DRFA yaipongeza Simba
![](http://3.bp.blogspot.com/-UgCn6SagRQU/U7ad3xb-LiI/AAAAAAAFu6A/1X-tv-ZMGBw/s72-c/SIMBA+V+YANGA+18.gif)
CHAMA Cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), kimeipongeza klabu ya Simba kwa kufanya uchaguzi wa amani na kupata viongozi wake wapya watakaoingoza kwa miaka minne.
Mwenyekiti wa DRFA Almas Kassongo, amema kuwa wana imani na uongozi huo mpya wa Rais Evans Aveva, Makamu wake Geofrey Nyange ‘Kaburu’ na Kamati yake ya utendaji.
“Sisi DRFA tunawapongeza viongozi wapya waliochaguliwa kuiongoza klabu ya Simba kwa kipindi cha miaka minne, katika uchaguzi uliofanyika Juni 29 mwaka huu katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
DRFA yaipongeza Azam ubingwa VPL
CHAMA cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), kimeipongeza timu ya Azam FC kwa kufanikiwa kwa mara ya kwanza katika historia yake kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EM0Smvgtzvk/VOnVvhZ7X3I/AAAAAAAHFNY/bPBVubypRFg/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
DRFA,YAMLILIA KIUNGO WA ZAMANI WA SIMBA NA TAIFA STARS-CHRISTOPHER ALEX
![](http://2.bp.blogspot.com/-EM0Smvgtzvk/VOnVvhZ7X3I/AAAAAAAHFNY/bPBVubypRFg/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Mwenyekiti wa DRFA,Almas Kasongo,amemuelezea marehemu Christopher kuwa ni mchezaji aliyevuma enzi za uhai wake na kuiletea heshima kubwa klabu yake ya Simba na Taifa Kwa ujumla,pale walipofanikiwa kuisukumiza nje ya...
9 years ago
Habarileo12 Sep
Mabosi wa uchaguzi TFF, DRFA kuteta
KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Mwenyekiti wake Aloyce Komba, inatarajia kukutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), Rashid Sadallah kuzungumzia mambo mbalimbali kuhusu uchaguzi wa Chama cha Soka Temeke (TEFA).
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TpCBNzkW46o/VM-1Y7c5lEI/AAAAAAAHBHs/DIaPCmLAAIk/s72-c/tmk-788181.jpg)
DRFA YAIFAGILIA TEMEKE KUTWAA UBINGWA TAIFA CUP
![](http://1.bp.blogspot.com/-TpCBNzkW46o/VM-1Y7c5lEI/AAAAAAAHBHs/DIaPCmLAAIk/s1600/tmk-788181.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NH2929q00fk/VS-xsB90K5I/AAAAAAAHRhU/jZOyAcw_Cjg/s72-c/TAMBWE-2.jpg)
DRFA YAIPA MBINU YANGA KUINYOA ETOILE DU SAHEL
![](http://1.bp.blogspot.com/-NH2929q00fk/VS-xsB90K5I/AAAAAAAHRhU/jZOyAcw_Cjg/s1600/TAMBWE-2.jpg)
Mwenyekiti wa chama hicho Almasi Kasongo,amesema ili yanga ifanye vizuri katika mechi hiyo na kuwapa raha mashabiki wake na watanzania...
10 years ago
Michuzi16 Feb
9 years ago
Michuzi12 Sep
DRFA YAZINDUA KOZI YA WIKI MBILI YA MKOCHA WA LESENI C’
10 years ago
Michuzi10 May
DRFA YACHEKELEA TIMU ZAKE KUMALIZA TATU BORA LIGI KUU
Kamati ya utendaji ya DRFA chini ya mwenyekiti wake Almas Kasongo,imesema ni jambo la kufurahisha kuona mkoa wa Dar es salaam unafanya vizuri kisoka na kuwa mfano wa kuigwa kwa mikoa mingine.
Timu hizo zimepongezwa kutokana matayarisho waliyoyafanya tangu kuanza kwa msimu,ambapo mabenchi ya...