Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAFUNZI DARASA LA NNE AKATWA MAPANGA NA MFANYAKAZI WA NYUMBANI

  Mama mzazi akiwa na Mwanafunzi wa darasa la nne wa shule ya msingi Motomoto kata ya Vumilia wilayani Urambo aliyekatwakatwa mapanga na mfanyakazi wa nyumbani kwa madai ya kunyimwa hela na baba mzazi wa mtoto hu ========  =======  ======= Na Allan Ntana, Urambo
MTOTO Perezi Christian (12) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la nne
katika shule ya msingi Motomoto iliyoko katika kata ya Vumilia wilaya
ya Urambo mkoani Tabora amekatwakatwa  mapanga mikononi na miguuni na   mfanyakazi wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mwanafunzi darasa la nne ajinyonga chumbani

Na Asifiwe George, Dar es Salaam

MWANAFUNZI wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Pugu jijini Dar es Salaam, Festo Filbert (11) amekutwa chumbani kwake akiwa amejinyonga hadi kufa kwa kutumia mkanda wa kuvalia nguo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, Mary Nzuki alisema tukio hilo lilitokea jana katika eneo la Majohe kwa Ngozoma.
Alisema sababu za kujinyonga mwanafunzi huyo bado hazijafahamika kwani hakuacha ujumbe wowote.
“Mtoto huyu alikutwa chumbani kwake anakolala akiwa peke...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwanafunzi wa darasa la tano atoweka nyumbani

MTOTO, Valentina Ngoya (14), Mkazi wa Songambele, Mererani mkoani Manyara anatafutwa na wazazi wake baada ya kuondoka nyumbani kwao tangu Novemba 3 mwaka huu akienda shule. Akizungumza na Tanzania Daima...

 

11 years ago

GPL

MKE AKATWA MAPANGA, HAWARA ATAJWA

Stori: Timoth Itembe, TARIME
MAMA mmoja mkazi wa Ronsoti, Kata ya Nyamisangura, wilayani hapa, Eliza Marwa,28, hivi karibuni amenusurika kuuawa na mumewe, baada ya majirani kufika kumuokoa kutokana na kukatwakatwa mapanga. Mariamu akiugulia maumivu. Mama huyo aliliambia gazeti hili akiwa katika Hospitali ya Wilaya Bomani, Tarime kuwa mume wake Marwa Ogora alimkatakata mapanga baada ya kumtuhumu kuwa akikwenda kwa hawara yake...

 

10 years ago

GPL

BINTI NUSURA ABAKWE, AKATWA MAPANGA

SHANI RAMADHANI KHAA! Binti aliyejitambulisha kwa jina la Elizabeth Sombe (13), mkazi wa Mafinga mkoani Iringa ambaye alikuja jijini Dar kwa ajili ya kufanya kazi za ndani, amelazwa katika Hospitali ya Taifa  Muhimbili (MNH) wodi ya Mwaisela namba mbili, Dar baada ya kucharangwa mapanga na kundi la vijana kufuatia kukataa kubakwa. Elizabeth Sombe anayedaiwa kunusurika kubakwa. Akizungumza na Amani juzi, Elizabeth alisema...

 

10 years ago

GPL

AKATWA MAPANGA KWA MADAI YA KUGONGANISHA MABWANA

Na Gregory Nyankaira, Butiama
MCHEPUKO usitajwe kwako! Mrembo aliyejulikana kwa jina la Bahati Nyamkira (20) (pichani), mkazi wa Kijiji cha Singu, Kata ya Kukirango, Butiama, Mara, amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na mwanaume anayedaiwa kuwa hawara yake kisa kikisemekana ni kumkuta akiwa na hawara mwingine, (kuwagonganisha). Bahati Nyamkira amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga...

 

11 years ago

GPL

BOSI ADAIWA KUMKATA MAPANGA MFANYAKAZI WA NDANI

Na Joseph Ngilisho, Arusha UKATILI? Msichana wa kazi za ndani, Fonolia Lembres (12) amenusurika kuuawa na mwajiri wake aliyetambulika kwa jina la Emmanuel Msovera ambaye ni kondakta wa Hiace, baada ya kushambuliwa kwa kipigo na kukatwakatwa mapanga mwilini. Msichana wa kazi za ndani, Fonolia Lembres (12) aliyeshambuliwa kwa mapanga na tajiri wake,  Emmanuel Msovera. Fonolia ambaye kwa sasa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa...

 

10 years ago

Vijimambo

Mwanafunzi aliyefunika hisabati darasa la 7

Mwanafunzi bora wa somo la Hisabati katika mitihani ya taifa ya darasa la saba iliyofanyika nchini Septemba mwaka huu, Rachel Kiunsi (13).
Mwanafunzi bora wa somo la Hisabati katika mitihani ya taifa ya darasa la saba iliyofanyika nchini Septemba mwaka huu, Rachel Kiunsi (13), ameeleza siri ya mafanikio yake kuwa ni kujituma katika masomo na kuwaheshimu walimu.

Akizungumza na NIPASHE kwa njia ya simu jana kutoka mkoani Singida, Rachel ambaye alikuwa anasoma shule ya msingi Kimara 'B', jijini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwanafunzi darasa la tatu ajinyonga

MWANAFUNZI wa darasa la tatu shule ya Msingi Mnomo, Kata ya Msangamkuu, Wilaya ya Mtwara Vijijini, Ahmadi Mtuna (10), amefariki dunia baada ya kujinyonga na kamba ya manira katika kenchi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanafunzi wa darasa la sita aozeshwa

Mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Kigezi iliyoko Chanika, wilayani Ilala, Dar es Salaam (jina linahifadhiwa), ameolewa na mkazi wa Mbondole, Halfa Ally (54) ambaye humfungia ndani ili wakazi wa eneo hilo wasimuone.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani