Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUJIFUNGUA KWA FLORAH,MBASHA APATA KIGUGUMIZI

Picha mbalimbali zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikiuonyesha mwimbaji wa nyimbo za injili Florah Mbasha akiwa leba akijifungua zimezua utata baada ya aliyekuwa mumewe Emmanuel Mbasha kupata kugugumizi kwa kutotoa majibu ya uhakika aliulizwa kuhusiana na kujifungua kwa mkewe huyo.Mbasha amehojiwa na Soudy Brown kupitia Uheard hakutoa majibu ya kuelewa baada ya kila anachoulizwa anajibu kwamba hamsikii kwamba ndiyo alikuwa anaaamka na simu ikakata.

Kumekuwa na sintofahamu kuhusu mimba...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Florah mbasha: Nipo Tayari Kurudiana na Mume Wangu.

Muimbaji wa muziki wa injili, florah mbasha amesema yupo tayari kurudiana na mume wake emmanuel mbasha, ikiwa atakwenda kumuangukia mguuni na kumuomba msamaha.Florah alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza kutoa ushahidi mahakamani juu ya kesi ya ubakaji inayomkabili mume wake ambayo inasikilizwa katika mahakama ya wilaya ya ilala.
"Mbasha nimeshamsamehe siku nyingi na nipo tayari kuishi naye iwapo atakuja kuniangukia miguuni na kuniomba msamaha..lakini hili la...

 

10 years ago

GPL

MAYA APATA KIGUGUMIZI NDOA YAKE

Stori: Imelda Mtema
MKONGWE kwenye kilinge cha filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’, amepata kigugumizi cha ghafla kuzungumzia ndoa yake ambayo maandalizi yake ya awali yaliwahi kufanyika. Mkongwe kwenye kilinge cha filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Akizungumza na mwandishi wetu baada ya kuulizwa kuhusiana na ndoa hiyo iliyokuwa ifanyike mwaka juzi, Maya alishindwa kuzungumzia jinsi ilivyoyeyuka na...

 

9 years ago

GPL

FLORA MBASHA AKIRI: MWANANGU SI WA MBASHA!

Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha na aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha. Waandishi wetu OHOOO! Kimenuka tena. Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha amesema mwanaye mdogo (jina linahifadhiwa) hahusiani hata kidogo na aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha huku akidai kuwa anamtambua mwanaume huyo kama mzazi mwenzake kwa mtoto mmoja tu (Liz), Risasi Jumatano linakupa zaidi. Mtoto anayedaiwa kuibuwa mazito. Akizungumza na...

 

10 years ago

Mwananchi

Ripoti: Hatari inayowanyemelea wanawake kutokana na kasi ya kujifungua kwa upasuaji

>Wakati idadi ya wanawake wanaojifungua kwa upasuaji ikizidi kuongezeka nchini, utafiti mpya umeonyesha kuwa migogoro baina ya wahudumu wa afya ya uzazi imechangia ongezeko la wajawazito wanaofanyiwa upasuaji bila kuwapo sababu za lazima.

 

10 years ago

Bongo Movies

Florah Mvungi Amkataza H:Baba Kucheza Mpira

Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Frolah Mvungi amemkataza mume wake,msanii wa Bongo Fleva,H: Baba kucheza mpira.

H: Baba amesajiliwa na klabu ya Toto African ya jijini Mwanza hali inayomfanya kuwa mbali na familia yake ambayo ipo jijini Dar,na ndiyo sababu kubwa iliyotajwa kukatazwa na mkewe kuichezea timu hiyo.

Kwa mujibu wa msanii huyo alisema kuwa mkewe alikaa kikao na ndugu zake waliopo jijini Mwanza kuzungumzia suala hilo kama atakubali abaki kucheza mpira atacheza lakini akibaki na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbasha kizimbani kwa ubakaji

Mwimbaji wa nyimbo za Injili na mfanyabiashara, Emmanuel Mbasha amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwa mashtaka ya ubakaji.

 

9 years ago

GPL

PENZI KWA FLORA, NAMSHANGAA SANA MBASHA!

MWIMBAJI wa muziki wa Injili nchini, Emmanuel Mbasha ameshinda kesi yake ya ubakaji iliyokuwa ikimkabili, aliyotuhumiwa kumfanyia kitendo hicho msichana aliyekuwa akiwasaidia kazi za ndani ya nyumba yake na aliyekuwa mkewe, Flora Mbasha. Emmanuel Mbasha alidaiwa kufanya kitendo hicho mara mbili kwa msichana huyo, kitu ambacho ni kinyume cha sheria za nchi. Hata hivyo, baada ya takriban mwaka mmoja na ushee, wa kusikiliza pande...

 

11 years ago

GPL

MUME WA FLORA MBASHA ASAKWA KWA UBAKAJI

Makongoro Oging' na Haruni Sanchawa
JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam linamsaka kwa udi na uvumba Emmanuel Mbasha (pichani) ambaye ni mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kwa madai ya kumbaka shemeji yake mwenye miaka 17 (jina tunalo) ambaye ni yatima. Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha anayetuhumiwa kwa ubakaji. Taarifa zilizopatikana  ndani  ya  jeshi hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani