AFRIKA KUSINI WATWAA UBINGWA WA SAFARI POOL AFRIKA 2014
Rais wa Chama cha Pool Africa(AAPA), Saths Reddy(kulia) akimkabidhi Meneja wa timu ya Taifa ya Afrika Kusini ya mchezo wa Pool, kitita cha Dolla 5000 sawa na pesa taslimu za kitanzania 8,500,000/= mara baada ya kuibuka mabingwa katika mashindano ya mchezo huo yaliojulikana kama “Safari All Africa Pool Championship 2014” yaliyomalizika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Budget Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam.
Rais wa Chama cha Pool Africa(AAPA), Saths Reddy(kulia) akimkabidhi Kocha wa timu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GahQTfrEefo/VC6KtwV31xI/AAAAAAAGnhk/5Cwmep6d2xc/s72-c/DSCF9268.jpg)
Safari Lager kudhamini Mashindano ya Mchezo wa Pool Afrika 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-GahQTfrEefo/VC6KtwV31xI/AAAAAAAGnhk/5Cwmep6d2xc/s1600/DSCF9268.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Lan-pcEuezY/VX0BU3apIjI/AAAAAAAHfSE/es9kYldeCic/s72-c/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI AFRIKA KUSINI KUHUDHURIA MKUTANO WA 25 WA UMOJA WA AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lan-pcEuezY/VX0BU3apIjI/AAAAAAAHfSE/es9kYldeCic/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f6T41KzEiUg/VX0BUzf7sgI/AAAAAAAHfSA/IDRjfqJw3t8/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
10 years ago
MichuziTopland Kinondoni mabingwa Safari Pool 2014
Timu ya Topland kwa kutwaa ubingwa huo ilizawadiwa Kikombe,Medali za dhahabu na pesa taslimu Shilingi 5,000 000/= wakati mshindi wa pili Anatory ya Morogoro walizawadiwa pesa taslimu Shilingi 2,500 000/= ...
10 years ago
Bongo523 Apr
Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Mrembo wa Afrika Kusini ashinda taji la Miss World 2014
10 years ago
MichuziMAMA SALMA AHUTUBIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS NA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA (OAFLA) NCHINI AFRIKA KUSINI
10 years ago
Vijimambo15 Jun
MAMA SALMA KIKWETE ASHIRIKI MKUTANO WA WAKE WA MARAIS NA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA HUKO AFRIKA KUSINI
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1165.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2124.jpg)
11 years ago
MichuziRUCCO Iringa mabingwa wa Taifa Safari Pool 2014
CHUO cha RUCCO cha mkoani Iringa kimefanikiwa kutwaa ubingwa wa mashindano ya mchezo wa Pool Taifa yaliyoyoshirikisha mabingwa wa Vyuo vya Elimu ya juu kutoka mkoa minane yajulikanayo kama “Safari Pool Higher Learning Competition 2014” mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Aventure Moshi -Kilimanjaro.
RUCCO ilifanikiwa kupata ubingwa huo kwa kukifunga chuo cha St. John cha Dodoma 13-12, na hivyo kuzawadiwa kikombe na fedha taslimu Shilingi 2,500,000/= Nafasi ya pili...