Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKE AKATWA MAPANGA, HAWARA ATAJWA

Stori: Timoth Itembe, TARIME
MAMA mmoja mkazi wa Ronsoti, Kata ya Nyamisangura, wilayani hapa, Eliza Marwa,28, hivi karibuni amenusurika kuuawa na mumewe, baada ya majirani kufika kumuokoa kutokana na kukatwakatwa mapanga. Mariamu akiugulia maumivu. Mama huyo aliliambia gazeti hili akiwa katika Hospitali ya Wilaya Bomani, Tarime kuwa mume wake Marwa Ogora alimkatakata mapanga baada ya kumtuhumu kuwa akikwenda kwa hawara yake...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BINTI NUSURA ABAKWE, AKATWA MAPANGA

SHANI RAMADHANI KHAA! Binti aliyejitambulisha kwa jina la Elizabeth Sombe (13), mkazi wa Mafinga mkoani Iringa ambaye alikuja jijini Dar kwa ajili ya kufanya kazi za ndani, amelazwa katika Hospitali ya Taifa  Muhimbili (MNH) wodi ya Mwaisela namba mbili, Dar baada ya kucharangwa mapanga na kundi la vijana kufuatia kukataa kubakwa. Elizabeth Sombe anayedaiwa kunusurika kubakwa. Akizungumza na Amani juzi, Elizabeth alisema...

 

10 years ago

GPL

AKATWA MAPANGA KWA MADAI YA KUGONGANISHA MABWANA

Na Gregory Nyankaira, Butiama
MCHEPUKO usitajwe kwako! Mrembo aliyejulikana kwa jina la Bahati Nyamkira (20) (pichani), mkazi wa Kijiji cha Singu, Kata ya Kukirango, Butiama, Mara, amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na mwanaume anayedaiwa kuwa hawara yake kisa kikisemekana ni kumkuta akiwa na hawara mwingine, (kuwagonganisha). Bahati Nyamkira amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga...

 

11 years ago

Michuzi

MWANAFUNZI DARASA LA NNE AKATWA MAPANGA NA MFANYAKAZI WA NYUMBANI

  Mama mzazi akiwa na Mwanafunzi wa darasa la nne wa shule ya msingi Motomoto kata ya Vumilia wilayani Urambo aliyekatwakatwa mapanga na mfanyakazi wa nyumbani kwa madai ya kunyimwa hela na baba mzazi wa mtoto hu ========  =======  ======= Na Allan Ntana, Urambo
MTOTO Perezi Christian (12) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la nne
katika shule ya msingi Motomoto iliyoko katika kata ya Vumilia wilaya
ya Urambo mkoani Tabora amekatwakatwa  mapanga mikononi na miguuni na   mfanyakazi wa...

 

11 years ago

GPL

MKE, HAWARA...

Stori: Waandishi Wetu KUNA matukio ambayo kama binadamu yasikie kwa wengine tu lakini yasikutokee wewe! Kama hili la mkazi wa Ukonga –Mzambarauni, Dar, Paulo Ndulu ambapo mkesha wa kuamkia Sikukuu ya Sabasaba, alijikuta katika wakati mgumu pale alipoingia kibaruani kuamua ngumi kati ya mkewe, Anitha Mapunda na Elizabeth Chacha aliyedaiwa kuwa ni hawara yake, OFM walishuhudia. Bw. Paulo Ndulu  akijaribu kuamua ugomvi...

 

11 years ago

GPL

MKE AMBONDA HAWARA GESTI!

Stori: Hamida Hassan na Imelda Mtema
Kila kukicha kunaibuka vituko vingi duniani, wamo wanaosema huenda ni mwisho wa dunia! Mama mmoja almaarufu kwa jina la Mama la Mama anadaiwa kumbonda hawara wa mumewe baada ya kumwekea mtego wa fumanizi kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti). Hawara akihaha ndani ya gesti ya White Paris (kimara) mara baada ya fumanizi. SEKESEKE
Sekeseke hilo kubwa… ...

 

11 years ago

GPL

MKE AKATWA MKONO NA MUMEWE

Na  Imelda Mtema
NI mkasa wa kusikitisha kama siyo kutisha, unaowafanya wanaume  wengi wa siku hizi  waonekane ni makatili na majanga matupu mbele ya jamii. Akizungumza na Joyce Kiria(kulia), Leah (kushoto) alisema kwamba siku zote aliishi na mumewe kwa uvumilivu mkubwa. Kitendo hicho cha kinyama, kimemkuta mwanamke Leah  Benard mkazi wa Kijiji cha Kifufu, mkoani wa Geita baada ya kukatwa kiganja chake cha mkono...

 

11 years ago

GPL

MKE WA KAMANDA BARLOW AFUKUZWA KWA MAPANGA!

UONEVU! Ikiwa imepita takribani miaka miwili tangu aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, ACP Liberates Barlow (53) (picha ndogo) afariki dunia usiku wa Oktoba 13, 2012 kwa kupigwa risasi na watu waliodhaniwa ni majambazi,  mke wa marehemu, Stella Barlow naye yamemkuta mazito kwani chupuchupu auawe. Mke wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, ACP Liberates Barlow (53), Stella Barlow (wa pili kulia) akiomboleza katika...

 

9 years ago

Mwananchi

Mke auawa kwa mapanga, mume akimbia

Mwanamke kazi wa Kijiji cha Mgunga, wilayani Igunga, Gama Jilala ameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana.

 

11 years ago

Mwananchi

UKATILI: Mke mjamzito akatwa mguu, amwagiwa tindikali

>“Ni zaidi ya miezi sita tangu nifanyiwe ukatili na mume wangu na mama mkwe. Nahangaika kuuguza mguu niliokatwa kwa panga  kunyunyiziwa maji ya betri. sijui kama utapona. Kichanga nacho kinasumbua, jamani nimekosa nini mimi kwa Mungu.”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani