MWANAFUNZI DARASA LA NNE AKATWA MAPANGA NA MFANYAKAZI WA NYUMBANI
Mama mzazi akiwa na Mwanafunzi wa darasa la nne wa shule ya msingi Motomoto kata ya Vumilia wilayani Urambo aliyekatwakatwa mapanga na mfanyakazi wa nyumbani kwa madai ya kunyimwa hela na baba mzazi wa mtoto hu
======== ======= =======
Na Allan Ntana, Urambo
MTOTO Perezi Christian (12) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la nne
katika shule ya msingi Motomoto iliyoko katika kata ya Vumilia wilaya
ya Urambo mkoani Tabora amekatwakatwa mapanga mikononi na miguuni na mfanyakazi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania21 Apr
Mwanafunzi darasa la nne ajinyonga chumbani
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
MWANAFUNZI wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Pugu jijini Dar es Salaam, Festo Filbert (11) amekutwa chumbani kwake akiwa amejinyonga hadi kufa kwa kutumia mkanda wa kuvalia nguo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, Mary Nzuki alisema tukio hilo lilitokea jana katika eneo la Majohe kwa Ngozoma.
Alisema sababu za kujinyonga mwanafunzi huyo bado hazijafahamika kwani hakuacha ujumbe wowote.
“Mtoto huyu alikutwa chumbani kwake anakolala akiwa peke...
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Mwanafunzi wa darasa la tano atoweka nyumbani
MTOTO, Valentina Ngoya (14), Mkazi wa Songambele, Mererani mkoani Manyara anatafutwa na wazazi wake baada ya kuondoka nyumbani kwao tangu Novemba 3 mwaka huu akienda shule. Akizungumza na Tanzania Daima...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N7rqsu52BQfHeq6OltTGKM8PteV*HTggrIaDAbHdh4*i-vzd4XeezkB-5qJoeYFa5QmRzxPQkArwqD4Ot3uj1Oc/MZEE.jpg?width=650)
MKE AKATWA MAPANGA, HAWARA ATAJWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS5dSHJUaP5z0vB0Jpriu5Jsc6Iq2MbwAc5U2Wxth9QhjFYfkZo1fYF5n83cu0xcCS3oL*BqoD2bz7AmMahK88SP/2.gif)
BINTI NUSURA ABAKWE, AKATWA MAPANGA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwoWEfQr3OyQaxltqC7r8W*fWZzXOE8pvX76U8OUhzgFPEOo0a44UU-4wrQ02GfEn8Y-nggnxXn8DovMtzksXiek/Mapanga.jpg)
AKATWA MAPANGA KWA MADAI YA KUGONGANISHA MABWANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hXj4gw9-MpNRFDI46MPwRW9lsetooNW0bjk2BCNei7g4krMIhlHa5zq60zKXw8IXQrumr-yKtcZNwkhPikh3GyN7whQ5-J0S/BOS.jpg?width=650)
BOSI ADAIWA KUMKATA MAPANGA MFANYAKAZI WA NDANI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-KwmS1foBlH8/VFxwthRxx6I/AAAAAAADMik/QSDl6N5rX-k/s72-c/RacheKiunsi-November7-2014.jpg)
Mwanafunzi aliyefunika hisabati darasa la 7
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwmS1foBlH8/VFxwthRxx6I/AAAAAAADMik/QSDl6N5rX-k/s1600/RacheKiunsi-November7-2014.jpg)
Mwanafunzi bora wa somo la Hisabati katika mitihani ya taifa ya darasa la saba iliyofanyika nchini Septemba mwaka huu, Rachel Kiunsi (13), ameeleza siri ya mafanikio yake kuwa ni kujituma katika masomo na kuwaheshimu walimu.
Akizungumza na NIPASHE kwa njia ya simu jana kutoka mkoani Singida, Rachel ambaye alikuwa anasoma shule ya msingi Kimara 'B', jijini...
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Mwanafunzi darasa la tatu ajinyonga
MWANAFUNZI wa darasa la tatu shule ya Msingi Mnomo, Kata ya Msangamkuu, Wilaya ya Mtwara Vijijini, Ahmadi Mtuna (10), amefariki dunia baada ya kujinyonga na kamba ya manira katika kenchi...
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Mwanafunzi wa darasa la sita aozeshwa