Amuua mdai wake kwa kukerwa kudaiwa Sh 80,000
MWANAMKE Caseline Mzee (75) mkazi wa kijiji cha Guta wilayani Bunda, mkoani Mara, ameuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani na kunyongwa na kisha mwili wake kutupwa ndani ya mto, ukiwa umefungiwa mawe mazito ili usielee.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VjECVNtIx4eqqJukk8*1GplaW8dSNk*Yhi7*QdZW6hLSZ1QfANr2X6bvAGldwxKERHtqrjH8IkiU4VcTjqQDgz9/Dbanj1.jpg?width=650)
KESI YA KUDAIWA DENI: D’BANJ AKACHA MAHAKAMA, MDAI NAYE HAKUFIKA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-prqNnENCAF0/XuCNJMlHmbI/AAAAAAACM4g/vj2xMlKAKJwxaKGpvj4X1plq_VVQhZXYACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200609_171932.jpg)
DIWANI WA SINZA CHADEMA AMALIZA UDIWANI WAKE KWA KWENDA 'ROKAPU' NA KUFUNGULIWA JALADA TAKUKURU KWA KUDAIWA KULAMBA FEDHA ZA KINAMAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-prqNnENCAF0/XuCNJMlHmbI/AAAAAAACM4g/vj2xMlKAKJwxaKGpvj4X1plq_VVQhZXYACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200609_171932.jpg)
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Sinza kwa tiketi ya Chadema Godfrey Chikandamwali jana, alimaliza udiwani wake kwa kuwekwa 'rokapu' na Polisi na kisha kufunguliwa jalada TAKUKURU, kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori, kwa tuhuma za kukaidi wito wa mkuu huyo wa wilaya na pia kutafuna mamilioni ya fedha za kikundi cha kina mama.
Akizungumza kwenye Kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Mkuu huyo wa Wilaya...
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Mtoto wa miaka mitatu amuua mdogo wake kwa risasi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*54juLYOTrNpbJ6fraq5uWUr8oHZ0vgy6mqe*mw9un5eoWu*3wtqykFeaigNjFRrC*bRoj2-eP8c9DtdP3o3TpGffSGTojH2/YONG.jpg)
KIM JONG-UN AMUUA WAZIRI WA ULINZI KWA KUSINZIA KWENYE MKUTANO WAKE
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Bibi amuua mjukuu wake kwa kumtupa nje ya basi kupitia dirishani
11 years ago
Habarileo18 Feb
Amuua mwenzake wakigombea 10,000/-
MKAZI wa Kijiji cha Nyangoto Nyamongo Tarafa ya Ingwe Tarime mkoani Mara, Mwita Samson (23) ameuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali na Munyaru Waigama katika ugomvi wa kugombea Sh 10,000.
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Tembo amuua mlinzi wake Marekani
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Amuua mchumba wake, afukia mwili porini
MKAZI wa Kijiji cha Kiroreli, wilayani Bunda, Wambura Magonze, ameuawa na mchumba wake na kisha mwili wake kufukiwa porini. Tukio hilo lilitokea Machi 22 mwaka huu, saa 3 asubuhi katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2QH0PUKTJC0/VONfD20NZ-I/AAAAAAADZt8/fQbvRTJEZak/s72-c/6921526e62150a8871edd4c0bd02a8ef.jpg)
AMUUA MDENI WAKE NA KUMZIKA MWENYEWE KISHA KUHAMA NYUMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2QH0PUKTJC0/VONfD20NZ-I/AAAAAAADZt8/fQbvRTJEZak/s1600/6921526e62150a8871edd4c0bd02a8ef.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-buN1feY9SYQ/VONfEDjNNuI/AAAAAAADZuA/gHkFqTaXPkA/s1600/d644d6c391d60d1b0c603848fac992a5.jpg)