Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DRFA yaipongeza Azam ubingwa VPL

CHAMA cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), kimeipongeza timu ya Azam FC kwa kufanikiwa kwa mara ya kwanza katika historia yake kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

VODACOM YAWAPA TANO AZAM KWA KUTWAA UBINGWA VPL

Meneja Uhusiano wa Nje wa Kampumi hiyo, Salum Mwalim. Mdhamini Mkuu wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wameipongeza timu ya Azam FC kwa kufanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi hiyo kwa msimu wa 2013/2014 ikiwa ni Mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake miaka 7 iliyopita. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Mbeya City na Azam FC kwenye uwanja wa...

 

11 years ago

Michuzi

DRFA yaipongeza Simba

CHAMA Cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), kimeipongeza klabu ya Simba kwa kufanya uchaguzi wa amani na kupata viongozi wake wapya watakaoingoza kwa miaka minne.
Mwenyekiti wa DRFA Almas Kassongo, amema kuwa wana imani na uongozi huo mpya wa Rais Evans Aveva, Makamu wake Geofrey Nyange ‘Kaburu’ na Kamati yake ya utendaji.
“Sisi DRFA tunawapongeza viongozi wapya waliochaguliwa kuiongoza klabu ya Simba kwa kipindi cha miaka minne, katika uchaguzi uliofanyika Juni 29 mwaka huu katika...

 

10 years ago

Michuzi

DRFA YAIFAGILIA TEMEKE KUTWAA UBINGWA TAIFA CUP

 Chama cha kandanda mkoa wa Dar es salaam DRFA, kimeipongeza timu ya Temeke kwa kutwaa Ubingwa wa Taifa Wanawake,baada ya kuifunga Pwani kwa bao 1-0,kwenye mchezo wa fainali uliopigwa jumapili ya Januari 31 kwenye dimba la Azam Complez huko Chamazi.  Katika fainali hiyo iliyohudhuriwa na waziri mwenye dhamana ya michezo Dk.Fenella Mukangara,imeshuhudiwa Temeke ikijipatia bao lake mnamo dakika ya 66 kupitia kwa mchezaji wao Neema Paul.  Temeke walifanikiwa kutinga hatua ya fainali baada ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm: Natamani kikubwa zaidi ya ubingwa VPL

NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans Van Der Pluijm, amesema ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara ni kitu kidogo sana kwake, kwani bado nafsi yake inatamani kitu kikubwa zaidi kwa klabu hiyo.
Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 4-1dhidi ya Polisi Morogoro katika mchezo wa ligi uliofanyika Jumatatu Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam na kufikisha jumla ya pointi 53, zilizopelekea klabu hiyo kutangazwa kuwa mabingwa wapya msimu huu.
Akizungumza na...

 

11 years ago

TheCitizen

Azam on the verge of VPL title

In-form Azam FC underlined their quest for this season’s Vodacom Premier League title with a 3-0 win against Ruvu Shooting at Mabatini Stadium in Coast Region.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vpl:Yanga, Simba,Azam zashinda

Vigogo vya ligi kuu ya Tanzania bara Simba,Yanga na Azam vimeibuka na ushindi katika michezo yao ya mzunguko wa pili

 

10 years ago

TheCitizen

VPL: Azam lose ground in title race

>Azam FC lost ground to Young Africans in the Mainland Premier League title race after dropping two vital points in their 1-1 draw with Mtibwa Sugar at Manungu Stadium, Turiani in Morogoro yesterday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani