AKATWA MAPANGA KWA MADAI YA KUGONGANISHA MABWANA
![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwoWEfQr3OyQaxltqC7r8W*fWZzXOE8pvX76U8OUhzgFPEOo0a44UU-4wrQ02GfEn8Y-nggnxXn8DovMtzksXiek/Mapanga.jpg)
Na Gregory Nyankaira, Butiama MCHEPUKO usitajwe kwako! Mrembo aliyejulikana kwa jina la Bahati Nyamkira (20) (pichani), mkazi wa Kijiji cha Singu, Kata ya Kukirango, Butiama, Mara, amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na mwanaume anayedaiwa kuwa hawara yake kisa kikisemekana ni kumkuta akiwa na hawara mwingine, (kuwagonganisha). Bahati Nyamkira amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N7rqsu52BQfHeq6OltTGKM8PteV*HTggrIaDAbHdh4*i-vzd4XeezkB-5qJoeYFa5QmRzxPQkArwqD4Ot3uj1Oc/MZEE.jpg?width=650)
MKE AKATWA MAPANGA, HAWARA ATAJWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS5dSHJUaP5z0vB0Jpriu5Jsc6Iq2MbwAc5U2Wxth9QhjFYfkZo1fYF5n83cu0xcCS3oL*BqoD2bz7AmMahK88SP/2.gif)
BINTI NUSURA ABAKWE, AKATWA MAPANGA
11 years ago
MichuziMWANAFUNZI DARASA LA NNE AKATWA MAPANGA NA MFANYAKAZI WA NYUMBANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-_MM7tpmIl2E/U6QJ4FTFCtI/AAAAAAAFr7Q/WGL50Sp5Yuo/s1600/Mama+mzazi+akiwa+na+Mwanafunzi+wa+darasa+la+nne+wa+shule+ya+msingi+Motomoto+kata+ya+Vumilia+wilayani+Urambo+aliyekatwakatwa+mapanga+na+mfanyakazi+wa+nyumbani+kwa+madai+ya+kunyimwa+hela+na+baba+mzazi+wa+mtoto+hu.jpg)
MTOTO Perezi Christian (12) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la nne
katika shule ya msingi Motomoto iliyoko katika kata ya Vumilia wilaya
ya Urambo mkoani Tabora amekatwakatwa mapanga mikononi na miguuni na mfanyakazi wa...
9 years ago
StarTV02 Dec
Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure
Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure
Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.
Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...
9 years ago
StarTV03 Nov
Watu wanne wauawa kwa kucharangwa kwa mapanga.
Watu wanne wamekutwa wameuawa katika kijiji cha Katoma wilayani Bukoba, miili yao ikiwa imecharangwa kwa mapanga na watu wasiofahamika .
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera Kamishna MSAIDIZI Mwandamizi wa Polisi Augustino Ollomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba hadi sasa watu waliohusika na mauaji hayo bado hawajatiwa mbaroni.
Matukio hayo yametokea katika kijiji cha Katoma wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera ambapo jumla ya watu wanne wameuawa katika maeneo mawili...
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Auawa kwa kucharangwa mapanga
WATU wasiojulikana wamevamia Kanisa la Pentekoste Assemblies of God ( PAG ) usiku wa kuamkia leo Tawi la Kagemu, Kata ya Kitendaguro Manispaa ya Bukoba na kumuua mwalimu ambaye ni...
11 years ago
GPLAUAWA KIKATILI KWA MAPANGA
10 years ago
GPL01 Mar
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Mama na mwanawe wauawa kwa mapanga