NHIF Yanyakuwa Tuzo tatu za Ubunifu katika Hifadhi ya Jamii Barani Afrika
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umenyakua tuzo tatu za ubunifu katika sekta ya hifadhi ya Jamii Barani Afrika zinazosimamiwa na Shirikisho la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Duniani (ISSA).
Halfa ya kukabidhi tuzo hizo ilifanyika Jijini Casablanca nchini Morocco usiku wa tarehe 3 Desemba, 2014 katika hoteli ya Serana jijini Casablanca ambapo washiriki zaidi ya 360 kutoka taasisi 75 katika mataifa 45 ya Afrika zilihudhuria.
Tuzo ambazo NHIF ilikabidhiwa ni katika eneo la utoaji wa huduma za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi16 Dec
NHIF YAZUNGUMZIA TUZO TATU ZA UBUNIFU BARANI AFRIKA ZILIZOTOLEWA NA SHIRIKISHO LA KIMATAIFA LA TAASISI ZA HIFADHI YA JAMII (ISSA)
![1Bima ya Afyaaa](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/1Bima-ya-Afyaaa.jpg)
10 years ago
Michuzi17 Dec
NHIF YANYAKA TUZO TATU ZA UBUNIFU BARANI AFRIKA
![1Bima ya Afyaaa](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/1Bima-ya-Afyaaa.jpg)
10 years ago
Vijimambo17 Dec
NHIF YAZUNGUMZIA TUZO TATU ZA UBUNIFU BARANI AFRIKA
![1Bima ya Afyaaa](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/1Bima-ya-Afyaaa.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
NHIF yazungumzia tuzo tatu za ubunifu barani Afrika zilizotolewa na ISSA kwa mfuko wa taifa wa bima ya afya
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Bw. Khamis Mdee (wa pili kutoka kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya mfuko huo wakati walipoonyesha tuzo ambazo mfuko huo ulitunukiwa nchini Morocco na Shirikisho la kimataifa la Taasisi za Hifadhi ya Jamii (ISSA) nchini Morocco hivi karibuni. kulia ni Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti, Kutoka kushoto Kaimu Mkurugenzi Tiba na Ushauri wa NHIF, Dk Mkwabi Fikirini na Mkurugenzi wa masoko na...
10 years ago
Habarileo08 Dec
NHIF yatwaa tuzo tatu za ubunifu Afrika
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF, umenyakua tuzo tatu za ubunifu katika sekta ya hifadhi ya Jamii Barani Afrika zinazosimamiwa na Shirikisho la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Duniani (ISSA).
11 years ago
GPLWAZIRI WA KAZI NA AJIRA MH. GAUDENTIA KABAKA ATEMBELEA BANDA LA GEPF NA KUSIFU UBUNIFU WA MFUKO WA GEPF KATIKA KUTOA HIFADHI YA JAMII KWA WAJASIRIAMALI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-F-fdTyZc12Y/VmPzRymcCDI/AAAAAAAAdGc/2c2F2Y1z2Pc/s72-c/b1.jpg)
PPF YAIBUKA KIDEDE KATIKA UTUNZAJI BORA WA HESABU ZAKE, YATWAA TUZO YA WA HESABU UPANDE WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-F-fdTyZc12Y/VmPzRymcCDI/AAAAAAAAdGc/2c2F2Y1z2Pc/s640/b1.jpg)
Na K-Vis Media/Khalfan Said.MFUKO wa Pensheni wa PPF, umeibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya uwasilishaji bora wa hesabu zake katika kipindi cha mwaka 2014.
Katika hafla ya kutoa tuzo kwa taasisi za serikali na za watu binafsi, Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu, NBAA, imetoa tuzo hizo kwa makampuni na taasisi mbalimbali nchini, ambapo kwa upande wa kundi la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, PPF ndiyo iliibuka ya kwanza ambapo Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko huo, Bw. Martin Mmari kwa niaba ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JM4IkEzkMKs/VkS3ArdFDBI/AAAAAAAIFk0/RS-hcoa-lBw/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-12%2Bat%2B6.56.30%2BPM.png)
10 years ago
MichuziNHIF YAZOA VIKOMBE VYA UBUNIFU KATIKA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10