Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amuua mdai wake kwa kukerwa kudaiwa Sh 80,000

Kamanda wa Polisi mkoani Mara , Philpo KalangiMWANAMKE Caseline Mzee (75) mkazi wa kijiji cha Guta wilayani Bunda, mkoani Mara, ameuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani na kunyongwa na kisha mwili wake kutupwa ndani ya mto, ukiwa umefungiwa mawe mazito ili usielee.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KESI YA KUDAIWA DENI: D’BANJ AKACHA MAHAKAMA, MDAI NAYE HAKUFIKA

Dapo Oyebanjo 'D’Banj'. MWANAMUZIKI maarufu wa Nigeria anayejiita  ‘Eja Nla’  (Samaki Mkubwa) ambaye jina lake halisi ni , Dapo Oyebanjo,  akijulikana pia kama D’Banj,  hakufika mahakamani wakati wa kuanza kwa kesi ambayo anashitakiwa kwa kutolipa deni. Kesi hiyo ilikuwa ianze kuunguruma Machi 30 mwaka huu kwenye mahakama ya  Multi-Door Courthouse, eneo la Obalende, Lagos,lakini...

 

5 years ago

CCM Blog

DIWANI WA SINZA CHADEMA AMALIZA UDIWANI WAKE KWA KWENDA 'ROKAPU' NA KUFUNGULIWA JALADA TAKUKURU KWA KUDAIWA KULAMBA FEDHA ZA KINAMAMA

Godfrey Chikandamwali Na Bashir Nkoromo 
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Sinza kwa tiketi ya Chadema Godfrey Chikandamwali jana, alimaliza udiwani wake kwa kuwekwa 'rokapu' na Polisi na kisha kufunguliwa jalada TAKUKURU, kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori, kwa tuhuma za kukaidi wito wa mkuu huyo wa wilaya na pia kutafuna mamilioni ya fedha za kikundi cha kina mama.

Akizungumza kwenye Kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Mkuu huyo wa Wilaya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto wa miaka mitatu amuua mdogo wake kwa risasi

Payson Ariz, mtoto wa kiume wa miaka mitatu amemuua mdogo wake wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kwa kumpiga risasi.

 

10 years ago

GPL

KIM JONG-UN AMUUA WAZIRI WA ULINZI KWA KUSINZIA KWENYE MKUTANO WAKE

 Hyon Yong-Chol aliyeuawa kwa kusinzia wakati wa hafla ya kijeshi. WAZIRI wa Ulinzi wa Korea ya Kaskazini, Hyon Yong-Chol, ameuawa kwa kupigwa na bunduki ya kutungulia ndege aina ya ZPU-4 kwa kusinzia kwenye hafla ya kijeshi. Waziri huyo aliuawa kutokana na amri ya kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong-Un. Bunduki ya kutungulia ndege aina ya ZPU-4  iliyotumika kumuua Hyon. Sababu nyingine iliyomfanya waziri huyo aliyekuwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Bibi amuua mjukuu wake kwa kumtupa nje ya basi kupitia dirishani

Jeshi la Polisi mkoani Singida, linamshikilia Nawaridi Saidi (45), mkazi wa Dar es Salaam kwa tuhuma za kumtupa mjukuu wake Mayasa Meshack (6) kutoka ndani ya gari wakati akisafiri kwenda Kigoma akitokea Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Amuua mwenzake wakigombea 10,000/-

MKAZI wa Kijiji cha Nyangoto Nyamongo Tarafa ya Ingwe Tarime mkoani Mara, Mwita Samson (23) ameuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali na Munyaru Waigama katika ugomvi wa kugombea Sh 10,000.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tembo amuua mlinzi wake Marekani

Vetenari James Laurita, aliyekuwa na umri wa miaka 56 alikanyagwa na Tembo kifuani kwa bahati mbaya na kufariki

 

11 years ago

Tanzania Daima

Amuua mchumba wake, afukia mwili porini

MKAZI wa Kijiji cha Kiroreli, wilayani Bunda, Wambura Magonze, ameuawa na mchumba wake na kisha mwili wake kufukiwa porini. Tukio hilo lilitokea Machi 22 mwaka huu, saa 3 asubuhi katika...

 

10 years ago

Vijimambo

AMUUA MDENI WAKE NA KUMZIKA MWENYEWE KISHA KUHAMA NYUMBA

Hii stori inasikitisha sana wadau wa Vijimambo jinsi gani binadamu walivyokuwa wakatili umekopa anapokudai anaamua kuondoa uhai wake sina maelezo zaidi ya hiyo audio hapo chini bofya play usikilize mwenyewe ukatili huu wa binadamu si mnyama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani