Amuua mchumba wake, afukia mwili porini
MKAZI wa Kijiji cha Kiroreli, wilayani Bunda, Wambura Magonze, ameuawa na mchumba wake na kisha mwili wake kufukiwa porini. Tukio hilo lilitokea Machi 22 mwaka huu, saa 3 asubuhi katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania19 Dec
Amuua mama mzazi na kukata mwili vipande vidogo vidogo
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Erasto Lwiza (27) amemuua mama yake mzazi, Magreth Lwiza (50), kwa kumkatakata mapanga mwili wake na kuugawa vipande vidogo vidogo.
Tukio hilo limetokea juzi Mtaa wa Butiama, eneo la Vingunguti, ambapo mtuhumiwa ambaye ni marehemu kwa sasa alitekeleza unyama huo kabla hajauawa.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, kabla marehemu Erasto hajamuua mama yake alianza kumshambulia kwa visu na mapanga mwanamke aliyetambuliwa kwa...
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Tembo amuua mlinzi wake Marekani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz60wOdHktJfXSkuzXBfH05HwD00r2EmgW0cfhDaB-qG4k*7Qq3RCvXpTniubYXUA25ZG-raryETFqutBc9qRt*g5/hamisa.jpg)
HAMISA AMUANIKA MCHUMBA WAKE
10 years ago
Bongo502 Feb
Ndoa ya Barnaba na mchumba wake yanukia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aX2yEHaS8JneXU7BcIoBVL4k-YRIzag--OORopszfs-aIh6UueBHGSvzajSFynE1MX05Q74zeh*zp-5f5D7CjAovJRliOrid/miss.jpg?width=650)
MISS TANZANIA AMWANIKA MCHUMBA WAKE!
10 years ago
Habarileo12 Jan
Amuua mdai wake kwa kukerwa kudaiwa Sh 80,000
MWANAMKE Caseline Mzee (75) mkazi wa kijiji cha Guta wilayani Bunda, mkoani Mara, ameuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani na kunyongwa na kisha mwili wake kutupwa ndani ya mto, ukiwa umefungiwa mawe mazito ili usielee.
10 years ago
Bongo520 Oct
Picha: Missy Elliott auonesha mwonekano wake wa sasa baada ya mwili wake kupungua sanaaa!
10 years ago
Vijimambo30 Dec
MBWEMBWE ZA KUMPOSA MCHUMBA WAKE ZAMTOKEA PUANI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/14/141214081200_dutch_marriage_proposal_sees_crane_smash__624x351_epa_nocredit.jpg)
Mwanamume mmoja raia wa udachi amejikuta akikimbilia usalama wake baada ya jaribio la kutaka kumposa mpenzi wake kwa mbwembwe kwenda mrama.
Mtu huyo ambaye hakutajwa kwa jina anayeishi mjini Ijsselstein alikodisha 'kreni' au Crane na kuipanda akipanga kwamba kreni hilo imtoe chini na kumpanidhs hadi dirishani mwa mpenzi wake ambapo angemchezea wimbo na kisha kumposa.
Badala yake yaliyomkuta...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/5jUGfjGXSLA/default.jpg)