Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MDADA APATA KIGUGUMIZI BAADA YA KUGONGANISHA MCHUMBA WAKE NA MCHEPUKO

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAYA APATA KIGUGUMIZI NDOA YAKE

Stori: Imelda Mtema
MKONGWE kwenye kilinge cha filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’, amepata kigugumizi cha ghafla kuzungumzia ndoa yake ambayo maandalizi yake ya awali yaliwahi kufanyika. Mkongwe kwenye kilinge cha filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Akizungumza na mwandishi wetu baada ya kuulizwa kuhusiana na ndoa hiyo iliyokuwa ifanyike mwaka juzi, Maya alishindwa kuzungumzia jinsi ilivyoyeyuka na...

 

10 years ago

CloudsFM

KUJIFUNGUA KWA FLORAH,MBASHA APATA KIGUGUMIZI

Picha mbalimbali zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikiuonyesha mwimbaji wa nyimbo za injili Florah Mbasha akiwa leba akijifungua zimezua utata baada ya aliyekuwa mumewe Emmanuel Mbasha kupata kugugumizi kwa kutotoa majibu ya uhakika aliulizwa kuhusiana na kujifungua kwa mkewe huyo.Mbasha amehojiwa na Soudy Brown kupitia Uheard hakutoa majibu ya kuelewa baada ya kila anachoulizwa anajibu kwamba hamsikii kwamba ndiyo alikuwa anaaamka na simu ikakata.

Kumekuwa na sintofahamu kuhusu mimba...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Bongo Movies

Ester Kiama: Nammeneji Tu Dude Wala Si Mchepuko Wake

Baada minong’ono kuzagaa kila kona kuwa kuna uhusiano wa kimapenzi kati ya mwigizaji wa kike Ester Kiama na muongozaji na mwigizaji Kulwa Kikumba, mwanadada huyo amekanusha na kudai kuwa yeye ni meneja tu wa msanii huyo na anamsimamia kurudisha Bongo Dar es salaam.

Kweli nipo karibu sana na Dude kikazi na si kimapenzi kama wengine wanavyofikiria, nammeneji tu katika uwezeshaji wa kurudisha kipindi chake cha Bongo Dar es Salaam na masuala ya filamu, tumerekodi sinema yangu ya Ngoma...

 

10 years ago

BBCSwahili

'Ajioa' baada ya kukosa mchumba

Yasmin Eleby hakupata mchumba wa kumuoa mtu ambaye alitaka awe mume wake atakapofikisha miaka 40--kwa hivyo akafanya kitendo ambacho kimewashangaza wengi, aliamua kujioa mwenyewe.

 

10 years ago

GPL

HAMISA AMUANIKA MCHUMBA WAKE

MAHABA niue! Mwanadafada ambaye ni mwanamitindo Bongo, Hamisa Mabeto ameamua kumwanika mwandani wake baada ya kumuweka kwenye mitandao ya kijamii  huku akimmwagia sifa kemkem. Mwanadafada ambaye ni mwanamitindo Bongo, Hamisa Mabeto akila ujana na mpenzi wake. Akipiga stori na mwandishi wa gazeti hili baada ya kuvutiwa waya, Hamisa alisema mwanaume huyo ni mtu ambaye anampenda sana na wana malengo ya kuoana muda wowote...

 

10 years ago

Bongo5

Ndoa ya Barnaba na mchumba wake yanukia

Mchumba wa Barnaba, Zubeda amesema anafurahia maisha yake na mpenzi wake Barnaba na kwamba watafunga ndoa hivi karibuni. Zubeda ameiambia Bongo5 kuwa mipango ya ndoa imekamilika na kwamba wanasubiri kuamua tarehe tu. “Tayari ameshatoa pesa ya barua pamoja na mahari, kwahiyo bado tu kupanga tarehe ya ndoa,” amesema Mama Steve. “Barua alitoa toka mwaka jana […]

 

11 years ago

GPL

MISS TANZANIA AMWANIKA MCHUMBA WAKE!

Na Jelard Lucas
MISS Tanzania mwaka 2011, Salha Israel amevunja ukimya baada ya kumuweka wazi mwanaume anayetoka naye, jambo ambalo amejaribu kulifanya siri kwa muda mrefu. Miss Tanzania mwaka 2011, Salha Israel. Salha alifungua kinywa na kubainisha hayo, hivi karibuni alipokuwa kwenye mahojiano na
inayorushwa na mtandao namba moja wa burudani Bongo, www.globalpublishers.info ya Kampuni ya Global Publishers. Akijibu swali la...

 

10 years ago

Vijimambo

MBWEMBWE ZA KUMPOSA MCHUMBA WAKE ZAMTOKEA PUANI

'Kreni' ilitumbukia ndani ya nyumba wakati ikimbeba mwanamume aliyekuwa anamposa mpenzi wake
Mwanamume mmoja raia wa udachi amejikuta akikimbilia usalama wake baada ya jaribio la kutaka kumposa mpenzi wake kwa mbwembwe kwenda mrama.

Mtu huyo ambaye hakutajwa kwa jina anayeishi mjini Ijsselstein alikodisha 'kreni' au Crane na kuipanda akipanga kwamba kreni hilo imtoe chini na kumpanidhs hadi dirishani mwa mpenzi wake ambapo angemchezea wimbo na kisha kumposa.

Badala yake yaliyomkuta...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani