Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAMISA AMUANIKA MCHUMBA WAKE

MAHABA niue! Mwanadafada ambaye ni mwanamitindo Bongo, Hamisa Mabeto ameamua kumwanika mwandani wake baada ya kumuweka kwenye mitandao ya kijamii  huku akimmwagia sifa kemkem. Mwanadafada ambaye ni mwanamitindo Bongo, Hamisa Mabeto akila ujana na mpenzi wake. Akipiga stori na mwandishi wa gazeti hili baada ya kuvutiwa waya, Hamisa alisema mwanaume huyo ni mtu ambaye anampenda sana na wana malengo ya kuoana muda wowote...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Hamisa Mobeto na mchumba wake Dj Majey wa E-FM wanatarajia kupata mtoto

Leo Dec.10 ni birthday ya mwanamitindo mrembo Hamisa Mobeto a.k.a kadomo ambaye ni ubavu wa mmoja wa wakurugenzi wa E-FM ambaye pia ni Dj, Dj Majey. Kama ilivyo kawaida kwenye siku kama hizi wapenzi hutakiana heri ya siku ya kuzaliwa, kitu ambacho hata Majey kakifanya kwa Hamisa, lakini wishes hizo zimeambatana na kuweka wazi kuwa […]

 

10 years ago

GPL

RAYUU AMUANIKA MWANDANI WAKE

Msanii wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’. Stori: Mayasa Mariwata
MSANII wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amezua gumzo baada ya picha zake zinazomuonesha akiwa chumbani na mwanaume kuenea mtandaoni, huku kijana huyo akionekana kujichora tatoo yenye jina la mwanadada huyo. Kijana huyo aliyefahamika kwa jina moja la Brown hakuweza kupatikana ili kuthibitisha uhusiano wake na mrembo huyo,...

 

10 years ago

GPL

OSTAZ JUMA AMUANIKA MKEWE NA MTOTO WAKE

Ostaz Juma (kushoto) akiwa na mkewe Mariamu na mwanae Hayyat Mariamu Daudi Mtoto Hayyan Juma…

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara Amuanika Mbaya Wake, Kisa ni Kuolewa na Marehemu Sajuki

Baada ya kipindi kirefu cha tetesi ya staa wa filamu Wastara kuhofia maisha yake, akihisi upo mpango wa kumuangamiza kwa njia mbalimbali ikiwepo ajali, staa huyo amesema tetesi hizo ni kweli na amekwishazitolea ripoti polisi.

Msanii huyo amekiri kupitia eNewz kuwa, ni kweli yupo katika tishio la maisha yake, mhusika mkubwa wa hilo akiwa mwanaume ambaye alikuwa na mahusiano yake wa zamani ambaye hawana maelewano mazuri naye.Wastara amesema kuwa, amekuwa na historia ya mahusiano mabovu na mtu...

 

10 years ago

Bongo5

Ndoa ya Barnaba na mchumba wake yanukia

Mchumba wa Barnaba, Zubeda amesema anafurahia maisha yake na mpenzi wake Barnaba na kwamba watafunga ndoa hivi karibuni. Zubeda ameiambia Bongo5 kuwa mipango ya ndoa imekamilika na kwamba wanasubiri kuamua tarehe tu. “Tayari ameshatoa pesa ya barua pamoja na mahari, kwahiyo bado tu kupanga tarehe ya ndoa,” amesema Mama Steve. “Barua alitoa toka mwaka jana […]

 

11 years ago

GPL

MISS TANZANIA AMWANIKA MCHUMBA WAKE!

Na Jelard Lucas
MISS Tanzania mwaka 2011, Salha Israel amevunja ukimya baada ya kumuweka wazi mwanaume anayetoka naye, jambo ambalo amejaribu kulifanya siri kwa muda mrefu. Miss Tanzania mwaka 2011, Salha Israel. Salha alifungua kinywa na kubainisha hayo, hivi karibuni alipokuwa kwenye mahojiano na
inayorushwa na mtandao namba moja wa burudani Bongo, www.globalpublishers.info ya Kampuni ya Global Publishers. Akijibu swali la...

 

10 years ago

Vijimambo

MBWEMBWE ZA KUMPOSA MCHUMBA WAKE ZAMTOKEA PUANI

'Kreni' ilitumbukia ndani ya nyumba wakati ikimbeba mwanamume aliyekuwa anamposa mpenzi wake
Mwanamume mmoja raia wa udachi amejikuta akikimbilia usalama wake baada ya jaribio la kutaka kumposa mpenzi wake kwa mbwembwe kwenda mrama.

Mtu huyo ambaye hakutajwa kwa jina anayeishi mjini Ijsselstein alikodisha 'kreni' au Crane na kuipanda akipanga kwamba kreni hilo imtoe chini na kumpanidhs hadi dirishani mwa mpenzi wake ambapo angemchezea wimbo na kisha kumposa.

Badala yake yaliyomkuta...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Amuua mchumba wake, afukia mwili porini

MKAZI wa Kijiji cha Kiroreli, wilayani Bunda, Wambura Magonze, ameuawa na mchumba wake na kisha mwili wake kufukiwa porini. Tukio hilo lilitokea Machi 22 mwaka huu, saa 3 asubuhi katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani