Ripoti: Hatari inayowanyemelea wanawake kutokana na kasi ya kujifungua kwa upasuaji
>Wakati idadi ya wanawake wanaojifungua kwa upasuaji ikizidi kuongezeka nchini, utafiti mpya umeonyesha kuwa migogoro baina ya wahudumu wa afya ya uzazi imechangia ongezeko la wajawazito wanaofanyiwa upasuaji bila kuwapo sababu za lazima.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Mazoezi kwa wanawake waliojifungua kwa upasuaji
Wanawake wengi wanaojifungua kwa upasuaji, hukumbana na changamoto kubwa ya kurudisha miili yao katika hali ya kawaida. Hali hii husababishwa na muda wa kuuguza kidonda na hofu ya kujitonesha
10 years ago
GPLMAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-3
Leo naendelea kuelezea kuhusu magonjwa hatari kwa wanawake, lengo likiwa kukuelimisha kuhusiana na maradhi hayo. ATHARI YA KUTOTIBIWA MAPEMA MAGONJWA YA NGONO
Magonjwa haya ya ngono yasipotibiwa mapema na kwa usahihi yanaweza kuleta athari zifuatazo kwa mgonjwa. KWA WANAWAKE
Kwa mwanamke anaweza kupata tatizo la kuziba mirija ya uzazi na kukumbwa na tatizo la mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi au kutozaa kabisa. Mgonjwa wa...
10 years ago
GPLMAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-2
WIKI iliyopita tulielezea magonjwa hatari kwa wanawake lakini pia huweza kuwakumba wanaume wengi wakajifunza kutokana na mada ile. Leo tutaeleza tabia zinazoweza kuchochea maambukizi ya magonjwa hayo hasa yale ya ngono.
Njia moja kubwa ya kuenea magonjwa ya ngono ni ya kujamiiana bila kutumia kinga ya kondomu. Vijana wengi hasa wa kike hukosa ujasiri wa kusisitiza matumizi ya kondomu kwa kuhofia kuachwa na wapenzi wao. Wengine...
10 years ago
GPLMAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE
KUNA magonjwa mengi ya hatari kwa wanawake ambayo huwakumba kwenye viungo vya uzazi na dalili za kuyatambua ni nyingi japokuwa wanaume pia huweza kupatwa na matatizo hayo. DALILI KWA WANAWAKE
Kwa upande wa wanawake, wanaweza kutambua kwamba wana ugonjwa ambao utaathiri viungo vya uzazi kwa kutokwa na majimaji au ute kwenye uke. Wanawake wanapaswa kutafuta msaada wa kimatibabu kwa daktari wakigundua lolote kati ya haya...
10 years ago
GPLMAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-4
Tumalizie makala yetu kwa kueleza athari za magonjwa ya ngono yasipotibiwa mapema: Kijana wa kike hupatwa na tatizo la kuziba mirija ya uzazi ambapo husababisha ama mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi au ugumba; maambukizi katika mfuko wa uzazi; kupata magonjwa katika viungo muhimu mwilini; magonjwa ya moyo na mishipa ya damu, kansa ya kizazi, mabadiliko ya hedhi na mwishowe Ukimwi. Lakini pia si vibaya tukieleza athari kwa kijana...
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Viatu hatari kwa afya ya miguu ya wanawake
‘Mchuchumio’ ama viatu vyenye visigino virefu, ni mojawapo ya vitu vinavyopendwa na baadhi ya wanawake mbalimbali, si katika Tanzania bali dunia nzima.
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Upasuaji hatari wa kufunga kizazi
Kwa nini wanawake wa India wana mazoea ya kufunga kizazi? Wengi wanafanya hivyo kwa kuwa serikali huwalipa wanaofunz akizazi kupunguza idadi ya watu India
11 years ago
Mwananchi13 Apr
‘LOW CUT’ unavyobamba wanawake kwa kasi
Ukiwa mdau unayefuatila na kufahamu vizuri masuala ya mitindo utakubaliana nami kwamba wimbi la wanawake wanaonyoa mtindo wa nywele fupi maarufu kwa jina la ‘low cut’ inaongezeka siku hadi siku.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania