Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TP Mazembe yanyakuwa ubingwa wa Afrika kwa mara ya tano

Makamu wa raisi Mh.Samia Suluhu amewataka watanzania kudumisha amani na upendo; https://youtu.be/PwPi40mZHuA
Wafanyabiashara mkoani arusha wakumbushwa kuzingatia usafi ili kuepuka magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu; https://youtu.be/cyySdQKD4T0Wachimba wadogo wadogo mkoani kagera waitaka serikali kuangalia upya sheria ya madini namba 14 ya mwaka 2010 ambayo ni ki kikwazo kwao; https://youtu.be/kleNi6hYUiUHofu ya uchaguzi mkuu nchini Imetajwa kusababisha kupungua kuja kwa watalii wa nje...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Samatta awa mfungaji bora, TP Mazembe yachukua ubingwa wa Afrika

Mbwana

Klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imechukua kombe la michuano ya mabingwa wa Afrika baada ya kuifunga mabao 2-0 USM Alger ya Algeria kwenye fainali zilizochezwa jana mjini Lubumbashi.

Mbwana
Samatta alifunga bao moja kwenye mechi hiyo na kufikisha mabao saba yaliyomfanya kuwa mfungaji bora wa michuano hiyo.

Samatta aliyezaliwa Januari 7, 1992 anacheza kama mshambuliaji kwenye klabu hiyo yenye makazi yake mjini Lubumbashi.

Mchezaji huyo anajulikana kutokana na magoli saba...

 

10 years ago

Vijimambo

HII NDIYO YANGA YANYAKUWA UBIGWA MARA YA 24


Shabiki wa Yanga akifurahia UBIGWA baada ya kuibwaga polisi Moro bao 4 kwa 1.Simon Msuva (kushoto) akishangilia na Amis Tambwe baada yaTabwe kuipatia timu yake bao la katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshida 4-1. (Picha na FrancisDande)Mashabikiwa Yanga wakishangilia bao lililofungwa na Amis Tambwe.MshambuliajiWa Yanga, Simon Msuva akimtoka beki wa Polisi Moro, Hassan Mganga katika mchezowa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara...

 

11 years ago

GPL

VODACOM YAWAPA TANO AZAM KWA KUTWAA UBINGWA VPL

Meneja Uhusiano wa Nje wa Kampumi hiyo, Salum Mwalim. Mdhamini Mkuu wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wameipongeza timu ya Azam FC kwa kufanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi hiyo kwa msimu wa 2013/2014 ikiwa ni Mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake miaka 7 iliyopita. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Mbeya City na Azam FC kwenye uwanja wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

TP Mazembe watua Japan kupigania ubingwa

Mabingwa wa soka Afrika TP Mazembe wamewasili mjini Osaka, Japan wa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu.

 

9 years ago

Mtanzania

Pluijm aota kuivua ubingwa TP Mazembe

kocha-mkuu-wa-yanga-hans-van-der-pluijm-kushoto-kocha-msaidizi-juma-mwambusi-katikati-na-kocha-wa-makipa-juma-pondamali-katika-mechi-dhidi-ya-azam-jumamosi-17-10-2015_lolyn75ee56414w47jmhoccraNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, amekamilisha programu mpya aliyoandaa kwa wachezaji wake kuhakikisha timu hiyo inatetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara na kufanya kweli katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwakani ili kuweka rekodi ya kuivua ubingwa klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Mikakati ya Pluijm ya kutaka kuivua ubingwa Mazembe, imewekwa wazi zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya dirisha dogo la usajili wa Ligi...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF Yanyakuwa Tuzo tatu za Ubunifu katika Hifadhi ya Jamii Barani Afrika

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umenyakua tuzo tatu za ubunifu katika sekta ya hifadhi ya Jamii Barani Afrika zinazosimamiwa na Shirikisho la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Duniani (ISSA).
Halfa ya kukabidhi tuzo hizo ilifanyika Jijini Casablanca nchini Morocco usiku wa tarehe 3 Desemba, 2014 katika hoteli ya Serana jijini Casablanca ambapo washiriki zaidi ya 360 kutoka taasisi 75 katika mataifa 45 ya Afrika zilihudhuria.
Tuzo ambazo NHIF ilikabidhiwa ni katika eneo la utoaji wa huduma za...

 

10 years ago

Michuzi

AFRIKA KUSINI WATWAA UBINGWA WA SAFARI POOL AFRIKA 2014

Rais wa Chama cha Pool Africa(AAPA), Saths Reddy(kulia) akimkabidhi Meneja wa timu ya Taifa ya Afrika Kusini ya mchezo wa Pool, kitita cha Dolla 5000 sawa na pesa taslimu za kitanzania 8,500,000/= mara baada ya kuibuka mabingwa katika mashindano ya mchezo huo yaliojulikana kama “Safari All Africa Pool Championship 2014” yaliyomalizika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Budget Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam.Rais wa Chama cha Pool Africa(AAPA), Saths Reddy(kulia) akimkabidhi Kocha wa timu...

 

10 years ago

Mwananchi

Mara watwaa ubingwa wa kupiga makasia

Klabu ya wanaume ya wapiga makasia ya JJ Bunda kutoka Nyarusurya mkoani Mara imeibuka bingwa katika fainali za mkoa za mashindano ya mbio za mitumbwi zinazodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani