubingwa
*Adai Coastal Union imewaongezea kasi
*Aiandalia dozi Tanzania Prisons kesho
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga Mholanzi, Hans van Pluijm, ameanza kupiga hesabu za kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanaoushikilia, akidai ushindi waliopata juzi dhidi ya Coastal Union utawaongezea kasi ya kutimiza hilo.
Mabingwa hao wameanza kwa kishindo kutimiza lengo lao hilo msimu huu kwa kuichapa Coastal Union mabao 2-0 kwenye mechi ya ufunguzi yaliyofungwa na Simon Msuva...
9 years ago
Habarileo04 Oct
Njia ya ubingwa nyeupe- Pluijm
KOCHA Mkuu wa Yanga Hans van Pluijm ametamba kuwa haoni sababu ya kushindwa kutetea ubingwa wake. Yanga ndio inaongoza ligi hiyo ikiwa na pointi 15 na katikati ya wiki hii iliifunga Mtibwa Sugar mabao 2-0 kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro.
9 years ago
Mtanzania12 Nov
Pluijm aota kuivua ubingwa TP Mazembe
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, amekamilisha programu mpya aliyoandaa kwa wachezaji wake kuhakikisha timu hiyo inatetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara na kufanya kweli katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwakani ili kuweka rekodi ya kuivua ubingwa klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Mikakati ya Pluijm ya kutaka kuivua ubingwa Mazembe, imewekwa wazi zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya dirisha dogo la usajili wa Ligi...
11 years ago
Dewji Blog10 May
Rais Kikwete atembelea kiwanda kikubwa zaidi cha saruji duniani
. Ni kile kinachomilikiwa na mwekezaji anayejenga kiwanda cha saruji Mtwara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LRI-evpm1pc/U26XVieccPI/AAAAAAAFgxY/PK79krwc3C8/s72-c/d10.jpg)
Rais Kikwete atembelea kiwanda cha saruji kikubwa zaidi duniani
![](http://1.bp.blogspot.com/-LRI-evpm1pc/U26XVieccPI/AAAAAAAFgxY/PK79krwc3C8/s1600/d10.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qd_QfHUJoX8/U26XVm03xuI/AAAAAAAFgxc/2e1l1MBB4A0/s1600/d12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h2dm3PqH7OE/U26XVRHi1II/AAAAAAAFgxU/X9Vd4uI2UyM/s1600/d16.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0WKQNQmes7A/U26XZKLB-hI/AAAAAAAFgxs/PvBc5NL3jJs/s1600/d17.jpg)